St Lunatics
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 6,644
- 11,174
madesa... ha ha ha ha ha scripts ni ngumu kukariri jamani.Kibatala: MHESHIMIWA JAJI tunaomba Tujirizishe kama Shahidi hana Diary na Kama Kwenye Diary anaandika Chochote.. Na Pia kama Shahidi ana simu pale kizimbani.... Na Kama ameingia na Vitu Visivyoruhusiwa kizimbani tunaomba aondolewe kuwa Shahidi..
Kibatala: Zitoke pande mbili za Mawakili Chini ya Mahakama tukamkague Kwanza Kabla Kesi haijaendelea...
Shahidi: ANAONYESHA DIARY, PENI, KARATASI NA SIMU JUUUUUU kabla hajakaguliwa...
Kibatala: Tunaomba vitu hivyo viwe chini ya uangalizi wa mahakama kabla hatujaendelea na kesi
jamaa afungwe siku 14 kwa kuingia na madesa kizimbani.Angekuwa ni mtu mwingine amebambwa na hzo zaga ni magereza siku 14! Embu tuone mwisho ni nin
mbowe ndiyo anatia nchi hii nuksi na UGAIDI WAKESerikali ya CCM inajihusisha pia na kubumba ushahidi mahakamani katika kesi zao za kubumba dhidi ya Raia wema.
Hivi hata mdhikiri uchi nchi haiwezi kufanikiwa kwa chochote kile.
Ndio maana hata baada ya Majaliwa kutembelea mazoezi ya Taifa stars tumeambulia kipigo cha 0-3.
Balaa tupu, mpira tucheze sisi Masoli tulambwe sisi.
Serikali iache mambo ya nuksi
Dah... Washazoea kuiba kura wanadesa mpaka mahakamani...Kibatala: MHESHIMIWA JAJI tunaomba Tujirizishe kama Shahidi hana Diary na Kama Kwenye Diary anaandika Chochote.. Na Pia kama Shahidi ana simu pale kizimbani.... Na Kama ameingia na Vitu Visivyoruhusiwa kizimbani tunaomba aondolewe kuwa Shahidi..
Kibatala: Zitoke pande mbili za Mawakili Chini ya Mahakama tukamkague Kwanza Kabla Kesi haijaendelea...
Shahidi: ANAONYESHA DIARY, PENI, KARATASI NA SIMU JUUUUUU kabla hajakaguliwa...
Kibatala: Tunaomba vitu hivyo viwe chini ya uangalizi wa mahakama kabla hatujaendelea na kesi
Afisa wa Mahakama anaenda Kizimbani Kuchukua DIARY, PENI na SIMU kutoka kwa shahidi wa Jamhuri.. Shahidi anatikisa kichwa kama ishara ya kusikitika... WS Pius Hilla anaendelea wakati shahidi anaendelea kusikitika...
Inamaana shahidi wa leo anapewa majibu kupitia simu? hii kesi wataumbuka sana, na kibaya zaidi kwao hii kesi kwenda live.
Hii kesi imeivua sirikali nguo mno.Naona kimeumana leo
Ikiwezekana wamuweke kwenye ignore list tuMnaojibizana na Iboya 2021
mnatukwaza sana kaeni kimya tu,
kwa sababu natoa kitu halisi MBOWE GAIDI AFUNGWE MILELEIkiwezekana wamuweke kwenye ignore list tu
TRUESerikali ya CCM inajihusisha pia na kubumba ushahidi mahakamani katika kesi zao za kubumba dhidi ya Raia wema.
Hivi hata mdhikiri uchi nchi haiwezi kufanikiwa kwa chochote kile.
Ndio maana hata baada ya Majaliwa kutembelea mazoezi ya Taifa stars tumeambulia kipigo cha 0-3.
Balaa tupu, mpira tucheze sisi Masoli tulambwe sisi.
Serikali iache mambo ya nuksi
Mashahidi wa uongo.. Mbowe sio Gaidi.Hata kama hapatakutwa na chochote kwenye hiyo diary cha kuathiri kesi
Mahakama haifanyi kazi namna hiyo dogo, inahitaji ushahidi wa kujiridhisha pasi na shaka na ndiyo maana Shahidi wenu wanaingia na madesa kufanya uhalali wa kumfunga mbowe.., ngoma bado mbichi.kwa sababu natoa kitu halisi MBOWE GAIDI AFUNGWE MILELE
Ushahidi wa kuokoteza hauwezi nyookaShahidi kaingia na nondo