Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
How? Kati yako na yeye, tumwamini nani?fix tupu, looh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
How? Kati yako na yeye, tumwamini nani?fix tupu, looh
Mkuu ogopa dude linaitwa serikali- Mbowe anaenda jela kutokea mahabusuHuyu ndio shahidi wa muhimu kuliko wote, huyu ndio atamaliza kesi yote.
ushahidi mchongo...eti makampuni yaliyofunga mawasiliano jeshini Mbowe anayatafuta - useless.How? Kati yako na yeye, tumwamini nani?
LEO NENO LA TAKE AWAY- maana ya HOMEBOYushaihidi wa mchongo...eti makampuni yaliyofunga mawasiliano jeshini Mbowe anayatafuta - useless.
Mbona hutaki kulijibu swali rahisi? Kati yako na Luteni, tumwamini nani? And why?ushaihidi wa mchongo...eti makampuni yaliyofunga mawasiliano jeshini Mbowe anayatafuta - useless.
Mkuu achana naye wako kibraMbona hutaki kulijibu swali rahisi? Kati yako na Luteni, tumwamini nani? And why?
Ukisema hivi, basi timu yote ya ^Car-tea-bar^ Mpya lazima isambaratike kwa hasira na ghadhabu.Mkuu ogopa dude linaitwa serikali- Mbowe anaenda jela kutokea mahabusu
Makomandoo hawafukuzwi kazi. Tambua hilo. Akifukuzwa au hilo likitokea, ni straight kifungoni. Hao wengine unaodhani walifukuzwa, walitumwa huko mtaani, tactically, ili kutimiza malengo.Kila wakati komando anafukuzwa kambini kwa utovu wa nidhamu, kiongozi wao Denis Urio hayupo kituoni….. akirudi anapewa taarifa tu.
Strange..!!
Kwani nawe mchagaIpo. Hapa siti ya mbele
Hii inatia shakaKila wakati komando anafukuzwa kambini kwa utovu wa nidhamu, kiongozi wao Denis Urio hayupo kituoni….. akirudi anapewa taarifa tu.
Strange..!!
Wakili wa Serikali: Sasa Shahidi Tuambie, Ieleze Mahakama Alikueleza au Kukwambia Kitu gani alichokuitia
Shahidi: Kitu cha Kwanza tulisalimiana Salamu za Muda Mrefu, Lakini Baada ya Salamu hizo akaniambia komredi mwaka huu wa 2020 Kuna Uchaguzi Mkuu, Hivyo Chama Changu Kimepanga Kuchukua Dola Kwa namna na Kwa Gharama Yoyote ile...
Kwa hiyo mahakama inaweza kuamini hizo porojo za huyo Luteni Urio!Mbona hutaki kulijibu swali rahisi? Kati yako na Luteni, tumwamini nani? And why?
How? Ina maana hakuna probability ya kutokea hiko kitu?Hii inatia shaka
Tamaa ya kushika dola ilimpumbazaSeriously, Mbowe?
It's over! Jambo hilo ni zito sana!Kwa hiyo mahakama inaweza kuamini hizo porojo za huyo Luteni Urio!
Yaani kirahisi tu, tulikutana CASA Motel pale Mikocheni, akaniuliza kuhusu mifumo ya mawasiliano, na bla bla nyingine!! Halafu tuamini!
Aweke mezani ushahidi usiotia shaka, badala ya huo ushahidi wa nadharia. Na siyo muendelezo ule ule wa porojo za Rau Madukani!
Ndiyo mwendo wenyewe mkuu- ushahidi usio na mashaka ndio huoKwa hiyo mahakama inaweza kuamini hizo porojo za huyo Luteni Urio!
Yaani kirahisi tu, tulikutana CASA Motel pale Mikocheni, akaniuliza kuhusu mifumo ya mawasiliano, na bla bla nyingine!! Halafu tuamini!
Aweke mezani ushahidi usiotia shaka, badala ya huo ushahidi wa nadharia. Na siyo muendelezo ule ule wa porojo za Rau Madukani!
out and driedIt's over!