Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,183
- 2,479
Hizi ni mbinu za kukawiza haki. Hakimu anasubiri maagizo kutoka kwa wakubwa zake. Atapiga chini pingamizi. Ndiyo maana amehitimisha kauli ya kuahirisha kesi kwa kuwataka upande wa mashitaka wamlete shaidi kesho kuendelee kutoa ushahidi.Hili jua la Leo liongezeke kidogo li wachome Jaji na Shahidi wake hadi wa seme sms walikuwa wanapokea toka kwa nani?