Yaliyojiri Ikulu Dar: Rais Magufuli amtaka CAG Kichere kutojifanya Muhimili mwingine, amwambia anaweza kuondolewa hata akiwa na mwaka mmoja

Woyoooooooooo.....
 
Hapo kwenye kutengua,mbona Assad alishindwa kumtengua?

Mkuu ni kwamba alimuacha tu, lakini angeweza kumuengua bila hata kujali hiyo katiba. Kwa ujumla hana woga wowote kwenye kuvunja katiba. Anatii hisia zake zaidi kuliko hiyo katiba. Na hata akiivunja hiyo katiba ni mamlaka ipi inaweza kumchukulia hatua?
 
Kwa nini ni wakumulikwa na tochi? Ni katika stage gani huwa wanajifunza upigaji?
Kuna familia zingine kule nasikia ni hatari mtoto hata akiwa shule za msingi labda darasa la sita hivi Kama mzazi hajawahi sikia kuwa mwanae kaiba chochote Hadi anafikia darasa la sita anamkamata mtoto anampeleka kwa mganga wa kienyeji amwangalizie mwanae Ana tatizo gani? Karogwa au Nini? Kwa Nini Hadi anafikia darasa la sita hajawahi yeye mzazi sikia kuwa mwanae kaiba Cha mtu hata Cha mwanafunzi mwenzie ? .Mzazi anaona sio kitu Cha kawaida hasa kwa mtoto wa kiume
 
Wakisemwa Wasukuma waliojazana Hazina kwa sasa mnasema tunahubiri ukabila, kwa vile mume wenu kataja kabila msilolipenda mmetoka kama mwewe. CHENGE ni Mchaga wa Uru au Kiboroloni?
Ukisikia paaaaa
 
Mentality ya kijinga kabisa ufisadi hauna kabila, Makonda Anayejenga hotel ya kisasa ya mabilion wakati analipwa chini ya mshahara wa ml 10 kwa mwezi vipi na yeye ni mchaga? wakina Lugumi, Chenge, Ngereja wote hao ni wachaga?

Yaani sizani kama kuna kabila bongo ambalo halijiusishi na ufisada kama lipo basi halijapata fulsa.
 
Ile power aliyoondolewa Assad Kachere atarudishiwa?
 
Maagizo kwa CAG ni vitisho!Ipo haja ya kupata katiba bora. Ni dhambi dunia ya leo kuumpa mwadamu nafasi ya pili baada ya Muumba.
Huo ndio ukweli ,ameambiwa ukweli huu na mamsifu mh.rais kwa kusema ukweli

State agent
 
Nimesikia neno mwenye Serikali yupo, daah tumefikia hapa.
 
Huyu jamaa anakumbuka aliyosena siku anamtumbua TRA?
 
Baba nae kasema! haya watuambie walifikiaje jamii kuwapa alama ya wizi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…