Unategemea unaenda kulinda nini?.
angalia malengo ha mbowe ambayo yameainishwa.
mtu wa kwanza kumchoma mbowe ni Nani ?
Kama sio LUTENI urio aliyepanga naye mipango?
Kuna ukweli ambao hamtaki kuukubali je mbowe alimtuma kamanda urio kumtafuta vijana?
Kwa ajili ya kazi gani?
Wakati Urio anasema kuhusu Ugaid haja connect na wale vijana ni maelezo yake kua wale vijana aliwatafutia kazi ya Ulinzi na wao baada ya kufika walimwambia tumeajirwa na tutalipwa kwa mwezHilo la ulinzi amelisema Luteni Urio. Halafu hakuishia hapo. Amesema pia kwamba harakati ilikuwa UGAIDI. Umemsikia? Sasa kama unakubali hilo la kuwa walinzi binafsi (bodyguards), kubali pia na hili la pili la terrorism.
Otherwise, reject the whole thing. Hapo nitakuona shujaa & muungwana sana!
Mjingamimi! Naishia hapaUnategemea unaenda kulinda nini?.
angalia malengo ha mbowe ambayo yameainishwa.
mtu wa kwanza kumchoma mbowe ni Nani ?
Kama sio LUTENI urio aliyepanga naye mipango?
Kuna ukweli ambao hamtaki kuukubali je mbowe alimtuma kamanda urio kumtafuta vijana?
Kwa ajili ya kazi gani?
DCI unajua kazi na mipaka yake?1.) Mwanajeshi amepata taarifa nzito asipeleke kwa mkuu wake jeshini apeleka polisi? Analichafua jeshi kwakuwaingiza wenzie kwenyekesi za ugaidi nabado yukokazini?
Lazima alimwamini kwa mambo mengi aliyotaja Luteni Urio. Ndiyo maana amepewa nickname ya ^HOMEBOY^ Unajua maana yake?2.) Nini kilichomfanya Free amuamini na kumfungukia ishu kubwa kiasi hicho? Kwanini asimwambie tuu amtafutie walinzi alafu akishawapata angewapa hizo kazi nyingine! Free anaakili na amesalitiwa maranyinhi asingemwamini MTU kijinga hivyo.
Natamani kusikia akiulizwa hili kesho. Katika huo udalali yeye amelipwa kiasi gani? But, tayari tumeshajua kwamba aliahidiwa ^cheo cha juu.^ That's good enough to begin with!3.) Unamtafutia MTU magaidi kisha husemi wewe ulidai/ulilipwa kiasi gani? Mara yapili tena unatumwa bila posho? Nonsense!!
Because nadhani waliona si salama sana kuwaweka officials wao wa usalama karibu na mtu mwenye nia husika za ugaidi alizozianisha Luteni Urio.4.) Kesi nzito ya Free wanaemchukia, polisi wasichomeke mtuwao akaajiriwe naFree wapate info? Wakwambie homeboy endelea tuu kutafuta watuwako?
Who knows? Labda ndicho kimesaidia hadi leo hii aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai yuko hai hadi leo. Labda bila hivyo (ushirikiano na mawasiliano ya karibu), angeshaliwa kichwa na wahuni.5.) Polisi washindwe kumrekodi mbowe akipanga hayo mavitu na haowajeda kweli?
6.) Polisi lazima wangekutana na kina Adamoo wawaseti ili ushahidi uwe wawazi wasiteseke mahakamani kamahivi.
7.) Urio aangaliwe alikosa kazini wakati katiwa ndani aeleze kwanini alikosa kazi na aliswekwa ndani?
Shahidi: Sijui 🙂8.) Polisi walijua mapeeema sabaya anapangiwa shambulizi walieleza walinzi wake? Walimwambia OCD wa hai?
9.) Kwanini polisi walitoka AR kwenda operation KLM wasiyoijua vyema? KLM hakuna wapelelezi?
Matukio huwa yanatend kufunguka kadiri muda unavyokwenda! Time always tells the whole truth!10.) Kwahiyo Free ndiye alifahamika mapeeeema Siku yakwanza kwa kupanga uhalifu,nikwavipi alichelewa kukamatwa wakakamatwa kina Adamue et all?
Non sense hiikitu, inasikitisha taasisi kuuubwa kutumia kodizetu kuendesha kesimichongo kamahii... Na CAG tunamlipa remunerations nyiiingi anakaa anatizama hii aibu akiamini atashinda kesi!! Kweliiii!!!
Narudia tena, matamanio yako ndio unayageuza ukweli, kwasababu kwenye haya maelezo ya leo huenda ndio roho yenu ya ushahidi ilipo. Hapa inaonekana imeshaandika na pointi kabisa kibindoni maana ule ujinga wote wa serikali unategemea maelezo haya ya huyu muhuni wa leo.
