Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Novemba 18, 2021. Kesi imeahirishwa hadi Novemba 22, 2021

Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Novemba 18, 2021. Kesi imeahirishwa hadi Novemba 22, 2021

Mbowe na genge lake wanapaswa wawe na nidhamu ya kuheshimu Mahakama.

Kama wataendelea kuleta mchezo wa kitoto wa kuichafua mahakama kwa kuleta Sarakasi zisizo na kichwa wala miguu watajiweka pabaya sana.

Jaji wa kwanza walimchafua na kumkataa.

Jaji wa pili alijitoa kwa sababu ya majukumu lkn walimchafua na kumkejeli.

Sasa Jaji huyu watatu naye wameanza kumchafua na kumkejeli.

Wanacho kifanya mawakili na wafuasi w mboe ni kutaka kuivuruga mahakama au kuishinikiza ifanye maamuzi kama wanavyo taka wao na sio vinginevyo.

Mahakama haipaswi kuingia ktk mtego huo wanao ufanya hao watuhumiwa na wafuasi wao.
hahahahahahahahahshahahah..............

mjinga kweli we mkuu..
 
Hilo gaidi la nini piga ndani tu
Pamoja na tuisheni za mara kwa mara pamoja na kubebeshwa (missile)desa, kesi ya kubumba inazidi kupwaya.
Jaji anateseka kwa kujaribu kuwabeba kama alivyoambiwa na mamlaka kuu ya uteuzi LAKINI, yaonekana mashahidi wote wameishatepeta.
Nadhani YAFAA wende nawe ukaokoe jahazi. Ukiweza kuwapa mazoezi ya kukariri ukitumia mateso na vitisho vilevile, labda watabadilika.
Hivi hivi itakuwa ngumu sana.
 
econonist- wewe humjui Mbowe na kwa sababu humjui nakusamehe.
Mbowe thought he could get away with it- this time amekwamana ili maneno ya waswahili yatimie- NDEGE MJANJA HUNASWA NA TUNDU BOVU
Acha uongo na uzandiki
 
Yaani haviishi! Matokeo yake, jamaa wanasota ndani bila sababu ya msingi. Wangekuwa WAMEDHAMINIKA, ingekuwa nafuu!

Sijui aliyebuni issue hii anajisikiaje, anapoona wenzie wanateseka kwa UBUNIFU wake!
Wajukuu au vitukuu vyake watakuja kulipa matunda ya dhuluma na uonevu wao.
 
Jaji hana uwezo na hilo linazidi kudhibitika siku hadi siku, hata yeye hapo alipo anajua kabisa kaingia kwenye tatizo kubwa. Huyo jaji asingekuwa na hukumu toka kwa rais mkononi, angeweza kufanya kazi yake vizuri. Lakini kitendo cha kukubali kupewa hukumu na majizi ya kura ndio kajimaliza.
Upo sahihi
 
KIBATALA NA GENGE LAKE WAMEPANDIKIZWA NA LISSU KUMUANGAMIZA MBOWE NDIYO MAANA KILA SIKU WANAWEKA MAPINGAMIZI YANAYOTUPWA KILA SIKU

hahaha! Iboya

Sasa kwakua mumeona plan A yakumfunga Mh Mbowe kisha mfanikiwe plan B yenu, zimesha anza kufeli,

sasa mnahamia plan C kwakujaribu kuwagombanisha viongizi wa CHADEMA wao kwa wao.
HILO HALITAFANIKIWA..

🌍
🇹🇿
✌🏼
 
Hoja hapa ni kuangalia hiyo nafasi ya kesi ndogo ndani ya kesi kubwa.
Kesi ndogo ina nafasi kwenye kesi kubwa, ndio maana Mawakili wote wanapambania wanacho kitetea.

Tatizo
Turudi shuLeni kwenye hisabati- unatakiwa uonyeshe njia na jibu - ukitoa kimoja huwezi pata 100 kwa 100.
Yeah sure comte.
ndio maana Mawakili wautetezi wanapinga njia(njia) waliyo tumia wenzao kupata io nyaraka(Jibu).
 
Mbowe na genge lake wanapaswa wawe na nidhamu ya kuheshimu Mahakama.

Kama wataendelea kuleta mchezo wa kitoto wa kuichafua mahakama kwa kuleta Sarakasi zisizo na kichwa wala miguu watajiweka pabaya sana.

