Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe 26 Jan 2022. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa ushahidi wake

Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe 26 Jan 2022. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa ushahidi wake

Mimi tangu kesi inaanza mwanzo kipindi mbowe anakamatwa.nilisema kosa alilofanya mbowe NI kushirikiana na hao wanajeshi wengi hawakunielewa.
Sasa wanajionea wenyewe.
Kama alikuwa anataka ulinzi alitakiwa atafute kampuni za ulinzi sio hao.
Hao Wana viapo vya UTII.
Ila watu walinibishia humu
Hakuna chochote kilichobadilika wewe unaangalia kichama na siyo kisheria.
 
Hauwezi kumtafuta mwanajeshi awe mlinzi wako hata Kama amefukuzwa jeshini.
huo ndo ukweli na ndio utakaomfunga mbowe.ameshirikiana na watu SIO.
Hakuna chochote kilichobadilika wewe unaangalia kichama na siyo kisheria.
 
Swali dogo tu. Askari JWTZ tena wa cheo cha luteni akipata tetesi au ushahidi wa jinai au kuhatarishwa kwa usalama wa nchi anatakiwa kuripoti wapi?

Sisi raia bila shaka ni kuripoti polisi au hata kiongozi wa mtaa.

Napata mashaka sana.
 
Yaani wewe na hawa mashahidi wa mchongo, hamna tofauti! Kwa vile JF ya sasa, inazoa kila kitu, UVUMILIWE tu!
Kweli mkuu nivumilie tu kama hali ya hewa. Tunajua JF mlishaiteka nyie CHADEMA lakini na sisi tusio CHADEMA tumo
 
Wakili wa Serikali: Baada ya Kusema Wapo tayari?

Shahidi: Laki Moja na tisini na Tisa Iliyobakia...
Comte hii nukuu yako ni kama vile imemaliza kila kitu na inaunga mkono hoja ya shahidi "mtaalam" wa mawasiliano aliyesema yeye kama polisi aliyekula kiapo kama angeliona kiashiria chochote cha ugaidi asingeacha kukiandika katika ripoti yake.

Kumbuka katika ushahidi waliotoa watuhumiwa hakuna hata mahali waliopo kiri kuonesha nia au kutenda ugaidi,

Pia mashahidi wote wa serikali hakuna mahali wamethibitisha kuwa watuhumiwa walikuwa na nia au walitenda vitendo vya kigaidi.

Urio amethibitisha kuwa ni kweli kwa 100% watuhumiwa walienda kwa Mbowe kutafuta kazi kwa maana hii Adamoo na wenzake hadi sasa wamemaliza kesi kwa ushindi maana huyu shahidi wa leo inaonekana ndiye aliyechora mchoro wa kesi hata mashahidi watakaofuata watakopa mengi kutoka kwa Urio.

Ama kuhusu Mbowe Bado Urio anakazi ya kuthibitisha maelezo yake yanayo onesha matobo mengi Sana.
 
Huyu ni yule kina Bwire walisema walimuona akipigwa kule TAZARA. Huenda amelazimishwa kutoa ushahidi wa mchongo kwa usalama wake.
Luteni mzima unaongoza Askar 90 tena special force anapigwaje na polisi? Tanzania Ni nchi ya maajabu kweli aisee. Si ndio hawa makomandoo huwa tunaaminishwa kwamba Ni watu hatar Sana sasa imekuwaje luten Wa jeshi la wananchi tena commandoo anapigika kirahisi hivi?
 
Kwenye hii kesi shahidi anaandaliwa kama anaenda kufanya NECTA wakati hujui Kibatala atatoa maswali kwenye topic ya Geometry? Algebra? hujui akiomba kielelezo namba fulani swali linalofuata shahidi anachanganyikiwa kwamba atumie calculator au four figure table, shahidi akienda kwenye desa/kibuti anatoa majibu ya swali la kwanza kumbe aliulizwa swali la tatu........
😂😂😂
 
Swali dogo tu. Askari JWTZ tena wa cheo cha luteni akipata tetesi au ushahidi wa jinai au kuhatarishwa kwa usalama wa nchi anatakiwa kuripoti wapi?

Sisi raia bila shaka ni kuripoti polisi au hata kiongozi wa mtaa.

