Asha Ommary
Member
- Sep 1, 2020
- 97
- 90
Uapimwe akili wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais anatenda Lisu asubiri kupangiwa kazi na kale kabebeu kakeKutia saini bomba la mafuta na chombezo la faida ya asilimia 60 kisha baada ya hapo uzinduzi wa kampeni...safi kabisa
View attachment 1569346
Jr[emoji769]
KabisaNi jukumu lako wewe kama mzalendo wa taifa hili kuhakikisha anapata kura zote 100% kwa 100%.
View attachment 1569377
Huku ndio kwenyewe. CCM ndio Kuna mambo mazuri
Hii nmeipenda sanaHali ilivyo uchaguzi huuView attachment 1569388
Wabunge wa CCM wakishafika Bungeni watalishughulikiaNyamikoma,Kamwanga,lwenge,bugurura , buseresere na katoro ni miji na vijiji vilivyopo Mkoa wa Geita,JPM atoe kauli ni lini watapatiwa maji Safi na salama, na vijiji hivyo vitapatiwa lini nishati ya umeme? Na Barabara? Mji wa katoro na buseresere vumbi inawapa watu tibii hakuna lami,na mji unakuwa kwa kasi
Mtaambizana fiesta imewapa kura oktoba 28Leo fiesta ipo pande hizo siyo!! Bac sawa!!
kwa nini hawamtaki wamekuamba hivyo?Huyu bwana ata huko alikozaliwa hawamtaki, hawataki hata kumsikia, acheni propaganda uchwara.
Hakuwa mgombea Urais yeye.Mbona 2015 hakuongelea mashamba, au kwakua mmoja wa hao aliunga mkono M4C
Endeleeni kujifariji 😂Huyu bwana ata huko alikozaliwa hawamtaki, hawataki hata kumsikia, acheni propaganda uchwara.
Najukwaani hakuongea kumnadi mleta badiliko.Hakuwa mgombea Urais yeye.
Hawamtaki kwa lipi labdaHuyu bwana ata huko alikozaliwa hawamtaki, hawataki hata kumsikia, acheni propaganda uchwara.
BAVICHA ndio chanzo Cha yote Haya!!Jiwe hafai hata kuwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa, mana watatekwa watu si mchezo
Umetumia utafiti gani?Huyu bwana ata huko alikozaliwa hawamtaki, hawataki hata kumsikia, acheni propaganda uchwara.