Jaji wa kwanza walimchafua na kumkataa.

Jaji wa pili alijitoa kwa sababu ya majukumu lkn walimchafua na kumkejeli.

Sasa Jaji huyu watatu naye wameanza kumchafua na kumkejeli.

Wanacho kifanya mawakili na wafuasi w mboe ni kutaka kuivuruga mahakama au kuishinikiza ifanye maamuzi kama wanavyo taka wao na sio vinginevyo.

Mahakama haipaswi kuingia ktk mtego huo wanao ufanya hao watuhumiwa na wafuasi wao.
TATIZO MAWAKILI WA SERIKALI HAWABEBEKI HATA KWA MBELEKO YA BLANKET
 
Sasa tuwekea kwa kiswahili pia ili tujadili kama jaji wetu kweli unataka kurevist his ruling kuhusi ile exhibit detetion register.
kama nipo sahihi, unachohitaji mulwanaka nihiki alicho kifafanua comte.
👇🏾👇🏾

Functus officio is a Latin maxim which means that the jurisdiction of the designated authority comes to an end once he has performed his functions for which he was appointed.
Comte, mimi nita highlight hapa,
Once the award is delivered to the parties, the arbitral tribunal cannot review their own award and becomes functus officio.
kisha akaeleza kwakiswahili hivi kwa kurelate na Kinachoendelea Mahakamani
Kwa muktadha wa kesi hii mawakili wa utetezi wanasema kidhibiti kinachotakiwa kuwa- kilishwa mahakamni hakiwezi kupokelewa kwa sababu kilisha tumika kwenye kesi ndogo na mahakama kukitolea uamuzi na kwa kufanya hivyo imejifunga.

Upande wa serikali wanasema kielelezo hicho kilitumika kwenye kesi ndogo ndani ya kesi kubwa- hivyo mlango wa kutumiwa tena upo na hiyo FUNCTUS OFFICIO hajafikiwa kwa hiyo haiwezi kuwabana wao wala mahakama
 
kama nipo sahihi, unachohitaji mulwanaka nihiki alicho kifafanua comte.
👇🏾👇🏾

Comte
, mimi nita highlight hapa,

kisha akaeleza kwakiswahili hivi kwa kurelate na Kinachoendelea Mahakamani
Aamue yeye tu kutoelewa na lengo letu siyo kumlazimisha mtu kuelewa
 
kama nipo sahihi, unachohitaji mulwanaka nihiki alicho kifafanua comte.
[emoji1484][emoji1484]

Comte
, mimi nita highlight hapa,

kisha akaeleza kwakiswahili hivi kwa kurelate na Kinachoendelea Mahakamani
Hapana Alicho eleza ni tofauti na doctorine yenyewe, yeye amealeza views zake/ personal interpretation, mtizamo wake sio falisafa yenyewe..........
 
Sasa majaji na wao wasijichoshe, hii kesi wanatakiwa wasiwe wanaisikiliza kila siku, watuhumiwa wake siku 14 kama sheria inavyo tamka. wawe wanaletwa kila baada ya siku 14.
Huo sasa ujuha. Kesi lazima isikilizwe mfululizo
 
Mbowe na genge lake wanapaswa wawe na nidhamu ya kuheshimu Mahakama.

Kama wataendelea kuleta mchezo wa kitoto wa kuichafua mahakama kwa kuleta Sarakasi zisizo na kichwa wala miguu watajiweka pabaya sana.

Jaji wa kwanza walimchafua na kumkataa.

Jaji wa pili alijitoa kwa sababu ya majukumu lkn walimchafua na kumkejeli.

Sasa Jaji huyu watatu naye wameanza kumchafua na kumkejeli.

Wanacho kifanya mawakili na wafuasi w mboe ni kutaka kuivuruga mahakama au kuishinikiza ifanye maamuzi kama wanavyo taka wao na sio vinginevyo.

Mahakama haipaswi kuingia ktk mtego huo wanao ufanya hao watuhumiwa na wafuasi wao.
Nadhani waachwe mawakili wa pande zote wafanye kazi yao. Nilishaeema swala la sheria lina tactics na techenicle. Kuna mbinu na ufundi kwa ajuae haimpi shida. Jaji asimame imara atoe maamuzi kulingana na hoja za mawakili na si busara yake.
 
Back
Top Bottom