Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe na wenzake, kesi imeahirishwa mpaka 15, Nov 2021

ERYTHROCYTE VIPI WAZUNGU SIKU HIZI WAMESHAKATA PUMZI YA KUSHABIKIA UGAIDI WA MBOWE?
Wameshajuwa Samia ni pimp wa kesi hawajishughulishi na ujinga wa Samia hawana sababu ya kuona Jaji anaiba nyaraka stoo kumpa shahidi wa serikali hawapendi upumbavu wajaji kuruhusu shahidi wa serikali anasoma majibu kwenye simu na diary haha Samia ni zumbukuku limemchweya chifu Hangaya alidhani kesi ya kubumba ni kizenj zenj shetani kamchoka kambwaga atajiju
 

Mahakama imeagizwa kuibeba serikali, ndio maana jaji anakuwa refa na wakati huo mchezaji.
 
Mbowe akiwa jela chief Hangaya atakuwa kamfuata kaka yake Magu kuzimu ndio principle ya dhuluma hadi sasa kajisiiliba kinyesi akili yake kaa makonda vile
Hata kama jaji angekuwa ni katibu wa CCM, hakuna hoja za kumfanya mbowe awe na kesi ya kujibu.

Mahakama kuu haitakubali kujidharaulisha kiasi hicho..
 
Mtiririko huu hapa unaweka wazi kuwa Jamuhuri inawakilishwa na the best advocates ila mbele ya kina Kibatara ni sunday school babies.
 
Bashite wewe kiazi ulifeli darasa la nne mara 4 la saba mara 2 chuo.Moshi walikudisco ukarudi umeapa kubaki jina ukamaliza kwa nguvu za sita kwa sababu alikuondoa marinda habari yako Tanzania nzima tunaijuwa so usijitoe ufahamu
ndege JOHN Ni MANDAKO?? Aiseeee
 

Ww lazima utakuwa ni mzee, tena unayelalia kwenye upande wa siasa chafu za serikali. Kinachokuudhi kwenye hiyo kesi ni baada ya kuona uhuni wa serikali wa kesi ya kutunga unakaa wazi, hivyo unataka hiyo kesi iwe siri. Eti kesi inaenda na public mood, itaacha kuwa na public mood wakati Rais na IGP wamekuja public ili kumchafua Mbowe na haiba ya chama chake? Hiyo kesi haifanani kwa chochote na ya Sabaya maana hii ni ya kutunga, na ya Sabaya ilikuwa ni ya kweli na ushahidi wa wazi. Hii wamejazana mashahidi wa uongo toka upande wa jamuhuri ili kupotosha, uzuri ni kuwa mawakili wa utetezi wako vizuri kwenye upande wa hiyo kesi.
 
MACHUKIZO Hao mashahidi wataendelea sana kupotoka sababu NI CHUKIZO KWA MUNGU KUWA SHAHIDI WA UONGO.
 
Hapa umemtwanga na kitu kizito, lazima aelewe tu.

Cc Boniphace Bembele Ng'wita
 
Kwahiyo unaumia watu kuwa informed.
Huoni kama umetumia msamiati usio sawia?unachosema hakina tofauti na kile kwenye mprira kwamba wachezaji wanacheza na jukwaa kiambacho ni uwongo...
Hakuna ubaya wowote mawakili kuwa informed.They alot of study n reseach on everything they defend.Mbona huumii hawa mawakil wa serikal wanavyocheza na "executive mood pamoja na mood ya dola na majaji wa mahakama yenyewe?"

Kwakifupi umma wa watanzania umeamua kwa dhat kabisa kuukataa uovu ndio maama wanashiriki kufichua kila nia mbovu...
Suala la Kibatala katoa wap taarifa hiyo haihusiani na chochote as long as haiathir mwenendo wa kesi.

Pia hata kama kesi itachelewa kuisha, hakuna ulazima wa kuharakisha kesi iishe mapema wakat kuna loop holea kibao zinazoonyesha kasoro kuwa kesi ina kila hila na uovu wa washtaki.sasa wewe unataka tufuate mkondo wa Sabaya keai iende haraka haraka ili Mbowe afungwe kirahis kama mlovyo plan??? Maana mlivyomhukum 7ya licha kwamba ilikua haki yake mlikua pia mnawaanda kisaikolojia watu waridhike kirahia pia hata hukumu nzito itakaposhuka kwa Mbowe kitu ambacho mli miscalculate ...

Acha kesi iende hiv hiv hata kama itakuchukua yeara cha msing haki ipatikane.

Na mwisho kama umesoma vizuri, Kibatala mwenyewe kaweka wazi kwamba "Profesaor Jay ameni text kuwa shahidi anasoma" na hapa ndipo waligundua kwakua wao wali concerntrate kufuatilia mengine huku wanyetishaji nao wako mahakam kufuatilia mengine.Usije ukadhan kila anaye kwemda mahakama mwana cdm ukadhan kaenda bora mradi tu.People are claver brother hawaendi pale kupoteza muda tu.Kama kusikiliza keai tu basi wangeweza kufuatilia mitandaon kama tunavyofanya wengine
 
Ni vyema ungelala au ukhudumia ndoa
 
Niliyaongea mapema Ile kuwa shahidi ANAONGEA Kama KAKARIRISHWA,kumbe alikuwa na dayari amejaza nondo za kutosha. Msemwa ,,hivi wanao Ndugu na marafiki wakiona unatoa vitu mahakamani si watakutharau?? Ona sasa .NILISEMA Ile mapema mwisho WA ubaya NI fedheheko.
 
Mkuu 'NewOrder', kwani huyo Rais ndio sheria?

Mahakama inatakiwa kufuata utaratibu wake wa kufanya kazi bila kujali haya mambo mengine yanayoingizwa humo.

Jaji atakuwa amejijengea heshima kubwa sana, hasa kwenye kesi iliyo wazi kama hii, kufuata tu taratibu za kimahakama na kuacha sheria ifanye kazi ipasavyo.

Rais na hao wengine uliowataja hapo hawana mchango wowote katika utoaji HAKI, ambayo ndiyo kazi ya mahakama.

Hawa watu wanapokiuka taratibu kama walivyofanya kwenye kesi hii, njia pekee ni kuwaacha waaibike kwa ujinga wao, wakidhani wao wako juu ya sheria, kumbe hawako juu ya sheria.

Shida inayoongeza matatizo yetu, ni kwa watu wanaojitambua kama wewe kuanza kuwa na wasiwasi, kwamba kauli zao haziwezi kupingwa. Hili linawaongezea kiburi cha kuzidi kukiuka sheria, wakijua tunaotawaliwa kumbe ni majuha!
 
Mstari wa mwisho huo wengi wanaulizia ipoje hii wana kiu tu ya kuchangia ili nafsi zao zipate furaha. Huenda kuna kitu wanakwepa lkn huenda wakapokea burungutu kwa kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…