BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Thanks 🙏🏾 to Shangazi Maria Tseshai Sarungi Space ya kule Twitter sasa inapaa kwa umaarufu. Bidada ni mzuri ile mbaya halafu sauti yake sasa na anavyojua kuongea kwa ufasaha na pozi oyooooo!
Jamii Forums inakukaribisha kushiriki kwenye Mjadala kuhusu Maambukizi ya #COVID19 pamoja na Utoaji wa Chanjo nchini Tanzania
Mjadala huu unafanyika Agosti 6, 2021 kupitia Twitter Spaces (JamiiForums) kuanzia Saa 12 jioni na utahusisha Wataalamu wa Afya watakaozungumzia Masuala anuani kuhusu Janga hili
====
UPDATES;1800hrs
======
Kufuatilia mjadala huu, fungua hii link.
#UVIKO3
View attachment 1882254