Bepari la Kinyambo
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 852
- 1,081
Akili zako zimejaa mavYeye anasema aliambiwa atafute vijana.
Anasema alishindwa kukataa kwa sababu za kiusalama.
Anasema hata Kama angemkatalia mbowe kumtafutia vijana mbowe angeweza kuwatafuta wengine.
Kwa hyo kamanda anasema angekuwa hajasaidia kuilinda nchi.
Kwa hyo alikubali ili kumuwekea mtego mbowe