Yaliyojiri katika Chaguzi Ndogo: Uchaguzi wa ubunge jimbo la Dimani na madiwani Tanzania Bara

Hivi msimamizi bado ni Jecha aliyehaidiwa zawadi ama?
 
Hahaha. CCM oyeee!!!!. Watani wanalia lia tu.
 
CCM naipenda sana. Hapa tunachinja. Watani wetu wanakodoa kodo wanakodoa.
 
Umeanza uzushi sasa yaani kipindi hiki masanduku yakamatwe?
 
Dimani uko kwakua anafanya fisiemu wala hawarejei uchaguzi
Reporter wetu tutumie n picha za matukio
 
Kazi ya mawakala sio kushika daftari la majina na kuanza kuhakiki majina hiyo ni kazi ya tume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…