Yee baba, ukiona mtahiniwa anaingia na desa ujue maji shingoni...anajaribu kujiokoa na sup.Mambo magumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yee baba, ukiona mtahiniwa anaingia na desa ujue maji shingoni...anajaribu kujiokoa na sup.Mambo magumu
Wameshajuwa Samia ni pimp wa kesi hawajishughulishi na ujinga wa Samia hawana sababu ya kuona Jaji anaiba nyaraka stoo kumpa shahidi wa serikali hawapendi upumbavu wajaji kuruhusu shahidi wa serikali anasoma majibu kwenye simu na diary haha Samia ni zumbukuku limemchweya chifu Hangaya alidhani kesi ya kubumba ni kizenj zenj shetani kamchoka kambwaga atajijuERYTHROCYTE VIPI WAZUNGU SIKU HIZI WAMESHAKATA PUMZI YA KUSHABIKIA UGAIDI WA MBOWE?
Hivi kwanini vile vitu yaani simu na ile dairy havijakaguliwa leo leo kabla hajarudishiwa?? Nimesikia Jaji akisema atabakiza dairy huku simu akisema arudishiwe shahidi. Wanaweza kuja weekend hii nakufanya mabadilisho. Hawa watu ni mabingwa wa kufanya editing nyaraka za Mahakama. Ni hayo Tu Mh Tindo
Mbowe akiwa jela chief Hangaya atakuwa kamfuata kaka yake Magu kuzimu ndio principle ya dhuluma hadi sasa kajisiiliba kinyesi akili yake kaa makonda vileHaiwezi kufutwa nyie subrini tu nyundo za mvua 30 kwa gaidi mbowe
Hata kama jaji angekuwa ni katibu wa CCM, hakuna hoja za kumfanya mbowe awe na kesi ya kujibu.Mbowe akiwa jela chief Hangaya atakuwa kamfuata kaka yake Magu kuzimu ndio principle ya dhuluma hadi sasa kajisiiliba kinyesi akili yake kaa makonda vile
Mtiririko huu hapa unaweka wazi kuwa Jamuhuri inawakilishwa na the best advocates ila mbele ya kina Kibatara ni sunday school babies.Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Sasa haya Maombi haya semi kama ni Kwa Mujibu wa Sheria au Lah na Kwa sababu hiyo Hatujui ni zoezi la Kisheria..
Kibatala: Sheria Inakataza na Mpaka kesi zipo za Marejeo Vifungu Vya 127 Vya Sheria ya Ushahidi,
... ona tofauti! Wakili wa Serikali hajui kwamba kuna sheria inakataza shahidi kupanda na "vibuti" kizimbani!
We jamaa, hicho kichwa hakina kitu kabisa.mawakili wa utetezi wanakosa cha kuzungumza wanakosa hoja za msingi mpaka wanaona vitu kama diary na peni vinamsaidiamshahidi kutoa maelezo? inamaana simu anaweza kuitumia hapokupata majibu kweli? hapo hakuna mawakili wa utetezi ni njaa tu zinawasumbua
Inawezekana Jaji mwenyewe ndio alikua anampa majibu,sasa kaua Soo.Hapo kwenye Simu ndo Tatizo mbona Polisi huwa wanashikilia Simu za watu issue ya privacy huwa haihusiki?
Cc jingalao johnthebaptist mama D Magonjwa Mtambukanyie akili mmeziweka rehani hatutaki ugaidi MBOWE NI GAIDI
ndege JOHN Ni MANDAKO?? AiseeeeBashite wewe kiazi ulifeli darasa la nne mara 4 la saba mara 2 chuo.Moshi walikudisco ukarudi umeapa kubaki jina ukamaliza kwa nguvu za sita kwa sababu alikuondoa marinda habari yako Tanzania nzima tunaijuwa so usijitoe ufahamu
Mkuu sijasema popote kuwa wananukuu public mood, nilichosema ukiwasikiliza na ukochora body language yao kifasihi utagundua kuwa kuna mahari Ni Kama wanakwenda na public mood, japo hawawez wakasema, ili ujastfy heb Angalia kile kibatara alichokise wakati anatoa zuio la kukataa kielelezo, mpka akasema hyo mtu ana diary cjui sim[emoji15][emoji15] cjui kama unanielewa, Sasa Angalia chanzo Cha alikotoa hyo taarifa, unaweza kuona how public mood inavyo waendesha wanasheria wetu, na ujue hata ile kesi ya yule mkuu wa wilaya ingekuwa inarepotiwa hivi Bila shaka isingekuwa imeisha...
