Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe: Jaji aahirisha kutoa uamuzi mpaka tarehe 17/11/2021 saa tatu asubuhi

Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe: Jaji aahirisha kutoa uamuzi mpaka tarehe 17/11/2021 saa tatu asubuhi

Jaji amesha ona haya maamuzi yake ya kuwa beba serikali ina kuja kuwa mbaya kwake. Maana kina Kibatala wana kusanya taarifa za kukata rufaa. Kule hakuna poyoyo tena. Bali kuangalia ni wapi Jaji ali teleza na kupa lalamikia.
Kwenye maamuzi yake tayari kuna mbeleko moja alisha ibeba serikali wazi wazi. Na hii inakwenda kufutwa na mahakama ya rufaa. Kina Kibatala sio maboya. Wako makini sana kwenye haya mapingamizi yao.
Jaji wabebe utakavyo ila maamuzi yako yana kwenda kuwa reference mbovu mahakamani.

Naomba kuuliza, hivi ikifahamika kuwa hakimu au jaji ametoa hukumu kwa kupindisha sheria ni hatua gani za kisheria anachukuliwa? Isije ikawa nao wana kinga ya hukumu za kupindisha sheria, hivyo kutoa mwanya wa kufanya wapendavyo kinyume na sheria.
 
Jaji amesha ona haya maamuzi yake ya kuwa beba serikali ina kuja kuwa mbaya kwake. Maana kina Kibatala wana kusanya taarifa za kukata rufaa. Kule hakuna poyoyo tena. Bali kuangalia ni wapi Jaji ali teleza na kupa lalamikia.
Kwenye maamuzi yake tayari kuna mbeleko moja alisha ibeba serikali wazi wazi. Na hii inakwenda kufutwa na mahakama ya rufaa. Kina Kibatala sio maboya. Wako makini sana kwenye haya mapingamizi yao.
Jaji wabebe utakavyo ila maamuzi yako yana kwenda kuwa reference mbovu mahakamani.
Nyie mnacheza tena mnacheza mko uchi kama mnategemea rufaa ndiyo akatokee huko mmekwisha tu pia maana huko nako mnawakuta majaji hamumkuti malaika huko
 
Salaam Wakuu,

Leo tarehe 16/11/2021 kesi ya Mwenyekiti wa CHEDEMA Freeman Mbowe inaendelea.

Kujua jana kesi ilipoishia, soma: Yaliyojiri kesi ya Freeman Mbowe na wenzake Nov 15,2021
Hawa Mawakili wa serikali na jaji wao, jumlisha wadau wa kutunga KESI ni wapumbavu,ieleweke , UPUMBAVU SIO TUSI BALI NI UPEO MDOGO WA KUPAMBANUA MAMBO.

Mawakili utetezi ,walisema ni Kwamba lazima Kama upo kizimbani ukiwa afisa wa police au Kama shahid na una document lazima omba kibali KWA mahakama husika fuul stop ,

Kama ukuomba Basi huo ni wizi Kama wizi mwingine wa nyaraka ,au kutazamia , Sasa hoja iyo ambayo ipo wazi inamfanya jaji kuhalisha KESI , Mambo ya kipuuzi ,eti unaanndika,unaandika nini wakati shahidi alijisalimisha mwenyewe KWA kuinua vitu alivyo tumiwa navyo kinyume Cha taratibu za Mahakama, Bila ruhusa ya Mahakama? Mfano sim, diary, na pen, ?

Kama SIO MPANGO wa kuwatesa watuhumiwa ni nini Sasa?

Majaji wa mwendazake sema kweli wanaidhalilisha mahakama,but MUNGU yupo
Salaam Wakuu,

Leo tarehe 16/11/2021 kesi ya Mwenyekiti wa CHEDEMA Freeman Mbowe inaendelea.
K
 
Na mimi nimeshangaa au labda sijaelewa vizur kuhusu mapingamizi ya jana.
Bado ni shahidi halali hadi atakapochambua vifungu vya sheria pande zote mbili nakujua ukweli upi.
NB Kuna umuhimu kuwa na majaji wa Dola na Jamhuri.
Mie sijui sheria,ila kitendo cha jaji kukubali notibook ikae mahakamani maana yake jaji anafahamu shahidi alikosea
 
Hawa Mawakili wa serikali na jaji wao, jumlisha wadau wa kutunga KESI ni wapumbavu,ieleweke , UPUMBAVU SIO TUSI BALI NI UPEO MDOGO WA KUPAMBANUA MAMBO.

