Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe na wenzake, kesi imeahirishwa mpaka 15, Nov 2021

Mimi MTU akishabikia ujinga wa CCM huwa naishia kumchukia sana, nilishavunja mahusiano kisa alishabikia CCM....nikaona kuna siku nitakuja kumvunja NTU kalio bure
CCM hawana tatizo,tatizo ni Msajili,IGP,Mahela na Subfer.hawa wakiwa wanasimamia sheria hata hiyo misafara hungeiona kwakuwa pesa ingebanwa.
 
Wewe umfirwaji.

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
Ahahahahaaa unaridhisha nafsi yako kwa kutukana ...!! Niliandika ndammu acha matusi... Ahahahahahaaa UKALIMWAGA TENA TUSI LA HAJA... Hongera kwa matusi ingawa ni ya kizamani ya tangu enzi za Sodoma na Gomola, KUWA WA KISASA, TWANGA MATUSI MAPYA ndammu ... !! Hayo ya zamani achia wanaojifunza kutukana... ahahahahaa
 
Uwezo wako wa kifikiri uko sawa na uwezo wa kuku
 
Sasa huyu kijana kwanini anawabebesha wenzie toroli badala ya kuwapa farasi walivute.
 
Hiii ni fedhea kwa upande wa silikari hivi watafikisha mashahidi 15 kweli?? Mi naona wameanza kutapatapa baada ya kuzidiwa na akina kibatala mwisho wa siku watapoteana kabisa!!
Ndio maana wanaamua kuajiri failures, kuna dogo hapa kitaa aliomba nafasi za polisi zilizotangazwa hivi karibuni lakini wamemkataa kwa sababu O-level alipata divisheni 3.
 
Ndiyo maana mimi napingana sana na wanaotaka kesi ifutwe,wacha upepo uvume tuzione nyeti za kuku. Wacha iende hadi Mahakama ya Rufaa ili hawa washenzi wazidi kuabika iwe fundisho.
 
Wewe nawe ni kasuku
1. ni makosa kuwa na diary hasa kwa polisi
2. je alipokuwa kizimbani alikuwa akitoa ushahidi kutoka kwenye diary na hiyo simu
3. je upo utaratibu wa kuwapekuwa mashahidi kabla ya kuingia kwenye kizimba cha kutolea ushahidi
Mtumie akili kidogo
 
Ana jicho la 3, think & see beyond normal vision
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…