Nadhani sasa huna budi kulibadili jina lako ili lisiendelee tena kuwa mjingamimi . At least uitwe mjinga mwerevu .Unategemea unaenda kulinda nini?.
angalia malengo ha mbowe ambayo yameainishwa.
mtu wa kwanza kumchoma mbowe ni Nani ?
Kama sio LUTENI urio aliyepanga naye mipango?
Kuna ukweli ambao hamtaki kuukubali je mbowe alimtuma kamanda urio kumtafuta vijana?
Kwa ajili ya kazi gani?
Hakuna mwenye hatia hapo, labda huyo Urio na Akina King'aiBc Kwa maana hyo kina bwire hawana hatia maana walitumika kama chambo si ndio???
Yaani huyu Urio ndio amekuja kuunguza mkanda wote wa movie ya Kina KingaiNa kabla hawajaleta tahaluki tena mwanzo wao wa kazi wanakamatwa kwanini?
Mjingamimi! Naishia hapa
Nakubaliana na wewe,hata namna ya kupanga tu wameshindwa kabisa.Huu ushahidi wa uwongo umetengenezwa na mtu mwenye kiwango kidogo sana cha akili.
Sheria inaambatana na haki, isipokuwa haki huwa ipo ndani ya sheria, ili kuipata haki unahitaji sheria kuithibitisha haki, kwa hyo kinachotokea Sasa Ni kuiambia sheria itoe haki kwa kuangalia vielelezo vilivyopo, na hapo ndpo wakili anapoingia, kumtetea mteja wake, mwisho tutajua tu Ni wakili yupi ameweza kuitafsr sheria ili haki ionekane??Hapana. Kesi yoyote ya jinai ni lazima kuwe na ushahidi mzito "to prove beyond reasonable doubt"
Kwa maana mtuhumiwa hawezi kuhukumiwa kwa hisia ama porojo pekee.
Katika uwanja wa sheria inatamkwa kwamba ni bora kuwaachia huru watu 100 kuliko kumhukumu kifungo mtu mmoja asiye na hatia.
Nadhani sasa huna budi kulibadili jina lako ili lisiendelee tena kuwa mjingamimi . At least uitwe mjinga mwerevu .
Au, pengine, wewe ni saa mbovu inayosema ukweli kwa nasibu japo mara mbili kwa siku?
Hapana mkuu! Huu ushahidi ni ngumu kumesa!😄Kwa kawaida unapowatafuta magaidi, huwezi kuwaambia tunaenda kuua wala kufanya vurugu. Unawaambia tunaenda kuikomboa nchi. Kwenye neno ^kuikomboa^ hapo ndimo yamejificha yote hayo.
Likewise, usikute yeye alipewa kazi (na FM) ya kwenda kuwatafuta na kuwaunganisha kwake. How? ^Just waambie tu kwamba wanakuja kwangu kunipatia ulinzi binafsi. Mambo mengine yote hayo mimi nitayamaliza mwenyewe!^
Imagine kwenda kuwa mlinzi wa mtu anayesemekana ana viashiria vya ugaidi! Better yet, Luteni Urio aliambiwa na ^walinzi^ hao kwamba kazi yao imebadilika kutoka kuwa ya ulinzi, na sasa ni ya kwenda kumla mtu kichwa huko Moshi.Wakati Urio anasema kuhusu Ugaid haja connect na wale vijana ni maelezo yake kua wale vijana aliwatafutia kazi ya Ulinzi na wao baada ya kufika walimwambia tumeajirwa na tutalipwa kwa mwe...
Wewe Mjingawewe Acha kulazimisha dhamira yako Ndiyo iwe sheria.Bora wewe kidogo umekuwa muelewa.ila makamanda wao hawataki kuelewa.
Mimi tangu mwanzo nilisema mbowe kujenga mipango na hao watu wa jeshi lilikuwa ni kosa Ila wafuasi wake walinipinga humu .
Watu wa majeshi sio.
Sasa Yule aliyepanga nae mipango ndo kaenda kumchoma.
Tuna mlaumu kingai na wenzake kumbe mchawi alikuwa nae
500K ili wakafanye uhalifu? Na wakati aliwaambia ni kwenda kumlinda Freeman?Kingai alichemka... Urio alisema kuwa 500K alipokea ili jamaa wakafanye uhalifu... Je, kuna sehemu mashahidi waashtaka kuanzia Kingai wameonesha ualifu uliofanywa na watuhumiwa...
Yaani acha tuYaani huyu Urio ndio amekuja kuunguza mkanda wote wa movie ya Kina Kingai
Kama yeye aliambiwa atafute vijana wa Kuleta taharuki na yeye hakukubaliana kwanini wasingepeleka 'watu wao' ambao wangekuwa wanajua nini kinaendelea ili iwe rahisi kuwasiliana nao na kupata taarifa...