Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe 26 Jan 2022. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa ushahidi wake

Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe 26 Jan 2022. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa ushahidi wake

..yes kufunika aibu na kuendelea kupiga perdiem kwa jaji na mawakili wa jamhuri
Wakili wa Serikali: Baada ya Kusema Wapo tayari?

Shahidi: Laki Moja na tisini na Tisa Iliyobakia, nilimwambia Mtafanya kazi Iliyowapeleka, Lakini mkiona chochote ambacho cha uhalifu mtaniambia, Mohammed Ling'wenya Kwa Maneno yake aliniambia ASKARI HAWEZI KUWA RAIA ILA RAIA ANAWEZA KUWA ASKARI. Nikawaambia Chochote Kitakachotokea Wataniambia, Baada ya Hapo, Nilimpigia Freeman Mbowe akanitumia Laki Moja na Tisini na Tano, Kwa ajili ya nauli yao Kutoka Morogoro Kwenda Dar es Salaam..
 
Naona una copy kazi za watu, inakuwa kero JF
Wakili wa Serikali: Baada ya Kusema Wapo tayari?

Shahidi: Laki Moja na tisini na Tisa Iliyobakia, nilimwambia Mtafanya kazi Iliyowapeleka, Lakini mkiona chochote ambacho cha uhalifu mtaniambia, Mohammed Ling'wenya Kwa Maneno yake aliniambia ASKARI HAWEZI KUWA RAIA ILA RAIA ANAWEZA KUWA ASKARI. Nikawaambia Chochote Kitakachotokea Wataniambia, Baada ya Hapo, Nilimpigia Freeman Mbowe akanitumia Laki Moja na Tisini na Tano, Kwa ajili ya nauli yao Kutoka Morogoro Kwenda Dar es Salaam..
 
This is ridiculous .... Yaani huu ushahidi mpaka unatia hasira. Hata kama ni kweli Mbowe alikuwa anania hiyo, kwa nini huyu Luteni Urio awaset hao akina Adamoo. This is very bad and serious.

Hata kama Mbowe alikuwa na huo mpango kwa nini hakutumia watu wa usalama kufanikisha na badala yake akatumia watu wasio na kazi huku akiwadanganya kuwa wanakwenda kufanya kazi ya ulinzi wakati akijua kuwa ni terrorism ....sic!!
Polisi wamechemka... Nadhani director wa series kapoteza scripts!
FAM hana kesi ya kujibu hapo!
 
Shilingi laki tano kwa ajili ya kufanya uhalifu. Halafu uhalifu haukufanyika?.
 
Saa 3 usiku - na gari huwezi kuwa Dar kesho yake saa 4?
BTW it is none of Urio's business
Yaani ndio Kwa mara ya kwanza DCI anapigiwa simu juu ya hizo issue na Urio!

Sasa Kingai ambaye ni ACP Arusha anaingiaje hapo?Yaani kwanini huyo DCI hakumwita ACP wa Kilimanjaro au wa Mbeya au Morogoro?Why ghafla anapata taarifa za uhalifu amuite Kingai wa Arusha(kama kweli alimuita)!

Hapo ndio mashaka yanaanza ya ushahidi wa Urio!
 
Polisi wamechemka... Nadhani director wa series kapoteza scripts!
FAM hana kesi ya kujibu hapo!
Tamaa ya kushika dola ilimfanya zezeta ili maandiko yatimie- ndege mjanja hunasawa na tundu bovu

Wakili wa Serikali: Baada ya Kusema Wapo tayari?

Shahidi: Laki Moja na tisini na Tisa Iliyobakia, nilimwambia Mtafanya kazi Iliyowapeleka, Lakini mkiona chochote ambacho cha uhalifu mtaniambia, Mohammed Ling'wenya Kwa Maneno yake aliniambia ASKARI HAWEZI KUWA RAIA ILA RAIA ANAWEZA KUWA ASKARI. Nikawaambia Chochote Kitakachotokea Wataniambia, Baada ya Hapo, Nilimpigia Freeman Mbowe akanitumia Laki Moja na Tisini na Tano, Kwa ajili ya nauli yao Kutoka Morogoro Kwenda Dar es Salaam..
 
Tamaa ya kushika dola ilimfanya zezeta ili maandiko yatimie- ndege mjanja hunasawa na tundu bovu

Wakili wa Serikali: Baada ya Kusema Wapo tayari?