Mawakili utetezi ,walisema ni Kwamba lazima Kama upo kizimbani ukiwa afisa wa police au Kama shahid na una document lazima omba kibali KWA mahakama husika fuul stop ,

Kama ukuomba Basi huo ni wizi Kama wizi mwingine wa nyaraka ,au kutazamia , Sasa hoja iyo ambayo ipo wazi inamfanya jaji kuhalisha KESI , Mambo ya kipuuzi ,eti unaanndika,unaandika nini wakati shahidi alijisalimisha mwenyewe KWA kuinua vitu alivyo tumiwa navyo kinyume Cha taratibu za Mahakama, Bila ruhusa ya Mahakama? Mfano sim, diary, na pen, ?

Kama SIO MPANGO wa kuwatesa watuhumiwa ni nini Sasa?

Majaji wa mwendazake sema kweli wanaidhalilisha mahakama,but MUNGU yupo

K
Jaji hawezi kuamua jambo mpaka afanye consultation kwa Jaji Kiongozi Siyani
 
Salaam Wakuu,

Leo tarehe 16/11/2021 kesi ya Mwenyekiti wa CHEDEMA Freeman Mbowe inaendelea.

Kujua jana kesi ilipoishia, soma: Yaliyojiri kesi ya Freeman Mbowe na wenzake Nov 15,2021

Ungana nami katika uzi huu ili kujua kila kinachojiri Mahakamani.


UPDATES;
- Jaji ameingia Mahakamani..

- Kesi inatajwa..


Wakili wa Serikali: Robert Kidando anatambulisha Jopo la Mawakili wa Serikali..
1. Jenitreza Kitali
2. Abdallah Chavula
3. Pius Hilla
4. Nassoro Katuga
5. Esther Martin
6. Tulimanywa Majige
7. Ignasi Mwinuka

Wakili Peter Kibatala anatambulisha Jopo la Mawakili wa Utetezi..
1. Jeremiah Mtobesya
2. John Mallya
3. Seleman Matauka

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shauri limekuja kwa ajili ya Uamuzi Mdogo

Peter Kibatala Mheshimiwa Jaji na sisi tupo tayari Kupokea Malekezo

Jaji: Jana nilihairisha shauri Jana Jioni, nikasema Nitasoma uamuzi leo... Lakini kutokana na wingi wa hoja naomba muda zaidi mpaka kesho.. Nikakamilishe kuandika uamuzi... Naomba radhi kwa hairisho hili ambalo hatukulitarajia wote..

- Mawakili wa pande zote wanasimama kukubaliana

Jaji: kama nilivyosema kwamba nahairisha shauri mpaka Kesho, UPANDE WA MASHTAKA MTAMLETA SHAHIDI ATAKAA KIZIMBANI NA ATAENDELEA KUTOA USHAHIDI Nahairisha mpaka kesho saa 3 asubuhi.

- Jaji anatoka!

Kooooooooooortiiiiiiiiii..

===

Kesi ya ugaidi inayomkabili mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu imeahirishwa hadi kesho kutokana na kutokukamilika kuandikwa uamuzi kuhusu uhalali wa shahidi wa Jamhuri anayedaiwa kupanda kizimbana akiwa na diary, simu na kalamu

Akitoa uamuzi huo leo Jumanne Novemba 16, 2021 Jaji Joachim Tiganga amesema ameshindwa kukamilisha kuandika uamuzi huo kutokana na wingi wa hoja zilizotolewa na mawakili wa pande zote.

Jana yaliibuka malumbano ya kisheria katika mahakama hiyo kuhusiana na uhalali wa shahidi kupanda kizimbani akiwa na diary, simu na kalamu.

Upande wa utetezi unadai kuwa shahidi huo alikuwa anatumia vifaa hivyo wakati akitoa ushahidi wake Ijumaa, jambo wanalosisitiza kuwa ni kinyume cha sheria na utaratibu.

