Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe: Jaji aahirisha kutoa uamuzi mpaka tarehe 17/11/2021 saa tatu asubuhi

Nikiangalia rufaa zinazokatwa, na waliohukumiwa kushinda rufaa zao, MAANA YAKE MAJAJI NA MAHAKIMU KUNA NAMNA WANALINDWA PINDI WANAPOTOA HUKUMU ZISIZO NA HAKI
Kwa hapa tulipofikia kuna haja ya kuhoji uadilifu wa mahakama na kujua hatua stahiki za kuchukua.
 
Naomba kuuliza, hivi ikifahamika kuwa hakimu au jaji ametoa hukumu kwa kupindisha sheria ni hatua gani za kisheria anachukuliwa? Isije ikawa nao wana kinga ya hukumu za kupindisha sheria, hivyo kutoa mwanya wa kufanya wapendavyo kinyume na sheria.
Yule Jaji wa Kwanza alipolalamikiwa kabla hajajitoa akaibuka Jaji Mkuu na kusema kuna utaratibu wa kuwawajibisha Majaji wanapopindisha Sheria. Akatoa mlolongo mrefu kama treni ya Kigoma.
 
Yule Jaji wa Kwanza alipolalamikiwa kabla hajajitoa akaibuka Jaji Mkuu na kusema kuna utaratibu wa kuwawajibisha Majaji wanapopindisha Sheria. Akatoa mlolongo mrefu kama treni ya Kigoma.

Hiyo ndio sababu majaji wanaweza kufanya watakalo. Usishangae ukasikia hata rais yuko kwenye katiba ya kumuwajibisha jaji. Huku nyuma ya pazia rais ndio kabambikia kesi!
 
Ila kusema ule ukweli Mnowe si gaidi jamaani.


Atakufa mtu kwa uonevu huu wa kuwatesa kukaa ndani
 
Hii kesi inaendeshwa kimagumashi sana, jaji kila wakati wa kutoa maamuzi anaahirisha halafu kesho yake anajisahaulisha walipoishia.
Eti km jana alijifanya kusahau, ila sio kusahau anafanya kusudi hata kama kaairisha leo, kesho atatupilia mbali pingamizi
 
Eti km jana alijifanya kusahau, ila sio kusahau anafanya kusudi hata kama kaairisha leo, kesho atatupilia mbali pingamizi
pingamizi atalitupilia ,amesema kesho ni maamuzi lakini shahidi awepo kuendelea na ushahidi Sasa hapo si maamuzi tayari
 
Upumbavu mtupu, CCM kuna Siku mtalipa haya
 
Eti km jana alijifanya kusahau, ila sio kusahau anafanya kusudi hata kama kaairisha leo, kesho atatupilia mbali pingamizi

Huyo jaji hana uwezo kabisa na hiyo kesi, na kadiri kesi inavyoendelea anazidi kuchanganyikiwa. Kwanza anajaribu kuibeba jamuhuri, lakini ushahidi unaotolewa na upande wa jamuhuri una walakini sana, sasa anawajibika kubalance huo ushahidi wa kubumba ili aonekane bado anaimudu hiyo kesi, lakini hadi hapo alipo ameshachanganyikiwa. Nadhani anatengeneza mazingira ili upande wa upinzani upinzani waseme hawana imani naye ili ajitoe haraka sana. Lakini kimsingi jaji ameshakata moto, na hiyo kesi inamlemea kwani ni ya kutunga.
 
Jana Kibatala kamwambia jaji anazan mashahidi wangapi watapanda na Diary na simu kwenye kutoa ushahidi kama jaji akisema haikua makosa maana watakua Wana refer maamuzi ya jaju huyu
 
Cha ajabu pia Kuna maamuzi ambayo anayatoa na bado anajikanganya wakati akina kibatala wakiwa wanayatumia katika kuomba miongozo mbalimbali
 
Jana Kibatala kamwambia jaji anazan mashahidi wangapi watapanda na Diary na simu kwenye kutoa ushahidi kama jaji akisema haikua makosa maana watakua Wana refer maamuzi ya jaju huyu
Ndiyo maana nimesema, huyu Jaji this time hana upenyo wa kutokea...

Ameyakoroga na hana budi ayanywe hivyo hivyo na uchungu wake...

Huyu shahidi HAWEZI KWENDA ZAIDI YA HAPO ALIPOFIKA...

Sheria inamtazama Jaji Joachim Taganga kwa macho makali. Hawezi kukwepesha tena macho yake. In sharti tu aseme "NDIYO"...
 
Cha ajabu pia Kuna maamuzi ambayo anayatoa na bado anajikanganya wakati akina kibatala wakiwa wanayatumia katika kuomba miongozo mbalimbali
Exactly.
 
pingamizi atalitupilia ,amesema kesho ni maamuzi lakini shahidi awepo kuendelea na ushahidi Sasa hapo si maamuzi tayari
Yaan wanafanya ujinga hata wasio jua sheria wanaona upumbavu wao waziwazi, lakini pia hata hawaoni aibu ugaidi uliopangwa kufanywa nchi nzima na watu watatu na pistol moja yenye risasi 3 ambazo na zenyewe sjui haziendani akyanani nawaombea mabaya yoote yawafike na hila zao
 
Huyo jaji hana uwezo kabisa na hiyo kesi, na kadiri kesi inavyoendelea anazidi kuchanganyikiwa. Kwanza anajaribu kuibeba jamuhuri, lakini ushahidi unaotolewa na upande wa jamuhuri una walakini sana...
Yaan hapo alishindwa aandike nn hapo waliairisha kesi wakakae jopo zima waandikeeeeee mwisho wa gazeti aseme anatupilia mbali pingamizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…