Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Nilijua utamuuliza: Ukweli ni upi? Uongo je? And, how?Na huo ndio unaotakiwa mahakamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilijua utamuuliza: Ukweli ni upi? Uongo je? And, how?Na huo ndio unaotakiwa mahakamani
Hapa issue ni kupoteza ushahidi!View attachment 2096213
Wawalinde maana hawakawii kujinyonga hao...
Shahidi anasema alikutana na DCI na DCP Kingai, tangu lini Kingai akawa DCP? Au kuna Kingai wawili tofauti kwenye hii kesi?Yaani ndio Kwa mara ya kwanza DCI anapigiwa simu juu ya hizo issue na Urio,...
Usikute mwandishi ndiye anatuchanganya tu, lakini huko kizimbani mambo yamenyooka kama rula za Ngerengere!Yaani huyu shahidi ataongea Kichagga mahakamani. Maana anavyo jieleza mie mwana sheria lakini ana jikanyaga mbaya.
Sasa Nonsense ni nani hapa- uombe mbowe asitoke akitoka utapata tabu sana yaani unamwambia NONSENSEHalafu kaka yake Mbowe alikuwa na cheo kikubwa sana jeshini. Aache kumtumia kaka yake awatumie watu asio wajua?? Nonsense
Kingai alichemka... Urio alisema kuwa 500K alipokea ili jamaa wakafanye uhalifu...
Je, kuna sehemu mashahidi waashtaka kuanzia Kingai wameonesha ualifu uliofanywa na watuhumiwa??
Urio keshaimaliza nguvu hii kesi.
Amekuwa mkweli sana!
Kama watamfunga FAM, watafanya hivyo ila si kwa ushahidi unaotolewa kwenye kesi hii...!!
Laki tano, Urio kasema ilikuwa "nauli"...!
Sasa Nonsense ni nani hapa- uombe mbowe asitoke akitoka utapata tabu sana yaani unamwambia NO SENSENSEHalafu kaka yake Mbowe alikuwa na cheo kikubwa sana jeshini. Aache kumtumia kaka yake awatumie watu asio wajua?? Nonsense
Ataleta malumbanoNilijua utamuuliza: Ukweli ni upi? Uongo je? And, how?
Kwani mipango aliyoitiwa kule Mikocheni ilikuwa ya shughuli gani?Kingai alichemka... Urio alisema kuwa 500K alipokea ili jamaa wakafanye uhalifu...
Je, kuna sehemu mashahidi waashtaka kuanzia Kingai wameonesha ualifu uliofanywa na watuhumiwa??
...
Kwa historia ya mwandishi hata Mimi niliwahi fika mahakamani namtetea, CV yake inabeba anafanya kazi nzuri sana watu wengi wameifatilia hii kesi kupitia yeyeUsikute mwandishi ndiye anatuchanganya tu, lakini huko kizimbani mambo yamenyooka kama rula za Ngerengere!
Wakili wa Serikali: Baada ya Kusema Wapo tayari?Anachoongea Urio hakiwezekani. Kwanza ni immoral and unethical. Huwezi kutoa taarifa polisi kuhusu uhalifu na kisha ukawaingiza marafiki zako huku ukijua watapata matatizo makubwa...
Wewe nenda mahakamani uwaletee CCM wenzio mnayotaka kusikia.Usikute mwandishi ndiye anatuchanganya tu, lakini huko kizimbani mambo yamenyooka kama rula za Ngerengere!
Kwenye report ya uchunguzi wa simu haya maongezi hayakuonekana.....nini Jamhuri mnafanya jamani mwatutia aibu sie wengine huku khaa, mnajikanganya hadi aibuShahidi: Kwamba Samahani Tulikuwa Tumepitiwa. Kazi Uliyotuambia temekuja Kufanya Ya Ulinzi Kwa Freeman Mbowe imebadirika siyo hiyo, Kwamba Freeman Aikael Mbowe ametushawishi Kufanya kazi Nyingine.. Ambayo hivi sasa tunavyoongea, Wale Madogo (Adam Kasekwa na Mohamed Ling'wenya) Wapo Moshi sasa hivi na Lijenje Wapo Moshi Wamepewa kazi ya kumshambulia Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya.. Na kabla ya Tarehe 07 August 2020 Wanatakiwa Wawe Wameshamaliza kazi hiyo na Kurudi Dar es Salaam.
🤣Usikute mwandishi ndiye anatuchanganya tu, lakini huko kizimbani mambo yamenyooka kama rula za Ngerengere!
Hata hawa watatu alionao hapo na wako wote mahabusuShida NI kwamba he mbowe alimwambia kweli hayo maneno kamanda?
huyo kamanda anampeleka jela mbowe.anaonekana yeye ndio MKUDA
Naungana na wewe kumtaka DCI ajiuzulu. Haiwezekani suala la kuhatarisha Usalama wa nchi liachwe mikononi mwa Askari mmoja tena Asiyeweza hata kujeshimu wakubwa zake jeshini.Yaani kwa maoni yangu, akina Adamoo na wenzake waachiwe leo hii hii maana shahidi kishathibitisha kuwa aliwaset up .... !!
Mwanzoni kesi ilipoanza nilikuwa na wasiwasi na hao watu kwa kuwa ni wanajeshi. Nilifikiri walitumika kumchomekea Mbowe. Nilishangaa akina Mbowe kuwaunganisha kwenye utetezi wake...
Hata hawa watatu alionao hapo na wako wote mahabusu
soma hapa
Wakili wa Serikali: Baada ya Kusema Wapo tayari?
Shahidi: Laki Moja na tisini na Tisa Iliyobakia, nilimwambia Mtafanya kazi Iliyowapeleka, Lakini mkiona chochote ambacho cha uhalifu mtaniambia...