Napata mashaka sana.
Hatuna jeshi ndugu yangu, tena huyo luten Kina Adamoo walikir walimuona Tazara akilia baada ya kuchezea kichapo kutoka kwa Kina Kingai Na kundi lake
 
Swali dogo tu. Askari JWTZ tena wa cheo cha luteni akipata tetesi au ushahidi wa jinai au kuhatarishwa kwa usalama wa nchi anatakiwa kuripoti wapi?

Sisi raia bila shaka ni kuripoti polisi au hata kiongozi wa mtaa.

Napata mashaka sana.
WOTE NI POLISI- POLISI NDIO WENYE MAMLAKA YA KUKAMATA
 
Comte hii nukuu yako ni kama vile imemaliza kila kitu na inaunga mkono hoja ya shahidi "mtaalam" wa mawasiliano.

Kumbuka katika ushahidi waliotoa watuhumiwa hakuna hata mahali waliopo kiri kuonesha nia au kutenda ugaidi...
Mkuu Urio anaunga mkono ushahidi wa mtaalam wa mawasiliano na ule wa Kaaya. KESI IMESIHA HAPO. Ingekuwa Ulaya au USA Mh. Kibatala angetupa taulo mahakamani na kuomba huruma ya mahakama
 
2. Ni kesi ya ukweli na Urio alikuwemo kwenye ugaidi na hakutoa taarifa polisi mpaka baada ya kuona mpango umegundulika.

Kwa Mimi Nafikiri namba moja ndio sahihi.
This is my position!
I get the point. Think it this way. Suppose Luteni Urio ni real culprit, kama akina FM. Yaani, ni kweli alikuwa fully involved kwenye mkakati husika wa ugaidi--alikuwa ameikubali deal hiyo (labda kwa fadhila ya kulipwa pesa na cheo and so forth)...
 
Mimi tangu kesi inaanza mwanzo kipindi mbowe anakamatwa.nilisema kosa alilofanya mbowe NI kushirikiana na hao wanajeshi wengi hawakunielewa.
Sasa wanajionea wenyewe.
Kama alikuwa anataka ulinzi alitakiwa atafute kampuni za ulinzi sio hao.
Hao Wana viapo vya UTII.
Ila watu walinibishia humu
Hiyo sio hoja wanajeshi wangapi wamepindua nchi za boss wao, hi stori ni ya kutunga hamna ukweli wowote.
 
Kama kweli mbowe alimwambia hayo kwanini sasa wasingemkamata tu yeye Mbowe mapema kuliko kuwatafuta na kuwaingiza mkenge vijana wa watu ambao aliwadanganya kuna kazi ya ulinzi? Haoni kama na yeye alishiliki kwenye hii kesi kwa asilimia 100%
 
Kwa hyo na hao walitaka kuipindua nchi?

Tatizo nyie mnachukulia simple simple.

Kwanza mawasiliano yoyote ya mbowe na urio tayari yameshamtia hatiani Mbowe.

Hao watu sio wa kuwaamini.

Niwaambie Mara ngapi?

Hyo kamanda urio ndio anamjengea mbowe jela yake..hawezi kumtetea Mbowe.

Hiyo sio hoja wanajeshi wangapi wamepindua nchi za boss wao, hi stori ni ya kutunga hamna ukweli wowote.
 
Kama kweli mbowe alimwambia hayo kwanini sasa wasingemkamata tu yeye Mbowe mapema kuliko kuwatafuta na kuwaingiza mkenge vijana wa watu ambao aliwadanganya kuna kazi ya ulinzi? Haoni kama na yeye alishiliki kwenye hii kesi kwa asilimia 100%
Ni kama vile unavyowekewa mtego wa rushwa ili mtandao mzima upatikane!
 
Yeye anasema aliambiwa atafute vijana.

Anasema alishindwa kukataa kwa sababu za kiusalama.

Anasema hata Kama angemkatalia mbowe kumtafutia vijana mbowe angeweza kuwatafuta wengine.

Kwa hyo kamanda anasema angekuwa hajasaidia kuilinda nchi.

Kwa hyo alikubali ili kumuwekea mtego Mbowe.

Kama kweli mbowe alimwambia hayo kwanini sasa wasingemkamata tu yeye Mbowe mapema kuliko kuwatafuta na kuwaingiza mkenge vijana wa watu ambao aliwadanganya kuna kazi ya ulinzi? Haoni kama na yeye alishiliki kwenye hii kesi kwa asilimia 100%
 
Back
Top Bottom