Yaliyojiri JamiiForums Space kuhusu Maambukizi ya COVID-19 na Utoaji Chanjo Tanzania

Yaliyojiri JamiiForums Space kuhusu Maambukizi ya COVID-19 na Utoaji Chanjo Tanzania

Dr. Biggag anajiuliza Kama China anaweza chanja chanjo ya Usa!!? , Au usa anaweza chanja ya china.

Au usa anaweza chanja ya Russia!!
Mh!?
Kwanin. Chanjo hii isiandaliwe na dunia kwa ujumla wake kwasababu suala ni la kidunia kupitia WHO?!

Kwanini Kila nchi tajiri wanajifungia kutoa chanjo yao!!?

Basi ikitokea nchi haitaki chanjo iheshimiwe. Kwa kua sio Kila suala la kidunia, bali ni mipango ya nchi moja moja.

Kama ni la kidunia basi tutumie mashirika yetu yanayotuunganisha.

Tutunge sera pamoja, tu tafute chanjo pamoja na tu dungwe chanjo pamoja.

Suala la mtafute chanjo wenyewe, halafu mtudunge tusicho kijua halikubaliki!!!

Tafadhalini nyie ma promoters
Hawawezi kukuelewa hawa madalali wa machanjo.

Wanataka wakudunge huku umefumba macho. Hakuna kuhoji.

Ukihoji unaambiwa ati haujui SAYANSI!

Kwao "sayansi" ni kuwadunga watu machanjo bila kuulizwa swali lolote.
 
Mpaka sasa wananchi wanashangaa taiafa kuwa na wasomi kama hawa waliokuwa wanaensesha mjadala kupitia space ya jamii forum. Madkatari waliojaa unafiki na kujali matumbo ndio waliojifanya kuipigia debe chanjo ambayo hata wao wanakiri kuwa hata ukidungwa bado utakuwa na maambukizi.

Ndio maana hayati JPM alikuwa hawezi kuvumilia wasomi kama hawa ambao wanajali matumbo kuliko maslahi ya taiafa letu.

My take: Itachukua muda mrefu sana kupata kiongozi mwingine kama JPM inabidi kuandaaa vijana wakiwa wadogo kupata viongozi wazalendo.
 
Back
Top Bottom