Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
CAG kaagizwa na Amiri jeshi atii maelekezo ya mihimili mingine
Kakumbushwa anaweza kutolewa hata baada ya mwaka mmoja
Vikatiba katiba vyenu wekeni kabatini mpaka 2026
Huyu wa kwenu ndiyo kichaa na amekwisha kiri mwenyewe mwaka juzi akiwa Mara. Alisema amemchagua Luaga Mpina kuwa Waziri wa mifumo kwa vile Luaga Mpina ni kichaa kichaa kama yeye Jiwe.
Halafu usiseme uwongo, JK aliacha Serikali ikiwa na hela. Pili huyu anauwa uchumi wala hajengi uchumi
Kwa sababu ya mabishano na bunge,Nipo siti ya mbele hapa kusikiliza sababu za kushindwa kumwongezea CAG awamu ya pili.
Mkuu naona una copy na ku paste , taifa letu lina wanasheria lukuki, utata sakata la CAG, ni fursa nzuri kufungua hoja madai katiba bora.Hongera Magufuli kwa kujali Watanzania Endelea kuchapa kazi
Wale wasaliti wa nchi sijui wataweka wapi sura zao
Unayo hoja. Haya ndio mambo angalau ya kujadili sio neno SHALL..Wasalaam, nimefatilia hotuba baada ya zoezi la kula kiapo nikastuka sana na kustaajabu kusikia ile kauli kwamba CAG anaweza kutumbuliwa hata ndani ya mwaka mmoja. Nikajiuliza haya ni maelekezo au vitisho? Baada ya kutafakari nikagundua kuwa katiba yetu ya mwaka 1977 imempa rais mamlaka makubwa ya kimaamuzi pia nikakumbuka maneno ya mwl nyerere kwamba kwa katiba hii angeamua kuwa dictetor asingeshindwa hii inaashiria katiba yetu ina mapungufu makubwa sana na ni katiba iliyotungwa wakati wa utawala wa chama kimoja na sasa tuna vyama vingi vya siasa.
Kwa muktadha huu nina hofu kama CAG mpya atatekekeza majukumu yake kwa uwazi na waledi maana muda wote atakua na hofu ya kutumbuliwa na muhimili mnene kuliko yote, kwa maana nyingine atalazimika kufanya kazi za ukaguzi kwa kufata maelekezo kutoka juu kwamba hapa kagua na pale usipaguze usikague km unataka kibarua kiendelee kuwepo maana atakua na nidhamu ya uoga.
Mungu ibariki Tanzania siku moja tupate katiba mpya kwa ustawi wa taifa hili.
Wanachoma Jipu Sindano Usaha Unaruka Hapo Ndiyo Inaitwa Kutumbuahivi anatumbuliwaje?
Comment uchwaraHongera Magufuli kwa kujali Watanzania Endelea kuchapa kazi
Wale wasaliti wa nchi sijui wataweka wapi sura zao
Wasalaam, nimefatilia hotuba baada ya zoezi la kula kiapo nikastuka sana na kustaajabu kusikia ile kauli kwamba CAG anaweza kutumbuliwa hata ndani ya mwaka mmoja. Nikajiuliza haya ni maelekezo au vitisho? Baada ya kutafakari nikagundua kuwa katiba yetu ya mwaka 1977 imempa rais mamlaka makubwa ya kimaamuzi pia nikakumbuka maneno ya mwl nyerere kwamba kwa katiba hii angeamua kuwa dictetor asingeshindwa hii inaashiria katiba yetu ina mapungufu makubwa sana na ni katiba iliyotungwa wakati wa utawala wa chama kimoja na sasa tuna vyama vingi vya siasa.
Kwa muktadha huu nina hofu kama CAG mpya atatekekeza majukumu yake kwa uwazi na waledi maana muda wote atakua na hofu ya kutumbuliwa na muhimili mnene kuliko yote, kwa maana nyingine atalazimika kufanya kazi za ukaguzi kwa kufata maelekezo kutoka juu kwamba hapa kagua na pale usipaguze usikague km unataka kibarua kiendelee kuwepo maana atakua na nidhamu ya uoga.
Mungu ibariki Tanzania siku moja tupate katiba mpya kwa ustawi wa taifa hili.