Woyoooooooooo.....Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, leo Novemba 4, 2019 kuanzia majira ya saa tatu na nusu (3:30) asubuhi atawaapisha viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni
Wanaoapishwa ni pamoja na;
1. Charles Edward Kichere kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (Controller and Auditor General – CAG)
2. Katarina Tengia Revocati kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Njombe.
3. Mhandisi Aisha Amour kuwa Balozi wa Tanzania nchini Kuwait.
4. Kanali Francis Ronald Mbindi kuwa Kamishna wa Kazi katika Ofisi ya Waziri Mkuu
Aidha, Mhe. Rais Magufuli anawaapisha Majaji 12 wa Mahakama Kuu
*****
View attachment 1253571
Charles Edward Kichere akiapishwa kama Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG)
Hapo kwenye kutengua,mbona Assad alishindwa kumtengua?
Mzee imemuum sana..cheo ni dhamana.
Kuna familia zingine kule nasikia ni hatari mtoto hata akiwa shule za msingi labda darasa la sita hivi Kama mzazi hajawahi sikia kuwa mwanae kaiba chochote Hadi anafikia darasa la sita anamkamata mtoto anampeleka kwa mganga wa kienyeji amwangalizie mwanae Ana tatizo gani? Karogwa au Nini? Kwa Nini Hadi anafikia darasa la sita hajawahi yeye mzazi sikia kuwa mwanae kaiba Cha mtu hata Cha mwanafunzi mwenzie ? .Mzazi anaona sio kitu Cha kawaida hasa kwa mtoto wa kiumeKwa nini ni wakumulikwa na tochi? Ni katika stage gani huwa wanajifunza upigaji?
Ukisikia paaaaaWakisemwa Wasukuma waliojazana Hazina kwa sasa mnasema tunahubiri ukabila, kwa vile mume wenu kataja kabila msilolipenda mmetoka kama mwewe. CHENGE ni Mchaga wa Uru au Kiboroloni?
Anamkumbusha majukumu yake.Anamtisha CAG ili iweje?
Je anaruhusiwa kukagua manunuzi ya ndege na ujenzi wa Chato International Airport??
Mkuu hiv kuna ukweli juu ya hilo?Huyo Kibwengo si alisema kahamia Dodoma ?
Au ulikuwa ni mzuka tu baada ya kula papuchi ya Jokate !
Huo ndio ukweli ,ameambiwa ukweli huu na mamsifu mh.rais kwa kusema ukweliMaagizo kwa CAG ni vitisho!Ipo haja ya kupata katiba bora. Ni dhambi dunia ya leo kuumpa mwadamu nafasi ya pili baada ya Muumba.
Baba jeni baibai...JAMAA hapindishi...Mungu mbariki sana prof Asad
Nimesikia neno mwenye Serikali yupo, daah tumefikia hapa.Anamuapisha CAG mteule, anasema maneno ya msingi sana.
1. Usiende kujifanya na wewe ni Muhimili, Mihilimi ni mitatu tu. (ASSAD alijiona muhimili eeh)
2. Una nidhamu sana, unatenguliwa hapa, na pale, lakini haulalamiki
3. Una elimu nzuri na uzoefu wa kazi.
Huyu jamaa anakumbuka aliyosena siku anamtumbua TRA?Anamuapisha CAG mteule, anasema maneno ya msingi sana.
1. Usiende kujifanya na wewe ni Muhimili, Mihilimi ni mitatu tu. (ASSAD alijiona muhimili eeh)
2. Una nidhamu sana, unatenguliwa hapa, na pale, lakini haulalamiki
3. Una elimu nzuri na uzoefu wa kazi.
Baba nae kasema! haya watuambie walifikiaje jamii kuwapa alama ya wizi!!Magufuli kamuapisha jaji mmoja, ambaye ni mchagga na alikuwa fair competition,
Anasema jamaa alivyo muadilifu hadi alipokuwa Fair competition watu walikuwa wanajiuliza "Huyu ni Mchagga gani asiependa Rushwa"
Alisema Makonda, kuwa Mengi alikuwa ni mchagga wa pekee, Mchaga gani anaesaidia Yatima, na leo Baba nae amewakilisha mawazo ya wengi, walio kuwa kumbe watu wengi hushangaa wakiona mchagga, haibi, hapokei rushwa, na anasaidia watu!
Swali Wachagga mlifikaje hapa, kwenye jamii kuwaona namna hii?
Kasahau mwenye serikali ni wananchi na yeye ni mtumishi kama wengine wanaopaswa kuongozwa na katiba. Pathetic.Nimesikia neno mwenye Serikali yupo, daah tumefikia hapa.