Hapa umemtwanga na kitu kizito, lazima aelewe tu.Ww lazima utakuwa ni mzee, tena unayelalia kwenye upande wa siasa chafu za serikali. Kinachokuudhi kwenye hiyo kesi ni baada ya kuona uhuni wa serikali wa kesi ya kutunga unakaa wazi, hivyo unataka hiyo kesi iwe siri. Eti kesi inaenda na public mood, itaacha kuwa na public mood wakati Rais na IGP wamekuja public ili kumchafua Mbowe na haiba ya chama chake? Hiyo kesi haifanani kwa chochote na ya Sabaya maana hii ni ya kutunga, na ya Sabaya ilikuwa ni ya kweli na ushahidi wa wazi. Hii wamejazana mashahidi wa uongo toka upande wa jamuhuri ili kupotosha, uzuri ni kuwa mawakili wa utetezi wako vizuri kwenye upande wa hiyo kesi.
Kwahiyo unaumia watu kuwa informed.Mkuu sijasema popote kuwa wananukuu public mood, nilichosema ukiwasikiliza na ukochora body language yao kifasihi utagundua kuwa kuna mahari Ni Kama wanakwenda na public mood, japo hawawez wakasema, ili ujastfy heb Angalia kile kibatara alichokise wakati anatoa zuio la kukataa kielelezo, mpka akasema hyo mtu ana diary cjui sim[emoji15][emoji15] cjui kama unanielewa, Sasa Angalia chanzo Cha alikotoa hyo taarifa, unaweza kuona how public mood inavyo waendesha wanasheria wetu, na ujue hata ile kesi ya yule mkuu wa wilaya ingekuwa inarepotiwa hivi Bila shaka isingekuwa imeisha...
Ni vyema ungelala au ukhudumia ndoaMkuu sijasema popote kuwa wananukuu public mood, nilichosema ukiwasikiliza na ukochora body language yao kifasihi utagundua kuwa kuna mahari Ni Kama wanakwenda na public mood, japo hawawez wakasema, ili ujastfy heb Angalia kile kibatara alichokise wakati anatoa zuio la kukataa kielelezo, mpka akasema hyo mtu ana diary cjui sim[emoji15][emoji15] cjui kama unanielewa, Sasa Angalia chanzo Cha alikotoa hyo taarifa, unaweza kuona how public mood inavyo waendesha wanasheria wetu, na ujue hata ile kesi ya yule mkuu wa wilaya ingekuwa inarepotiwa hivi Bila shaka isingekuwa imeisha...
Mkuu 'NewOrder', kwani huyo Rais ndio sheria?Uko sahihi. Ninaona kauli za IGP na Rais zikiwa sehemu ya shauri hili. Je Jaji atakuwa tayari kuonesha kuwa Rais hakuwa sahihi? Je Jaji yuko tayari kuonesha maneno ya IGP “mbowe sio malaika, ushahidi tunao…” hayataathiri uamuzi wake??
Ninaona kesi hii ikikwama huko mbele hasa pale mahakama itakapoombwa kuita mashahidi wanaotakiwa na utetezi!
Mstari wa mwisho huo wengi wanaulizia ipoje hii wana kiu tu ya kuchangia ili nafsi zao zipate furaha. Huenda kuna kitu wanakwepa lkn huenda wakapokea burungutu kwa kweliKesi ya kutunga, mashahidi wanaokotwa tu njiani eti kwa sababu ni Askari Wa upelelezi...
Yaani shahidi wa Jana Jumanne akaibiwa nondo toka stoo ya mahakama...
Huyu wa leo naye kwa sababu ya maandalizi ya haraka haraka amepewa nyaraka ambayo hata siyo ya kwake eti itumike kama kielelezo cha ushahidi wake...
Hawa mawakili wa Jamhuri kwa kushirikiana na maafisa wa mahakama hakika ni WAJINGA SANA na NIA YAO kwa watuhumiwa hawa kwa hakika wala hata siyo KUTENDA HAKI na haki hiyo ionekane INAVYOTENDEKA...
Hivi utaletaje barua iliyokuwa addressed kwa mtu mwingine na kuifanya kuwa yako ili uitumie kama ushahidi ili mwenzako ahukumiwe..??
Hivi kuna Jaji gani mjinga anaweza kukubali UJINGA HUU...?
Huyu Jaji, Mimi ninaamini kabisa kuwa, hata kama iko nguvu ya nje kumlazimisha kuwahukumu kifungo kina Mbowe na wenzake, lakini haiwezekani kuwa kwa njia za kijinga namna hii kwa uongo wa mchana kweupe kiasi hiki...
Ni Bahati mbaya sana kuwa huyu Jaji anashirikiana na watunga uongo WAPUMBAVU na WAJINGA SANA kiasi cha kumpa wakati mgumu sana Jaji kuwabeba beba kila wakati...
Hii nyaraka nayo haitapokelewa kwa hakika nawaambia for the same grounds kama ambavyo D.R ya Jumanne ilikataliwa jana kwa mujibu wa sheria..
Hongereni sana mawakili wa utetezi. Mko makini sana na mnafanya kazi kubwa sana kuzidhibiti hila za UOVU WA HAWA HAYAWANI....!!
NB:
OUT OF CONTEXT:
Hivi njia na utaratibu wa kuchangia mfuko wa mawakili na kesi za wapigania haki wa CHADEMA uko wapi...?