Shahidi: Laki Moja na tisini na Tisa Iliyobakia, nilimwambia Mtafanya kazi Iliyowapeleka, Lakini mkiona chochote ambacho cha uhalifu mtaniambia, Mohammed Ling'wenya Kwa Maneno yake aliniambia ASKARI HAWEZI KUWA RAIA ILA RAIA ANAWEZA KUWA ASKARI. Nikawaambia Chochote Kitakachotokea Wataniambia, Baada ya Hapo, Nilimpigia Freeman Mbowe akanitumia Laki Moja na Tisini na Tano, Kwa ajili ya nauli yao Kutoka Morogoro Kwenda Dar es Salaam..
KWENYE HII KESI MMECHEMKA SANA!!
 
Tuseme iwe hivyo,huoni kuwa wana-joepardize ushahidi wa mtoa ushahidi kama akigundulika kudanganya?Kwanini wasingempa immunity deal Kwa ushirikiano wake?Hebu angalia hii time frame,Urio anapiga simu Kwa DCI saa 3 usiku kumtaarifu juu ya alichoambiwa na Mbowe,anabambikwa aende ofisini,kesho asubuhi anaenda ofisini kwake hapo hapo DSM!
Baada ya dakika chache anakutanishwa na Kingai Pamoja na Mahita,kumbuka Kingai ni ACP Arusha!
Huyu shahidi atamalizwa vibaya mno na akina Kibatala!
What if hao jamaa walikuwa kwa DCI? Au immediately usiku ule alishawataarifu wakutane the next morning? Kumbuka hii ni issue kubwa sana, halafu ni enzi zile za JPM mambo yalikuwa kashikashi kama moto wa upepo kwenye nyasi kavu za kiangazi!
 
Sasa hao wengine mbona wanasota gerezani bila kosa masikini,watu wamekaa gerezani muda huo wote kwa kuambiwa kuwa wanaenda kufanya ulinzi dah ,urio umefanya makosa sana kwa kuangamiza vijana wa watu
 
Yaani ndio Kwa mara ya kwanza DCI anapigiwa simu juu ya hizo issue na Urio!
Sasa Kingai ambaye ni ACP Arusha anaingiaje hapo?Yaani kwanini huyo DCI hakumwita ACP wa Kilimanjaro au wa Mbeya au Morogoro?Why ghafla anapata taarifa za uhalifu amuite Kingai wa Arusha(kama kweli alimuita)!
Hapo ndio mashaka yanaanza ya ushahidi wa Urio!
Mkuu yaani Urio anahusikaje na Kingai- ila kwa mawakili wenu wanaharakati watamuuliza swali hilo na ngoja niwachongee jibu kabisa-
Kibatala: Kingai alikujaje kutoka Arusha ambacho ndicho kituo chake cha kazi?
shahidi: Sijui
Kibatala; Mh. Jaji naomba swali langu likijibiwe
Jaji: Nimesikia shahidi anakujibu hajui
Kibatala: samahani kwa usumbufu Mh. Jaji
 
What if hao jamaa walikuwa kwa DCI? Au immediately usiku ule alishawataarifu wakutane the next morning? Kumbuka hii ni issue kubwa sana, halafu ni enzi zile za JPM mambo yalikuwa kashikashi kama moto wa upepo kwenye nyasi kavu za kiangazi!
Hatuna haja ya kupiga ramli vyovyote vile swali hili si la kuulizwa Urio
 
Kama kamondoo mwenye cheo Cha Luten anafanya utoto huu nchi yetu haipo salama, yaani mtu unaambiwa Jambo kubwa Kama hili la kuvuruga Amani, unaamua kucheza mchezo wa kua undercover kwenye kikundi kinachopanga kuleta vurugu, then wewe unaenda kufanya recruitment ya watu ambao wameachichwa jeshi kwa utovu wa nidhamu ili wakawe sehemu ya kundi, then kabla ya ushahidi wa kutosha kuhusu hizo habari unaenda kuwakamatisha watu ambao wewe ndo umewashawishi kujiunga. Je, alishindwa vipi kutafuta askari ambao bado ni waadilifu wakawa undercover ili wakaendelee kuufuatilia mtandao mkubwa wa Mbowe ambayo hata yeye alihisi kua anaweza kua ana backup ndio maana akaamua kumkubalia. That is nonsense! Kama kweli hizi njama zilikuwepo hafai kua Luten wa jeshi, Ila Kama game yao unaendelea kuchezwa tuendelee kufuatilia
Yaani kwa maoni yangu, akina Adamoo na wenzake waachiwe leo hii hii maana shahidi kishathibitisha kuwa aliwaset up .... !!

