Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe 26 Jan 2022. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa ushahidi wake

Huyu ndiye yule Masih tuliyekuwa tunasubili au tumsubili mwingine?
😁😁😁😁 Jopo la utetezi MUNGU awatangulie huyu ndio kiungo muhimu aulizwe,abanwe,alazimishwe kujibu.jibu la sijui lisiwepo kwenye msamiati wa Leo.
 
Huyu ndiye yule Masih tuliyekuwa tunasubili au tumsubili mwingine?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Jopo la utetezi MUNGU awatangulie huyu ndio kiungo muhimu aulizwe,abanwe,alazimishwe kujibu.jibu la sijui lisiwepo kwenye msamiati wa Leo.
Cross examination ya huyu na jopo la utetezi ni paka j3 au j4 hawawezi kumuacha hivi hivi lazima wamchanganye hakane watu bila kujua
 
Barakoa kubwa kavaa sema anaongea kama kalazimishwa.
subiri kwenye Cross examination akikutana na Kibatala akiambiwa SHAHIDI NAKUKUMBUSHA UPO CHINI YA KIAPO, NAKUTAKA UJIBU .... Jibu NDIO au HAPANA ... atatoa tu sauti!!!
 
yanayojiri
yanayojiri yako wapii mbona umekwama??
 
Huyu waliona wasingizie siku ya jana hawezi kufika Ili siku nzima amezeshwe desa la kuja Lutema Leo!
Haya,tusubiri tuone!
Shahidi huyu ni muhimu sana kwenye hii kesi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…