Elections 2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

Elections 2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

Nilipita hapo Geita jana mtaa wa soko kuu niliona watu wengi sana wamezingira bango la UKAWA lililokuwa limeandikwa LOWASA TUSAIDIE SISI WACHIMBAJI WADOGOWADOGO. Kwa sasa niko hapa Chato rais anatarajiwa mchana lakini mji umeshazizima. Nimelala Geita pia kulikuwa na mkesha wa Lowasa uwanja wa MAGEREZA.

Angalia usiachwe na fuso baada ya mkutano
 
Mkuu ccm kwisha siku nyingi:
Jamaa yangu usidanganyike mabadiliko kupitia ccm ni ndoto ya mchana kweupe.. mi mwenyewe mwana ccm lakini kura yangu ni kwa lowasa... ikiwa ccm ilifutilia mbali maoni ya wananchi ktk katiba ni dhahiri kwamba ccm haitakuwa/haipo tayari kufanya mabadiliko yatakayoiumiza. Maana ili ufanye mabadiliko ni lazima ccm iumie kwani ccm inauroho wa madaraka sana...na vogogo na watoto wao wachache wa ccm ndio wanaomiliki uchumi wa nchi na raslimali.

<<<<usishangae jamaa yangu ni kwamba watanzania wameamua kwa dhati na kwa ujumla wao kuiadhibu ccm kutokana na mfumo wake wa kulindana na kuongeza maadui 2 zaidi Ufisadi na rushwa.>>> na kimsingi ukitazama kwa makini lowasa kaachia ngazi za kiserikali toka 2007 miaka 8 takribani lakini ufisadi umeongezeka maradufu kumbe tatizo sio lowasa ni mfumo ccm>>>>>>>>

big up mkuu
 
Ulishasikia akizomewa wapi? Mmeishiwa cha kuongea mmebaki kurudia rudia yale yale.
 
Hali ni tete kwa chama kile cha kijani.......chenye jembe na nyundo!

mkuu ndoja ni kupe tafsiri ya alama hizo kwa sasa ihi ni NEW VESION.

NYUNDO NI - LOWASSA.
JEMBE NI - KURA
BELESHI NI - WANAMABADILIKO

sasa + alafu weka = hapa.
 
Mji umesimama?? mkuu acha uongo bwana, watanzania wanapenda maigizo wamekuja kuangalia maigizo ya Ukawa bure, kiingilio miguu yao, kura CCM

Acha undezi wewe hakuna mtu mwenye akili timamu anaeweza kwenda kusikiliza asichokiamini mimi mwenyewe abadani huwezi kunikuta kwenye mikutano yeyote ya ccm kwa sababu siiamini ukijua kweli nayo kweli itakuweka huru.
 
hatareeee, bado rais hajafika lakini mambo ndo kama unavyoona
 

Attachments

  • 1442410240303.jpg
    1442410240303.jpg
    47.9 KB · Views: 425
  • 1442410265695.jpg
    1442410265695.jpg
    62.2 KB · Views: 408
Wewe Ocampo acha kupotosha watu, hivi kwa nini wewe hufikrii? unafikiri wa-tz wote wako ka wewe? endelea kujidanganya!
 
Chato muda huu..
 

Attachments

  • 1442410736257.jpg
    1442410736257.jpg
    47.8 KB · Views: 471
Back
Top Bottom