Yaliyojiri katika Chaguzi Ndogo: Uchaguzi wa ubunge jimbo la Dimani na madiwani Tanzania Bara

Yaliyojiri katika Chaguzi Ndogo: Uchaguzi wa ubunge jimbo la Dimani na madiwani Tanzania Bara

UPDATES MCHAGUZI MDOGO JIMBO LA DIMANI Z'BAR.

Anaandika Nizzoh Afrika Mwanaharakati

Kumetokea mgogoro kati ya mawakala wa CUF na Askari Polisi. Hali hii imepelekea mawakala wa CUF kuondolewa kwa nguvu kwenye vyumba vya kupigia kura na hivyo mawakala wa CCM kubaki peke yao.

Sababu za mgogoro huu ni kama ifuatavyo:

-Mawakala wa CUF amegundua baadhi ya masanduku yamejazwa kura ambazo zimeshapigwa tiki kwa mgombea wa CCM.

-Mawakala wa CUF wamegundua kuwa kuna watu hawamo ndani ya daftari la kupiga kura ila wamekuja kupiga kura na wameruhusiwa kupiga licha ya majina yao kukosekana kwenye daftari.

-Chumba number 6 kituo cha Kibondeni, imegundilikana kwamba masunduku yote yaliyopo yamejazwa kura ambazo zimeshapigwa tayari.

-Wapiga kura wengi jimbo la Dimani ni hewa.

-Police wameanza kupiga watu maeneo ya Fuoni kituo cha Kibondeni baada ya watu hao kudai kuna kura feki kwenye kituo hicho.

-Katika kituo hicho cha Fuoni mabasi yamekua yakisomba watu na kuwaleta kupiga kura. Watu hao si wakazi wa jimbo la Dimani. Picha hapo chini inaonesha moja ya mabasi yanayotumika kusomba watu na kuwapeleka vituoni kupiga kura.
tmp_22723-FB_IMG_1485077870607-828930293.jpg
 
Wakuu mtusaidie tujue mini kinaendelea kuhusu chaguzi ndogo zinazofanyika nchi nzima. Mi nadhani tungepeana updates hapa jukwaan, maana nasikia huko Zenji kuna sintofahamu Kati ya polisi na wananchi baada ya mawakala wa cut kutolewa na kuwekwa kizuizini. Wenye taarifa sahihi mtujuze!! Wahadha Salaam aleykum!!
 
Hadi sasa ni machafuko matupu, mawakala wa CUF wametolewa kwenye vyumba vya kupiga kura kwa makosa haya;
(a). Wamegundua baadhi ya masanduku yamejazwa kura ambazo zimeshatatiwa tiki kwa mbunge wa CCM.
(b). Wamegundua kuwa kuna watu hawamo ndani ya daftari la kupiga kura ila wamekuja kupiga kura na walipo pinga ndipo POLISI walivyoamua kuwatoa.
(c) Chumba numba 6 imegundilika kwamba masunduku yote yamejazwa kura.
(d) Mazombi wameanza kupiga watu maeneo ya Fuoni kituo cha Kibondeni
(e) Katika kituo hicho cha Fuoni mabasi yamekua yakisomba watu na kuwaleta kupiga kura. Watu hao si wakazi wa jimbo la Dimani. Picha hapo chini inaonesha moja ya mabasi yanayotumika kusomba watu na kuwapeleka vituoni kupiga kura.
Chanzo; # Hababi_CUF
 
Hadi sasa ni machafuko matupu, mawakala wa CUF wametolewa kwenye vyumba vya kupiga kura kwa makosa haya;
(a). Wamegundua baadhi ya masanduku yamejazwa kura ambazo zimeshatatiwa tiki kwa mbunge wa CCM.
(b). Wamegundua kuwa kuna watu hawamo ndani ya daftari la kupiga kura ila wamekuja kupiga kura na walipo pinga ndipo POLISI walivyoamua kuwatoa.
(c) Chumba numba 6 imegundilika kwamba masunduku yote yamejazwa kura.
(d) Mazombi wameanza kupiga watu maeneo ya Fuoni kituo cha Kibondeni
(e) Katika kituo hicho cha Fuoni mabasi yamekua yakisomba watu na kuwaleta kupiga kura. Watu hao si wakazi wa jimbo la Dimani. Picha hapo chini inaonesha moja ya mabasi yanayotumika kusomba watu na kuwapeleka vituoni kupiga kura.
Chanzo; # Hababi_CUF
89cae8010dfa44e3d878ea2730b410f5.jpg
 
Tena wapigwe sana maana tamaa imewazidi wapinzani ni juzi tuu mmetuaminisha mlishinda mkaporwa ushindi tume ile ile mazingira yale yale uchaguzi unaandaliwa mnakimbilia kichwa kichwa bora mmpate mnacho stahili mmezidi tamaa
 
[HASHTAG]#UchaguziMdogo[/HASHTAG] Kata ya Ikweha, wananchi wanapigwa na mbunge wa CCM Mahamud Mgimwa na kuwatisha na bastola wasishiriki uchaguzi.
Kata ya Ikweha, waliotishiwa bastola na Mbunge Mahamud Mgimwa ni Mratibu Kanda ya Nyasa Emmanuel Masonga.
Chanzo. Chadema Media
 
Tena wapigwe sana maana tamaa imewazidi wapinzani ni juzi tuu mmetuaminisha mlishinda mkaporwa ushindi tume ile ile mazingira yale yale uchaguzi unaandaliwa mnakimbilia kichwa kichwa bora mmpate mnacho stahili mmezidi tamaa
Tofautisha Nec na Zec
 
[HASHTAG]#UchaguziMdogo[/HASHTAG] Kata ya Ikweha, wananchi wanapigwa na mbunge wa CCM Mahamud Mgimwa na kuwatisha na bastola wasishiriki uchaguzi.
Nao wamekaa kimya wakipokea kipigo?
 
[HASHTAG]#UchaguziMdogo[/HASHTAG] Kata ya Ikweha, wananchi wanapigwa na mbunge wa CCM Mahamud Mgimwa na kuwatisha na bastola wasishiriki uchaguzi.
Nao wamekaa kimya wakipokea kipigo?
 
Back
Top Bottom