Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Unategemea unaenda kulinda nini?.
angalia malengo ha mbowe ambayo yameainishwa.
mtu wa kwanza kumchoma mbowe ni Nani ?
Kama sio LUTENI urio aliyepanga naye mipango?
Kuna ukweli ambao hamtaki kuukubali je mbowe alimtuma kamanda urio kumtafuta vijana?
Kwa ajili ya kazi gani?
Narudia tena, matamanio yako ndio unayageuza ukweli, kwasababu kwenye haya maelezo ya leo huenda ndio roho yenu ya ushahidi ilipo. Hapa inaonekana imeshaandika na pointi kabisa kibindoni maana ule ujinga wote wa serikali unategemea maelezo haya ya huyu muhuni wa leo.