Yaliyojiri harusi ya AY February 24,2018; Wasanii kibao akiwemo GK walialikwa

Mwingine huyu muuza samaki ila watu hawamuoni, wamemuona GK tu View attachment 701633 .
Muuza samaki..fid kwaya amefanya vema.. Hakuwa mbali official dress code.. Wasukuma wanajifunza sio kama CRAZY gk.. Sema sasa Hugo mmasai wa kukaribishwa yupo kama watermelon lililoanza kuoza.. Rangi rangi nyingi kama mother nature..
 
Ahsante kwa kutuza ingawa story yako haijulikani malengo yake
 
Yani ukanda wa Ngara,Kagera na Kigoma mjini,Kasulu, Kibondo, Kigoma umejaa wakimbizo wengi sana mmoja wao ni huyu Gentamycine na kundi lake wapo wengi sana halafu kutwa kujidai Watanzania nakereka mpaka basi...
Unakereka seriously!!! Kanywe sumu usikereke sasa au kapande daladala la hewani ili upigwe risasi stupid idiot ubaguzi tu pambana na hali yako
 
haituhusu hiyo, tunachojua AY kaoa mwanamke wa Rwanda hayo mengine ni chuki binafsi
 
Mh! hata kama sio harusi yako ila GK kweli huna hata kasuruali ka kitambaa!??
GK bado ana usela mavi yani bado ana mawazo ya kizamani ya ukamanda kamanda ndiyo maana hata akihojiwa anaongelea ukamanda tu jamaa anaishi zama za zamani mpaka sasa.
Yani anachekesha
 
Tatizo ndoa za vijana siku hizi,unakuta utamu wote washaumaliza
 

Tupe chanzo cha habari yako.
 
Yani ukanda wa Ngara,Kagera na Kigoma mjini,Kasulu, Kibondo, Kigoma umejaa wakimbizo wengi sana mmoja wao ni huyu Gentamycine na kundi lake wapo wengi sana halafu kutwa kujidai Watanzania nakereka mpaka basi...
Cc
GENTAMYCINE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…