Sasa mbona hao akina Adamoo wameshawakana Polisi na kusema waliteswa Ili wasaini maelezo waliyoandikiwa?Au ulikuwa wapi wakati wa kesi ndogo?Hyo kampuni ya yappi markez ilimuajiri kwa kazi gani?
Unaona kazi aliyowaitia mbowe?
Mbona kamanda urio amemaliza kila kitu mnapata wapi shida ya kuelewa?
Kiufupi hao watu sio wa kufanya nao kazi.mkubali mkatae mbowe alingia Cha kike ndo maana mtu wa kwanza kumsaliti NI huyo.
LUTENI URIO
Zilikua za kukuoa wewe i hope unaitumikia ndoa vizurzile hela sio za ugaidi zilikuwa mahari ya mama yako.
Kiapo bongo, watu wanaaapa wameshika biblia/quran na bado wanaingia mikataba ya kihuni, ndio itakuwa hao majobless?
Sijui wanamjibu kutafuta niniHivi, michango yake huyu kiumbe, umeusoma wenye maana hata mmoja?
Kama ni kweli, mbowe alibugi sana,, inakuaje bigboss unahusika direct ku recruit watu wa kuffanya uhalifu tena unatumiana simuzako kuwasiliana?Hapana mkuu! Huu ushahidi ni ngumu kumesa![emoji1]
Halafu anasema baada tu ya kumtafutia Mbowe watu wa kwenda kufanya uhalifu, Mbowe akawa hapokei tena simu zake.
Yani mtu ambaye umemwambia siri zako, na akakutafutia watu wa kwenda kufanya uhalifu, umkaushie halafu uendelee na mipango hiyo ya kihalifu, as if hatofahamu na kwenda kutoa taarifa?
Maana huo u “homeboy” Mbowe aliachana nao baada ya kumwambia siri zake za kufanya uhalifu na baada ya kumtafutia wanajeshi wa kufanya uhalifu? Gimme a break dog [emoji1]
Hii kesi imepangwa kizembe mnoo! “Loopholes everywhere”, subiri mawakili wa utetezi watakavyomkaanga na mafuta yake yeye mwenyewe!
Kwanza ni upuuzi wa hali ya juu kuwatoa kina Khalfan Bwire na wenzake kwenye shughuli zao halali za kujipatia kipato na kuwadanganya kuwa wanaenda kuwa walinzi wa Mbowe.
Halafu huo ujira wa kumdhuru Sabaya ni upi? Huyu shahidi ni “the most supid son of a bitch I’ve ever heard from to be honest”
Wewe hukutan na watu? Unakutana nao kwaajili ya nn??
Ujinga mtupu, au huko CCM kukutana na watu ni dhambi? Kwamba n marufuku mtu kukutana na mtu mwingine??
Hayo ni maneno ya Urio,unajuaje kama hajashurutishwa mpaka Leo anakuja kuyasema hayo?Ushahidi wake ni wa mashaka!Mashaka hayo subiri kesho,kama upande wa mashtaka umetumia zaidi ya siku Moja,basi huyu shahidi upande wa utetezi wanaenda naye wiki nzima!ishia hapo hapo.
Ila huo ndo ukweli.
Unatafuta nini na wanajeshi Kama sio kukuchoma?
najua hauwezi kuyajua haya Mambo uenda bado mtoto mdogo.
Nikuulize swali dogo kwanini mtu wa kwanza kumchoma mbowe ni kamanda urio?
Argue basi kama mtu mwenye elimu kidogo!Je,ni mtu kuwa na walinzi binafsi?Je,ni kosa walinzi hao kuwa wanajeshi waliostaafu au Kufukuzwa?
Kama ni kosa sawa,kama si kosa basi ni kazi ya upande wa mashtaka kuonesha Kwa ushahidi usio na shaka kuwa walipewa kazi tofauti na ulinzi!
Si ndiyo hapo ujinga wenyewe ulipo. Yaani issue kubwa kama hiyo utumie waovu wa nidhamu na ambao pia wamefukuzwa kazi. Utawaamini vipi?Watasema walishafukuzwa kazini kwa utovu wa nidhamu!
Sasa mbona hao akina Adamoo wameshawakana Polisi na kusema waliteswa Ili wasaini maelezo waliyoandikiwa?Au ulikuwa wapi wakati wa kesi ndogo?
Fikirisha ubongo wako!
Sio makomando wenzake Bali ni makomando wake maana ndio kawatengeneza 😄Kwahiyo commando anaenda kuwasagia kunguni makomandoo wenzake
Zilikua za kukuoa wewe i hope unaitumikia ndoa vizur
Nikisema wanywe mbege nitakuwa nakosea?Umeongea point.
Ila Mimi na wewe hatujui Kama NI kweli au si kweli.
Swali linakuja mbowe alimtafuta urio kwa ajili ya nini?
Mtu wa pili atakuwa bwire,,, maana ndo informer,, huu mtego ulisukwaishia hapo hapo.
Ila huo ndo ukweli.
Unatafuta nini na wanajeshi Kama sio kukuchoma?
najua hauwezi kuyajua haya Mambo uenda bado mtoto mdogo.
Nikuulize swali dogo kwanini mtu wa kwanza kumchoma mbowe ni kamanda urio?
Yaani Usalama wa Taifa ulikabidhiwa mikononi mwa watovu wa nidhamu?Si ndiyo hapo ujinga wenyewe ulipo. Yaani issue kubwa kama hiyo utumie waovu wa nidhamu na ambao pia wamefukuzwa kazi. Utawaamini vipi?
Inakuwaje DCI anamuachia Urio ajifanyie kila kitu mwenyewe maana hata huyo Kingai the right hand wake anaonekana hajui lolote. Hii kesi ni Mchongo, Mchongo, Mchongo.... Kama Chief Hangaya haoni aibu kwenye hili basi aibu kwake ni Mkwe.
What if kama nia ikatungwa?Kwa mjibu wa sheria ya kuzuia na kupambana na ugaidi ya 2002- nia tu inatosha kuweka hatiani kwa ugaidi
Kuna jambo Moja nimeiona,yaani Mbowe amtafute Urio halafu amwambie amtafutie watu wa kutenda uhalifu!Halafu mara baada ya watu hao kupatikana,Urio akawaambia Kuna kazi ya ulinzi Kwa Mbowe(hapo hakusema kuwa ni kazi ya uhalifu).Baada ya Mbowe kupewa hao wanajeshi akakata mawasiliano na Urio!Urio amezua maswali mengi zaidi ya majibu.
Je Moses Linjenje ataonekana au kufaamika mahali alipo?
Je Urio alitoa pesa yake kufadhili ugaidi?
Je Urio ataweza kuonesha vithibitisho vya makutano na Mbowe?
Je .....
Kesi ndo inaanza Sasa.
Hayo ni maneno ya Urio,unajuaje kama hajashurutishwa mpaka Leo anakuja kuyasema hayo?Ushahidi wake ni wa mashaka!Mashaka hayo subiri kesho,kama upande wa mashtaka umetumia zaidi ya siku Moja,basi huyu shahidi upande wa utetezi wanaenda naye wiki nzima!
Hapo pumba na mchele vitajulikana!