TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,866
- 5,747
Muhindo uko kwenye mada ipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa taarifa yako magufuli ni chato na chato ni magufuli.
Wewe hamnazo kwa kichwa yako. Unajibishia mwenyewe sasa tukusaidie vipi!? Wivu ni mbaya sana utajikuta unaropoka na vitu ambavyo hukuvitarajia.hapa namuongelea magufuli wala siiongelei ccm.
kwani magufuli aligombea uwakilishi serikali za mtaa?
kitu kingine ambacho chadema inajisahaulisha ni kwamba serikali za mitaa zilifanyika escrow ikiwa hot. walifaidika sana na kura za hasira.
kwa sasa richmond ndo hot. tabiri matokeo
Mji umesimama?? mkuu acha uongo bwana, watanzania wanapenda maigizo wamekuja kuangalia maigizo ya Ukawa bure, kiingilio miguu yao, kura CCM
mnalipwa bei gani na mzee wenu?
jeehova.......!!!
Achana na waigizaji.
Chagua Magufuli.
kwa taarifa yako magufuli ni chato na chato ni magufuli.
chadema muwe makini na mdundo mnaoucheza wa ngoma ya lowasa ya umati/mafuriko. siku hizi hotuba nzuri/mawe kwa utawala siyo tena ajenda yenu.
sikuwepo jana chato ila nimeishi chato kwa vipindi tofauti magufuli akiwa mbunge.
haijalishi ule umati wa chato ni wanachato au wanageita ila ukweli mchungu ni kwamba mkoani geita ukawa itapata pesa kura kiduchu sana za urais.
wekezeni kwenye siasa za ushawishi, mkiendelea kuwekeza nguvu kwenye kujaza watu pekee mtapotea kama wafuasi wa kibwetele
Kinachofanya nikukubali siku zote ni uwazi wako, haijalishi wewe ni UKAWA. mnahitajika vijana wenye maono kama wewe.
kitu kingine ambacho chadema inajisahaulisha ni kwamba serikali za mitaa zilifanyika escrow ikiwa hot. walifaidika sana na kura za hasira.
kwa sasa richmond ndo hot. tabiri matokeo
Na hii taarifa umeitoa wapi?kwa taarifa yako magufuli ni chato na chato ni magufuli.
kwa taarifa yako magufuli ni chato na chato ni magufuli.
hapa namuongelea magufuli wala siiongelei ccm.
kwani magufuli aligombea uwakilishi serikali za mtaa?