K A T I B A M P YA! K A T I B A M P Y A!Days for murderers (CCM and its police force) are numbered. "Karibu katiba mpya na tume huru ya uchaguzi vituondolee huu uchafu".
Sawa mtu uliyeeishi kwa kuraruliwa na sita utakuwa na akili hata mojaNyumbu za mtaa wa ufipa acheni kuweweseka gaidi mbowe atavuna alichopanda
Kwa hapa tulipofikia kuna haja ya kuhoji uadilifu wa mahakama na kujua hatua stahiki za kuchukua.Nikiangalia rufaa zinazokatwa, na waliohukumiwa kushinda rufaa zao, MAANA YAKE MAJAJI NA MAHAKIMU KUNA NAMNA WANALINDWA PINDI WANAPOTOA HUKUMU ZISIZO NA HAKI
Yule Jaji wa Kwanza alipolalamikiwa kabla hajajitoa akaibuka Jaji Mkuu na kusema kuna utaratibu wa kuwawajibisha Majaji wanapopindisha Sheria. Akatoa mlolongo mrefu kama treni ya Kigoma.Naomba kuuliza, hivi ikifahamika kuwa hakimu au jaji ametoa hukumu kwa kupindisha sheria ni hatua gani za kisheria anachukuliwa? Isije ikawa nao wana kinga ya hukumu za kupindisha sheria, hivyo kutoa mwanya wa kufanya wapendavyo kinyume na sheria.
Yule Jaji wa Kwanza alipolalamikiwa kabla hajajitoa akaibuka Jaji Mkuu na kusema kuna utaratibu wa kuwawajibisha Majaji wanapopindisha Sheria. Akatoa mlolongo mrefu kama treni ya Kigoma.
Eti km jana alijifanya kusahau, ila sio kusahau anafanya kusudi hata kama kaairisha leo, kesho atatupilia mbali pingamiziHii kesi inaendeshwa kimagumashi sana, jaji kila wakati wa kutoa maamuzi anaahirisha halafu kesho yake anajisahaulisha walipoishia.
pingamizi atalitupilia ,amesema kesho ni maamuzi lakini shahidi awepo kuendelea na ushahidi Sasa hapo si maamuzi tayariEti km jana alijifanya kusahau, ila sio kusahau anafanya kusudi hata kama kaairisha leo, kesho atatupilia mbali pingamizi
Upumbavu mtupu, CCM kuna Siku mtalipa hayaSalaam Wakuu,
Leo tarehe 16/11/2021 kesi ya Mwenyekiti wa CHEDEMA Freeman Mbowe inaendelea.
Kujua jana kesi ilipoishia, soma: Yaliyojiri kesi ya Freeman Mbowe na wenzake Nov 15,2021
Ungana nami katika uzi huu ili kujua kila kinachojiri Mahakamani.
UPDATES;
- Jaji ameingia Mahakamani..
- Kesi inatajwa..
Wakili wa Serikali: Robert Kidando anatambulisha Jopo la Mawakili wa Serikali..
1. Jenitreza Kitali
2. Abdallah Chavula
3. Pius Hilla
4. Nassoro Katuga
5. Esther Martin
6. Tulimanywa Majige
7. Ignasi Mwinuka
Wakili Peter Kibatala anatambulisha Jopo la Mawakili wa Utetezi..
1. Jeremiah Mtobesya
2. John Mallya
3. Seleman Matauka
Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shauri limekuja kwa ajili ya Uamuzi Mdogo
Peter Kibatala Mheshimiwa Jaji na sisi tupo tayari Kupokea Malekezo
Jaji: Jana nilihairisha shauri Jana Jioni, nikasema Nitasoma uamuzi leo... Lakini kutokana na wingi wa hoja naomba muda zaidi mpaka kesho.. Nikakamilishe kuandika uamuzi... Naomba radhi kwa hairisho hili ambalo hatukulitarajia wote..
- Mawakili wa pande zote wanasimama kukubaliana
Jaji: kama nilivyosema kwamba nahairisha shauri mpaka Kesho, UPANDE WA MASHTAKA MTAMLETA SHAHIDI ATAKAA KIZIMBANI NA ATAENDELEA KUTOA USHAHIDI Nahairisha mpaka kesho saa 3 asubuhi.
- Jaji anatoka!
Kooooooooooortiiiiiiiiii..