Chanzo: Mwananchi
Mkuu, mbona inakomea tu saa za mchana pale jaji anaposema mapumziko mpaka saa 8 na dk 20?
 
Ni mijinga michache isiyojua kwa nini yamekuwa yanaishi. Wa ovyo na visifa vya kiranja kiranja
 
Huyo jaji ni bure kabisa na ni wa kimkakati halafu hata afiche basi, hamna, very useless kangaroo court judge.

Tusubiri ruling atakayokuja nayo hata kwa hoja rahisi kama hii ambayo hata "Layman" anaona, ndio kila mwenye kufikiri atajua kwamba hii kesi ni ya kipumbavu namna gani.
 
Naomba kuuliza, hivi ikifahamika kuwa hakimu au jaji ametoa hukumu kwa kupindisha sheria ni hatua gani za kisheria anachukuliwa? Isije ikawa nao wana kinga ya hukumu za kupindisha sheria, hivyo kutoa mwanya wa kufanya wapendavyo kinyume na sheria.
Nikiangalia rufaa zinazokatwa, na waliohukumiwa kushinda rufaa zao, MAANA YAKE MAJAJI NA MAHAKIMU KUNA NAMNA WANALINDWA PINDI WANAPOTOA HUKUMU ZISIZO NA HAKI
 
Nyie mnacheza tena mnacheza mko uchi kama mnategemea rufaa ndiyo akatokee huko mmekwisha tu pia maana huko nako mnawakuta majaji hamumkuti malaika huko
Kwa maneno haya.. nanukuu.. HAMUMKUTI MALAIKA HUKO...mwisho wa kunukuu... MAANA YAKE UONEVU UNAENDA KUCHUKUA NAFASI YA HAKI
 
Jaji ameingia Mahakamani Muda huu

Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe inatajwa hapa Mahakamani

Wakili wa Serikali Robert Kidando anatambulisha Jopo la Mawakili wa Serikali

Jenitreza Kitali
Abdallah Chavula
Pius Hilla
Nassoro Katuga
Esther Martin
Tulimanywa Majige
Ignasi Mwinuka

Wakili Peter Kibatala anatambulisha Jopo la Mawakili wa Utetezi


Jeremiah Mtobesya
John Malya
Seleman Matauka

Wakili wa Serikali Mheshimiwa Jaji Shauri limekuja kwa ajili ya Uamuzi Mdogo

Wakili Peter Kibatala Mheshimiwa Jaji nasisi tupo tayari Kupokea Malekezo

Jaji Jana nilihairisha Shauri Jana Jioni, Nikasema Nitasoma Uamuzi leo.

Lakini Kutokana kwa Wingi wa Hoja naomba Muda zaidi Mpaka Kesho


Nikakamilishe Kuandika Uamuzi

Naomba Radhi kwa Hairisho hili ambalo hatukulitarajia

Mawakili wa pande zote mbili Wanasimama Kukubaliana


Jaji kama nilivyosema kwamba nahairisha Shauri Mpaka Kesho, Upande wa Mashitaka Mtamleta Shahidi atakaa Kizimbani Na ataendelea Kutoa Ushahidi

Nahairisha Mpaka Kesho Saa 3 Asubuhi

Jamani[emoji23][emoji23][emoji23]

Huyu siyo jaji, Sasa anawaambia wamlete shahidi kesho aje kuendelea kutoa ushahidi wa Nini Sasa ,huku hujatoa rulling (hukumu/maamuzi/maelekezo) halafu unaahirisha mpaka kesho ili iweje Sasa???? Aiseeeeee Hakuna kitu hapo ,,,,ni upumbavu tu, hatuna haki taifa hili, unaahirisha mpaka kesho ,ko ni pingamizi gumu lakini utalitupilia ,Jaji Tiganga ni Kama ndugai tu Hakuna kitu hapo.
Huyu jaji anatafuta namna gani atakataliwa na utetezi ili ajiondoe kwenye hili chaka aliloingizwa. Kama hajamaliza kuandika maana yake hajatoa hukumu lakini anawaambia upande wa mashitaka wahenga shahidi apande kizimbani atoe ushahidi! Anajua kabisa ni kinyume na taratibu za maamuzi ya kimahakama, kwamba hawezi kuliwekea utaratibu shauri ambalo hata kuandikwa kwake hakijakamilika. Maana yake anataka aonekane amepewa maelekezo kwamba lazima shaihidi aendelee na si vinginevyo, na kwa maana hiyo wamkatae ajitoe. Hahahaaaa ngoja tusubiri.
 
