DODOMA
*Halmashauri ya Mpwapwa*
Kata ya Ng'hambi
CCM 2,061
CDM. 707
*Manispaa ya Dodoma*
Kata ya Ihumwa
CCM. 2,447
CDM. 1,590
ACT. 38
MOROGORO
*Manispaa ya Morogoro*
Kata ya Kiwanja cha Ndege
CCM. 3,643
CDM. 1,932
CUF. 817
ACT. 72
IRINGA
*Halmashauri ya Mufindi*
Kata ya Igombavanu
CCM. 2,034
CDM. 361
ACT. 71
Kata ya Ikweha
CCM. 2,242
CDM. 631
ARUSHA
*Halmashauri ya Meru*
Kata Ngarenanyuki
CCM. 1,746
CDM. 1,556
_Halmashauri hii ina kata 26, CHADEMA ilishinda kata 25 na CCM ilishinda kata moja tu ambayo ndio hiyo inarudiwa uchaguzi_.
ARUSHA
*Halmashauri ya Arusha (Arumeru Magharibi)*
Kata ya Mateves
CCM. 2,045
CDM. 1,966
NCCR. 897
_Halmashauri hii ina kata 27, CHADEMA ilishinda kata 21 na CCM ilipata kata 6 mojawapo ndio hiyo inayorudia uchaguzi_.
DAR ES SALAAM
*Halmashauri ya Temeke*
Kata ya Kijichi
CCM. 7,647
CUF. 4,574
CDM. 3,433
ACT. 336
UDP. 193
D/MAKINI 107
SINGIDA
*Halmashauri ya Mkalama*
Kata Kinampundu
CCM. 1,944
CDM. 1,133
SHINYANGA
*Kahama Mji*
Kata ya Isagehe
CCM. 2,582
CDM. 367
ACT. 385
KATAVI
*Halmashauri ya Mpimwe*
Kata Kasansa
CCM. 1,494
CDM. 1,088
MWANZA
*Halmashauri ya Kwimba*
Kata ya Malta
CCM. 1,997
CUF. 1,725
CDM. 422
ACT. 305
*Halmashauri ya Sengerema*
Kata Kahumulo
CCM. 2,251
CDM. 245
RUVUMA
*Halmashauri ya Mbinga*
Kata ya Maguu
CCM. 3,783
CDM. 358
*Manispaa ya Songea*
Kata ya Tanga
CDM. 1,904
CCM. 1,739
KAGERA
*Halmashauri ya Muleba*
Kata ya Kimwani
CUF. 2,898
CCM. 2,882
_Diwani aliyeshinda kata hii aliuwawa kwa mapanga, watuhumiwa ni aliyekuwa mgombea udiwani wa CCM na Afisa Mtendaji kata_.
GEITA
*Geita Mji*
Kata ya Nkome
CCM. 5,443
CUF. 3,035
CDM. 333
KILIMANJARO
*Halmashauri ya Mwanga*
Kata ya Lembeni
CCM. 2,403
CDM. 1,080
NCCR. 87
MANYARA
*Halmashauri ya Babati*
Kata ya Duru
CDM. 1,953
CCM. 1,916
PWANI
*Kibaha Mji*
Kata Misugusugu
CCM. 1,545
CDM. 1,525
CUF. 55
ACT. 66
_Kata hii CHADEMA ilishinda, wakachakachua, tukaenda mahakamani, ikaamuriwa uchaguzi urudiwe_. *Matokeo Halisi yalikuwa:*
CDM 1525
CCM 1515
CUF 55
ACT. 66
_Katika uchaguzi huu mdogo, CHADEMA inatetea kata moja tu ya DURU Halmashauri ya BABATI. Kata zingine 19 zinazobaki zilikuwa chini ya CCM_