===
Kesi ya ugaidi inayomkabili mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu imeahirishwa hadi kesho kutokana na kutokukamilika kuandikwa uamuzi kuhusu uhalali wa shahidi wa Jamhuri anayedaiwa kupanda kizimbana akiwa na diary, simu na kalamu
Akitoa uamuzi huo leo Jumanne Novemba 16, 2021 Jaji Joachim Tiganga amesema ameshindwa kukamilisha kuandika uamuzi huo kutokana na wingi wa hoja zilizotolewa na mawakili wa pande zote.
Jana yaliibuka malumbano ya kisheria katika mahakama hiyo kuhusiana na uhalali wa shahidi kupanda kizimbani akiwa na diary, simu na kalamu.
Upande wa utetezi unadai kuwa shahidi huo alikuwa anatumia vifaa hivyo wakati akitoa ushahidi wake Ijumaa, jambo wanalosisitiza kuwa ni kinyume cha sheria na utaratibu.
Chanzo: Mwananchi
Alikuwepo Jaji Mwalusanya!Jaji Ramadhani
Eti km jana alijifanya kusahau, ila sio kusahau anafanya kusudi hata kama kaairisha leo, kesho atatupilia mbali pingamizi
Jana Kibatala kamwambia jaji anazan mashahidi wangapi watapanda na Diary na simu kwenye kutoa ushahidi kama jaji akisema haikua makosa maana watakua Wana refer maamuzi ya jaju huyuJaji hana kauli nyingine anayoweza kuitoa zaidi ya hiyo...
Na sababu ni moja tu, kuwa, bado shahidi hajavuliwa sifa za kuwa shahidi...
Lakini sheria haidanganyi, iko wazi. Na hoja za kisheria za upande wa utetezi ni nzito na zina nguvu zaidi kuliko za washtaki...
Habari njema ni hii...HUYU SHAHIDI HAENDI ZAIDI YA HAPO ALIPOFIKIA..!
Jaji hana pa kutokea. Yuko uchi mchana kweupe. Ni lazima achutame tu...
Cha ajabu pia Kuna maamuzi ambayo anayatoa na bado anajikanganya wakati akina kibatala wakiwa wanayatumia katika kuomba miongozo mbalimbaliHuyo jaji hana uwezo kabisa na hiyo kesi, na kadiri kesi inavyoendelea anazidi kuchanganyikiwa. Kwanza anajaribu kuibeba jamuhuri, lakini ushahidi unaotolewa na upande wa jamuhuri una walakini sana, sasa anawajibika kubalance huo ushahidi wa kubumba ili aonekane bado anaimudu hiyo kesi, lakini hadi hapo alipo ameshachanganyikiwa. Nadhani anatengeneza mazingira ili upande wa upinzani upinzani waseme hawana imani naye ili ajitoe haraka sana. Lakini kimsingi jaji ameshakata moto, na hiyo kesi inamlemea kwani ni ya kutunga.
Ndiyo maana nimesema, huyu Jaji this time hana upenyo wa kutokea...Jana Kibatala kamwambia jaji anazan mashahidi wangapi watapanda na Diary na simu kwenye kutoa ushahidi kama jaji akisema haikua makosa maana watakua Wana refer maamuzi ya jaju huyu
It is a gambleNyie mnacheza tena mnacheza mko uchi kama mnategemea rufaa ndiyo akatokee huko mmekwisha tu pia maana huko nako mnawakuta majaji hamumkuti malaika huko
Exactly.Cha ajabu pia Kuna maamuzi ambayo anayatoa na bado anajikanganya wakati akina kibatala wakiwa wanayatumia katika kuomba miongozo mbalimbali
Yaan wanafanya ujinga hata wasio jua sheria wanaona upumbavu wao waziwazi, lakini pia hata hawaoni aibu ugaidi uliopangwa kufanywa nchi nzima na watu watatu na pistol moja yenye risasi 3 ambazo na zenyewe sjui haziendani akyanani nawaombea mabaya yoote yawafike na hila zaopingamizi atalitupilia ,amesema kesho ni maamuzi lakini shahidi awepo kuendelea na ushahidi Sasa hapo si maamuzi tayari
Yaan hapo alishindwa aandike nn hapo waliairisha kesi wakakae jopo zima waandikeeeeee mwisho wa gazeti aseme anatupilia mbali pingamizi.Huyo jaji hana uwezo kabisa na hiyo kesi, na kadiri kesi inavyoendelea anazidi kuchanganyikiwa. Kwanza anajaribu kuibeba jamuhuri, lakini ushahidi unaotolewa na upande wa jamuhuri una walakini sana...