Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe na wenzake, kesi imeahirishwa mpaka 15, Nov 2021

Katiba mpya ni lazima na ni sasa.
 
ni sheria gani inayosema shahidi hatakiwi kuwa na material yeyote? wakati sheria inaruhusu kama kuna kitu unataka kufanya reference unaiomba mahakama na unasoma kabisa sehemu za kumbukumbu zako? acha kupoteza wenzako bush lawyer wewe.
Vipi vifungu vya Sheria vinasemaje?
 
Madaktari wanaingia na nondo sembuse njagu.
Njagu si aliapa anapopewa unjagu na Leo mahakamani kaapa,he PGO haijui akiwa mahakamani.
Swali,nani amempa maono Kibatala atabiri kuwa jamaa ana nondo?
Siku 3 mfululizo mlikuwa na J4 ambaye amekiri kusimamishwa kazi kwa utovu wakumbambikia meno halafu upande wa serikali bado unamtumia mahakamani.
Muuguzi analalamikiwa na wagonjwa,Dr unamtumia tena akathibitishe dawa kwa wagonjwa.
 
mawakili wa utetezi wanakosa cha kuzungumza wanakosa hoja za msingi mpaka wanaona vitu kama diary na peni vinamsaidiamshahidi kutoa maelezo? inamaana simu anaweza kuitumia hapokupata majibu kweli? hapo hakuna mawakili wa utetezi ni njaa tu zinawasumbua
 
Hii kesi jamuhuri inatamani itemane nayo ila inashindwa itaitema vipi[emoji1][emoji1]
 
Hivi uko timamu kiakili au unaandika tuu ilimradi uandike?
Ukiingia kwenye mijadala ya watu timamu andika kwa kufikiri kwanza, maana waweza kuwa na hoja basi iweke vizuri sio kama mtu aliyekamatia mpini.
nyie akili mmeziweka rehani hatutaki ugaidi MBOWE NI GAIDI
 
ni sheria gani inayosema shahidi hatakiwi kuwa na material yeyote? wakati sheria inaruhusu kama kuna kitu unataka kufanya reference unaiomba mahakama na unasoma kabisa sehemu za kumbukumbu zako? acha kupoteza wenzako bush lawyer wewe.
Ingekuwa sio kosa, basi visingezuiliwa na mahakama.

Muda huu bado wanajadiliana issue nyingine, after that ndio hivyo vifaa vitakaguliwa. Nasubiria kwa hamu huo ukaguzi.

Right now, acha niconcentrate kusikiliza. Ni raha kuhudhuria hapa mahakamani.
 

Mambo mazito upande wa wanaowaongoza mashahidi wa jamhuri kupitia kwa wakili wa serikali (WS)
 
ni sheria gani inayosema shahidi hatakiwi kuwa na material yeyote? wakati sheria inaruhusu kama kuna kitu unataka kufanya reference unaiomba mahakama na unasoma kabisa sehemu za kumbukumbu zako? acha kupoteza wenzako bush lawyer wewe.
Wewe naona hujafikia hata kiwango cha kuitwa bush lawyer.

Document ambayo shahidi anaruhusiwa kuiwakilisha kama ushahidi wake huwa imewasilishwa mbele ya mahakama wakati wa uwasilishaji hoja. Ndiyo maana vielelezo huwa vinatolewa na mahakama kumpa aliyewasilisha. Siyo unakurupuka tu mikaratasi yako unaenda kusimama kizimbani.
 

Dah mambo hadharani! Kuna mikono mingi nyuma ya pazia inahusika kuingilia mwenendo wa kesi hii ya kihistoria.
 
Ingekuwa sio kosa, basi visingezuiliwa na mahakama.

Muda huu bado wanajadiliana issue nyingine, after that ndio hivyo vifaa vitakaguliwa. Nasubiria kwa hamu huo ukaguzi.

Right now, acha niconcentrate kusikiliza. Ni raha kuhudhuria hapa mahakamani.
kesi hii wengi mnaojadili hamjui kabisa procedure za mahakamani, na huwa ni ngumu sana kuwaelewesha. subiriini kesi ifike mwisho mtapata jibu. yaani kitu very trivial utakuta mnashikilia bango as if ndio kinachoamua kesi yote. hayo ni mambo ya kawaida mahakamani, pale ni vita vita mura, ila mwisho anayeshinda ndio ananyanyua bango.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…