Yaliyojiri Ikulu Dar: Rais Magufuli amtaka CAG Kichere kutojifanya Muhimili mwingine, amwambia anaweza kuondolewa hata akiwa na mwaka mmoja

Mkuu, kuwa na sense of humour mida fulani.
 
Nalaani mtu yeyote mwenye wadhifa wa ku-track hela serikali Tanzania kusema "hela katika taasisi fulani hazionekani"
Tafadhali msirudie tena kusema hela hazionekani kwenye taasisi fulani wakati watu kwenye taasisi hiyo wapo hapo hapo na wanaonekana!
 
Kwahiyo Magufuli anaamini wachaga ni wezi, wala rushwa na siyo waadilifu ?

Je yeye kutuibia nyumba za umma ina maanisha kabila lake wezi ?
 
Ivi Dodoma kashindwa kabisa kwenda uko? Nashindwa kuelewa kabisa ilikuwa ni siasa au mkakati nilitegemea mambo kama aya yafanyike Dodoma maana juzi tu kasema kashaamia uko.
Kutangaza kuhamia Idodomya ilikuwa ni tamko la kisiasa zaidi, bado mahali pa kazi ni Magogoni.
 
Na assad naye bado anapitia pitia vifungu vya katiba na sheria vilivyotumika kumsataafisha. Kazi ipo. Sijui hiyo saa sita atakuwa keshaondoa documents zake zote au bado atakuwa anapitia pitia vifungu vya sheria.
 
Kwahiyo Magufuli anaamini wachaga ni wezi, wala rushwa na siyo waadilifu ?

Je yeye kutuibia nyumba za umma ina maanisha kabila lake wezi ?
Anajua kuwa wachagga wengi, wana hizo mambo, ukute kwa wasukuma ni yeye tu
 
Suala hili ni gumu kwa kiasi chake!
Lakini tukubaliane tu kuwa taratibu za matumizi zimebadilika zama hizi, mfano zamani CAG alikuwa anapeleka report yake bungeni kwa maana bunge ndilo lilikuwa linapanga matumizi na kuhoji lakini sasa utaratibu ni tofauti kidogo katika 'kulinda uzalendo na kudhibiti ufisadi'.
Mfano hospitali ya ubungo meya na baraza lake la madiwani waliomba pesa kupitia bungeni ambapo ilitakiwa itoke kwa mafungu mafungu kama utaratibu tuliozoea lakini utolewaji wake ukawa tofauti tena katika kipindi cha masaa kama 48 maana tofauti na hivyo 'ingeliwa'. Maendeleo hayana vyama!
 
Mkuu

Kwenye maendeleo pia mmesema tusubiri..

Naona kanda ya ziwa mnatumia nguvu sana kutuattack

Lkn hamtaweza....

Kaskazini mikono juu
Nyinyi mnaweza kujiendeleza, kwa kuwa mnapiga kwiwngine afu manjiendeleza, kwa hiyo saiv tunafocus na wale ambao hawawezi kupiga, ili tuwaletee maendeleo
 
Sasa yeye mwenyewe mbona anajiona ni exceptional kwani yeye sio mtumishi wa umma?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hyo ya 2.
 
Kwa Sasa Ni Kosa mtu yeyote mwenye wadhifa wa ku-track hela serikali Tanzania kusema "hela katika taasisi fulani hazionekani"
Tafadhali msirudie tena kusema hela hazionekani kwenye taasisi fulani wakati watu kwenye taasisi hiyo wapo hapo hapo na wanaonekana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…