Ndiomana kasema shahidi aje,

Basically, atatoa uamuzi shahidi akiwepo mahakamani...
atakaa kizimbani

Maana yake, uamuzi utatolewa akiwa kizimbani. Bado anazo sifa za kuwa shahidi.
na ataendelea kutoa ushahidi.
Wala msiwe na shaka au wasiwasi kwa statement hiyo ya Jaji.

This simply means that, shahidi bado yupo chini ya kiapo cha ushahidi, bado ana sifa ya kuitwa "shahidi"...

Na kauli hii "ataendelea kutoa ushahidi", ina maana ya kuwa si lazima awe anadodoswa pale kizimbani. Bali ni kwa sababu " bado ana sifa ya kuitwa shahidi" at least for some few seconds tomorrow before the judgement...
 
Huyu jaji anatafuta namna gani atakataliwa na utetezi ili ajiondoe kwenye hili chaka aliloingizwa. Kama hajamaliza kuandika maana yake hajatoa hukumu lakini anawaambia upande wa mashitaka wahenga shahidi apande kizimbani atoe ushahidi! Anajua kabisa ni kinyume na taratibu za maamuzi ya kimahakama, kwamba hawezi kuliwekea utaratibu shauri ambalo hata kuandikwa kwake hakijakamilika. Maana yake anataka aonekane amepewa maelekezo kwamba lazima shaihidi aendelee na si vinginevyo, na kwa maana hiyo wamkatae ajitoe. Hahahaaaa ngoja tusubiri.
Basically, atatoa uamuzi shahidi akiwepo mahakamani...


Maana yake, uamuzi utatolewa akiwa kizimbani. Bado anazo sifa za kuwa shahidi.

Wala msiwe na shaka au wasiwasi kwa statement hiyo ya Jaji.

This simply means that, shahidi bado yupo chini ya kiapo cha ushahidi, bado ana sifa ya kuitwa "shahidi"...

Na kauli hii "ataendelea kutoa ushahidi", ina maana ya kuwa si lazima awe anadodoswa pale kizimbani. Bali ni kwa sababu " bado ana sifa ya kuitwa shahidi" at least for some few seconds tomorrow before the judgement...
Jaji hana kauli nyingine anayoweza kuitoa zaidi ya hiyo...

Na sababu ni moja tu, kuwa, bado shahidi hajavuliwa sifa za kuwa shahidi...

Lakini sheria haidanganyi, iko wazi. Na hoja za kisheria za upande wa utetezi ni nzito na zina nguvu zaidi kuliko za washtaki...

Habari njema ni hii...HUYU SHAHIDI HAENDI ZAIDI YA HAPO ALIPOFIKIA..!

Jaji hana pa kutokea. Yuko uchi mchana kweupe. Ni lazima achutame tu...
 
Naomba kuuliza, hivi ikifahamika kuwa hakimu au jaji ametoa hukumu kwa kupindisha sheria ni hatua gani za kisheria anachukuliwa? Isije ikawa nao wana kinga ya hukumu za kupindisha sheria, hivyo kutoa mwanya wa kufanya wapendavyo kinyume na sheria.
Hatua za kisheria ni kukata rufaa.
 
SIKUWAHI KUFIRIA KWAMBA JAJI ANAWEZA KULA NJAMA ZA KUMDHURU MTU KATIKA MAAMUZI PASIPO HAKI........NA JARIBU TU KUVUTA HISTORIA YA MAJAJI WENGI WALIOJENGA LEGACY YA HUU MHIMILI WA MAHAKAMA i.e.Jaji Lugakingira, Kyando, Mchome, Chipeta, nk na BAADHI.... THINGS FALL APART KABISA
Judge Mfalila, Judge Kisanga, Judge Samatta, Judge Lewis Makame
 
Back
Top Bottom