Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe 26 Jan 2022. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa ushahidi wake

Kwani hayo mawasiliano yana miplicate Mbowe kufanya ugaidi, kama wataalamu wa IT kutoka serikalini wali kili kwamba kwenye udukizi wao hawakuona vya shiria vyovyote vya ugaidi, wange vikuta wangetoa taarifa, hapo kosa la mbowe ni kuongea na Urio hilo ni kosa kweli?
 
Upande wa mashtaka watasema walikengeuka!
 
1.) Mwanajeshi amepata taarifa nzito asipeleke kwa mkuu wake jeshini apeleka polisi? Analichafua jeshi kwakuwaingiza wenzie kwenyekesi za ugaidi nabado yukokazini?
2.) Nini kilichomfanya Free amuamini na kumfungukia ishu kubwa kiasi hicho? Kwanini asimwambie tuu amtafutie walinzi alafu akishawapata angewapa hizo kazi nyingine! Free anaakili na amesalitiwa maranyinhi asingemwamini MTU kijinga hivyo.
3.) Unamtafutia MTU magaidi kisha husemi wewe ulidai/ulilipwa kiasi gani? Mara yapili tena unatumwa bila posho? Nonsense!!
4.) Kesi nzito ya Free wanaemchukia, polisi wasichomeke mtuwao akaajiriwe naFree wapate info? Wakwambie homeboy endelea tuu kutafuta watuwako?
5.) Polisi washindwe kumrekodi mbowe akipanga hayo mavitu na haowajeda kweli?
6.) Polisi lazima wangekutana na kina Adamoo wawaseti ili ushahidi uwe wawazi wasiteseke mahakamani kamahivi.
7.) Urio aangaliwe alikosa kazini wakati katiwa ndani aeleze kwanini alikosa kazi na aliswekwa ndani?
8.) Polisi walijua mapeeema sabaya anapangiwa shambulizi walieleza walinzi wake? Walimwambia OCD wa hai?
9.) Kwanini polisi walitoka AR kwenda operation KLM wasiyoijua vyema? KLM hakuna wapelelezi?
10.) Kwahiyo Free ndiye alifahamika mapeeeema Siku yakwanza kwa kupanga uhalifu,nikwavipi alichelewa kukamatwa wakakamatwa kina Adamue et all?
Non sense hiikitu, inasikitisha taasisi kuuubwa kutumia kodizetu kuendesha kesimichongo kamahii... Na CAG tunamlipa remunerations nyiiingi anakaa anatizama hii aibu akiamini atashinda kesi!! Kweliiii!!!
 
Mkuu, naona umepoteza muda kumuelimisha huyo. Ye mwenyewe anajiita MJINGA. Unategemea nini!!?
 
Na kabla hawajaleta tahaluki tena mwanzo wao wa kazi wanakamatwa kwanini?
 
Mawakili wa utetezi waende mitandao husika waulize gharama ya kutoa Tsh 500,000/ ilikuwa sh ngapi wakati huo,,maana haiwezekani 500,000 itolewe kwa makato ya buku
Hapa hata Mimi nimestaajabu na halafu kwann awape laki tatu wakati katumiwa laki 5...laki na tisini aliipeleka wapi
 
Mahakama haitakwi kuendeshwa kwa vitu vya kufikirika bali kwa ushaidi uliorekodiwa na kusemwa mahakamani, hii yako ni hypothetical ya kitoto tu ambayo haijangia na haiwezi kuingia tena kwenye rekodi ya mahakama.
 
Huu ushahidi wa uwongo umetengenezwa na mtu mwenye kiwango kidogo sana cha akili.
 

Usije ukayaamini 100% maneno yote ya mchongo. Unaweza kupangwa hivi, kumbe wewe ndiye real target! Can you imagine, Luteni Urio hakujua suala la njama za kwenda kumla kichwa Mstaafu Ole Sabaya.

Endapo vyombo vya usalama ^vingekata matawi^ ya tatizo husika mapema (kama unavyopendekeza), hizi njama zote zisingejulikana. Na leo hii Mstaafu LOS angeonekana ni mwongo!
 
Sasa mbowe NI private sector?
 
Watasema walishafukuzwa kazini kwa utovu wa nidhamu!
 
Mahakama haitakwi kuendeshwa kwa vitu vya kufikirika bali kwa ushaidi uliorekodiwa na kusemwa mahakamani, hii yako ni hypothetical ya kitoto tu ambayo haijangia na haiwezi kuingia tena kwenye rekodi ya mahakama.
And that's exactly my point! Rejea ulichoandika kabla yangu. Kumbuka, mimi na wewe hatujui ukweli kamili (unless kama wewe ni sehemu ya tukio husika).

Mantiki ya hoja ni kuainisha uwezekano wa namna tukio husika lilivyotokea.
 
Hyo kampuni ya yappi markez ilimuajiri kwa kazi gani?
Unaona kazi aliyowaitia mbowe?
Mbona kamanda urio amemaliza kila kitu mnapata wapi shida ya kuelewa?
Kiufupi hao watu sio wa kufanya nao kazi.mkubali mkatae mbowe alingia Cha kike ndo maana mtu wa kwanza kumsaliti NI huyo.
LUTENI URIO
 
Unategemea unaenda kulinda nini?.
angalia malengo ha mbowe ambayo yameainishwa.
mtu wa kwanza kumchoma mbowe ni Nani ?
Kama sio LUTENI urio aliyepanga naye mipango?
Kuna ukweli ambao hamtaki kuukubali je mbowe alimtuma kamanda urio kumtafuta vijana?
Kwa ajili ya kazi gani?
 
Tatizo sio ugaidi TATIZO hyo mipango ya ugaidi.
Kitendo Cha mbowe kushirikiana na LUTENI urio tayari kimeshamtia hatiani.ndo maana mtu wa kwanza kumsaliti mbowe ndo huyo kamanda urio.hao sio watu wa kuwaamini.
Mtaamka lini?
hyo kesi wenzenu wanajua mwanzo wake mpaka mwisho wake maana wameshajipanga.
 
Bora wewe kidogo umekuwa muelewa.ila makamanda wao hawataki kuelewa.
Mimi tangu mwanzo nilisema mbowe kujenga mipango na hao watu wa jeshi lilikuwa ni kosa Ila wafuasi wake walinipinga humu .
Watu wa majeshi sio.
Sasa Yule aliyepanga nae mipango ndo kaenda kumchoma.
Tuna mlaumu kingai na wenzake kumbe mchawi alikuwa nae
Kama Ni kweli Mbowe aliwasiliana na Urio basi atakuwa alijitakia mwenyewe. Kwanini uwasiliane na mtu wa jeshini wakati unawindwa Kila wakati upatikane na kosa. Kama Ni kweli lakini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…