Mwanzoni kesi ilipoanza nilikuwa na wasiwasi na hao watu kwa kuwa ni wanajeshi. Nilifikiri walitumika kumchomekea Mbowe. Nilishangaa akina Mbowe kuwaunganisha kwenye utetezi wake. Sasa naona ni jinsi gani ambavyo defence ya Mbowe walivyocheza mchezo. Hata kama hawa Makomando wako upande ule bado ni ngumu kwa serikali kuwatumia ...... Sasa wanajigonga mpaka wanaadmitt kuwa wao ndiyo waliowachomekea.

Luteni wa jeshi amabaye amekutana na Mbowe toka 2012 anashindwa kupata walau kaushahidi kadogo tu ka maneno au maandishi ... seriously!

Baada ya huyu shahidi ....DCI ajiuuzulu kwa kushindwa kazi.
 
This is ridiculous .... Yaani huu ushahidi mpaka unatia hasira. Hata kama ni kweli Mbowe alikuwa anania hiyo, kwa nini huyu Luteni Urio awaset hao akina Adamoo. This is very bad and serious.

Hata kama Mbowe alikuwa na huo mpango kwa nini hakutumia watu wa usalama kufanikisha na badala yake akatumia watu wasio na kazi huku akiwadanganya kuwa wanakwenda kufanya kazi ya ulinzi wakati akijua kuwa ni terrorism ....sic!!
Halafu kaka yake Mbowe alikuwa na cheo kikubwa sana jeshini. Aache kumtumia kaka yake awatumie watu asio wajua?? Nonsense
 
Mkuu kweli huwa wanaambiwa utapata mabikira 7 mbinguni.
Aliyekuwa anajua kuwa kuna ugaidi ni Mbowe na Urio WENGINE WOTE WALIKUWA WANAENDA TU
Sidhani kama yupo mtu mwenye akili timamu anayeweza kuridhia kama kondoo tu, endapo akiambiwa tunaenda kufanya UGAIDI! Walishawishiwa kwa namna nyingine ili wakishaingia kwenye 18 za kiongozi husika, kutoka hakuna! The only choice ni kutimiza matakwa yake!
 
Yaani kwa maoni yangu, akina Adamoo na wenzake waachiwe leo hii hii maana shahidi kishathibitisha kuwa aliwaset up .... !!

Mwanzoni kesi ilipoanza nilikuwa na wasiwasi na hao watu kwa kuwa ni wanajeshi. Nilifikiri walitumika kumchomekea Mbowe. Nilishangaa akina Mbowe kuwaunganisha kwenye utetezi wake. Sasa naona ni jinsi gani ambavyo defence ya Mbowe walivyocheza mchezo. Hata kama hawa Makomando wako upande ule bado ni ngumu kwa serikali kuwatumia ...... Sasa wanajigonga mpaka wanaadmitt kuwa wao ndiyo waliowachomekea.

Luteni wa jeshi amabaye amekutana na Mbowe toka 2012 anashindwa kupata walau kaushahidi kadogo tu ka maneno au maandishi ... seriously!

Baada ya huyu shahidi ....DCI ajiuuzulu kwa kushindwa kazi.
Haya ni maoni yako
m-pesa kwenda kwa HOMEBOY - for what?
do not forget the text massage and voice log
 
This is ridiculous .... Yaani huu ushahidi mpaka unatia hasira. Hata kama ni kweli Mbowe alikuwa anania hiyo, kwa nini huyu Luteni Urio awaset hao akina Adamoo. This is very bad and serious.

Hata kama Mbowe alikuwa na huo mpango kwa nini hakutumia watu wa usalama kufanikisha na badala yake akatumia watu wasio na kazi huku akiwadanganya kuwa wanakwenda kufanya kazi ya ulinzi wakati akijua kuwa ni terrorism ....sic!!
Huyu mpuuzi amewatesa wenzako kwa upumbavu wake
 
Halafu kaka yake Mbowe alikuwa na cheo kikubwa sana jeshini. Aache kumtumia kaka yake awatumie watu asio wajua?? Nonsense
Unajua vile wanasema, ^Niache mimi, tunaweza kushtukiwa mapema; n'takuwa tu undercover kwa mbali? Usikute hawa jamaa--sirikali--wananipiga CCTV zao!^ See?
 
Back
Top Bottom