Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Novemba 17, 2021: Kesi yaahirishwa mpaka tarehe 18/11/2021 saa tatu asubuhi

Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Novemba 17, 2021: Kesi yaahirishwa mpaka tarehe 18/11/2021 saa tatu asubuhi

Uganda magaidi walitaka kulipua bunge siyo vituo vya kuuza mafuta ya taa!

Mungu akutangulie utuhabarishe bila ushabiki wa kifipa.
1637046212940.jpg
umeshakunywa uji na mihogo kada?😃😀
 
Wamfunge tu..ushahidi wenyewe upo wazi kuliko ule wa sabaya wa kuunga unga na gundi
 
Hahaha huyu jaji anatuona sisi hatuna akili kabisa au ndo tuseme naye anajichanganya kama mashahidi

Mwanzo kadai kua shahidi anaruhusiwa kupanda kizimbani na material kama diary bila kuhitaji ruhusa, na kwa hilo akaona haoni sababu ya kumtoa shahidi

At the same time anasema anakubaliana na kibatala kwamba ufanyike ukaguzi kwenye diary ya shahidi kuangalia kama kuna content ambazo zina relate na kesi

Sasa ukaguzi wa nini wakati mwanzo mheshimiwa jaji umesema shahidi anaruhusiwa kuingia na diary ambapo baadaye shahidi ataweza kuomba ruhusa kwa ajili ya kujikumbusha?

Kwa hiyo hata kama ikionekana diary ilikua na contents ambazo zina relate na kesi, bado itakua ni bure kwasababu nwanzo ulishaweka backup kua shahidi hakukutwa akiwa anasoma.

Huyu jaji ni wakupingwa tu hamna kitu hapo
 
Hahaha huyu jaji anatuona sisi hatuna akili kabisa au ndo tuseme naye anajichanganya kama mashahidi

Mwanzo kadai kua shahidi anaruhusiwa kupanda kizimbani na material kama diary bila kuhitaji ruhusa, na kwa hilo akaona haoni sababu ya kumtoa shahidi..
My take: kama kukiwepo na contents ambazo zina relate na kesi, ina maana kwamba shahidi atakuwa ameitumia diary bila ya kuomba ruhusa ya mahakama.
 
Salaam Wakuu,


Leo tarehe 17/11/2021 kesi ya Mwenyekiti wa CHEDEMA Freeman Mbowe inaendelea baada ya kuahirishwa siku ya jana.

Kujua jana kesi ilipoishia, soma: Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe: Jaji aahirisha kutoa uamuzi mpaka tarehe 17/11/2021 saa tatu asubuhi

Ungana nami katika uzi huu ili kujua kila kinachojiri Mahakamani.
we mkuu suley unazingua.
unaanzisha uzi muhimu halafu unapotea .
unahujumu upatikanaji wa yanayoendelea hapo....!!!

inaonakana kazi hiyo imeshakushinda ..!!?
 
Hahaha huyu jaji anatuona sisi hatuna akili kabisa au ndo tuseme naye anajichanganya kama mashahidi

Mwanzo kadai kua shahidi anaruhusiwa kupanda kizimbani na material kama diary bila kuhitaji ruhusa, na kwa hilo akaona haoni sababu ya kumtoa shahidi

At the same time anasema anakubaliana na kibatala kwamba ufanyike ukaguzi kwenye diary ya shahidi kuangalia kama kuna content ambazo zina relate na kesi

Sasa ukaguzi wa nini wakati mwanzo mheshimiwa jaji umesema shahidi anaruhusiwa kuingia na diary ambapo baadaye shahidi ataweza kuomba ruhusa kwa ajili ya kujikumbusha?

Kwa hiyo hata kama ikionekana diary ilikua na contents ambazo zina relate na kesi, bado itakua ni bure kwasababu nwanzo ulishaweka backup kua shahidi hakukutwa akiwa anasoma.

Huyu jaji ni wakupingwa tu hamna kitu hapo
Hiyo dairy imesha badilishwa wala wasipoteze mda kuikagua
 
Hivi kuna uhusiano gani kati ya kula Mihogo na kulala/uchovu?
1637136468053.png

1637136487420.png
 
My take: kama kukiwepo na contents ambazo zina relate na kesi, ina maana kwamba shahidi atakuwa ameitumia diary bila ya kuomba ruhusa ya mahakama.
Na kwasababu alishatoa tamko jaji kwamba shahidi haitaji ruhusa kuingia na diary kizimbani basi itatafsirika kua hizo content hazina madhara kwenye hii kesi

Ikumbukwe kwamba jaji anakubali kua shahidi kafanya violation ila violation hiyo kaona haina madhara kisheria
 
Back
Top Bottom