Miss Madeko
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 4,364
- 5,609
Yaani nimecheka kwa sauti haswa! ati wameru wameanza kuwapa watoto majina gani ndio hayo ya PowerWameru wameanza kuwapa watoto wao majina gan tena jmn?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani nimecheka kwa sauti haswa! ati wameru wameanza kuwapa watoto majina gani ndio hayo ya PowerWameru wameanza kuwapa watoto wao majina gan tena jmn?
Mbambikaji mmoja was mtaa was kijani🏃.Mkuu samahani ww ni mwana sheria?
Majibu"Upande wa utetezi ameongezeka Wakili Niyikiza Seth Jacob, ametokea Bukoba mkoa wa Kagera Kuja kuongeza nguvu katika kesi ya Mbowe na wenzake."
Wapiga mayowe mitandaoni walikuwa wanasema hii kesi rahisi sana, sasa huu utitiri wa mawakili wa nini wakati kesi ni rahisi sana?
Jichekee tu best angu maana mwaka huu tutaona na kusikia mengi, mtu anasema eti amebatizwa jina la Power khaaa nitafurahi nikilijua hilo Kanisa!!Yaani nimecheka kwa sauti haswa! ati wameru wameanza kuwapa watoto majina gani ndio hayo ya Power
Huyu Zuzu atayajulia wapi hayo. Hajiulizi Kwa nini LHRC walijiunga kwenye kesi za marehemu Mtikila??Majibu
1. Record
2. Cv
3. Umaarufu.
4. Part of the just course.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Meru Testimony Church of nowdays.Jichekee tu best angu maana mwaka huu tutaona na kusikia mengi, mtu anasema eti amebatizwa jina la Power khaaa nitafurahi nikilijua hilo Kanisa!!
Hasa wa kesi bambikizi.Sikuwahi kukanyaga mahakamani ila mpaka mwili una sisimuka ninaposoma hii thread.... Ushahidi unaweza ukakufunga[emoji849][emoji12]
Kwa hiyo ndo justfication ya kuwa kesi ngumu?"Upande wa utetezi ameongezeka Wakili Niyikiza Seth Jacob, ametokea Bukoba mkoa wa Kagera Kuja kuongeza nguvu katika kesi ya Mbowe na wenzake."
Wapiga mayowe mitandaoni walikuwa wanasema hii kesi rahisi sana, sasa huu utitiri wa mawakili wa nini wakati kesi ni rahisi sana?
Kwa weledi was kitanzania na aina ya siasa yetu inawezekana.Huyu shahidi ni empty head utopolo kabisa...hiki ndio kiwango cha uelewa cha watu wetu... huyu ni mtu anayekutana na waheshimiwa mara kwa mara...anauelewa na ujinga kwa kiasi hiki yaani full kiazi. kwa mashahidi hawa wawili NASEMA MBOWE yuko huru Mh Jaji hana haja yakupoteza muda wake kusikiliza upumbavu huu.
Hivi hata kama ni kupanga issue, hivi mnaweza kuleta shahidi kama hutu mahakamani kabisa kwa kesi nyeti kama hii...mbona inaonekana no utoto utoto tu.
Kabisa maana hata ukileta jina la mtoto lazima useme maana ya jina na kwanini mtoto apewe jina hilo.Jichekee tu best angu maana mwaka huu tutaona na kusikia mengi, mtu anasema eti amebatizwa jina la Power khaaa nitafurahi nikilijua hilo Kanisa!!
... atakuwa mahali "anafundwa" cha kusema mahakamani. Kocha wake bado hajaridhika na kiwango alichofikia so bado yupo kwenye majaribio; ha ha ha!nasikia shahidi wa tatu simu yake haipatikani toka juzi.
Wanazuoni watueleze ikiwa hali hii Sheria unasimama wapi tena kukubali yote au kukataa mojaSasa huyu shahidi mbona kila kitu ni kama fambastic, maelezo yake ya awali kwa maandishi na ushahdi wake vitu viwili tofauti, sasa mahakama ishike yapi? au yajumlishwe, na yakijumlishwa si yatakinzana... kazi kubwa hii.
Wewe ndo Joyce?Kwa maelekezo toka juu, ila aibu mnaona nyie.
Mwenye picha ya Helga Mchomvi naiomba pia.Wakati Kaaya anazaliwa Helga Mchomvu alikuwa na miaka 29, kama angeolewa na miaka 22 angekuwa ni mama mwenye watoto 4 yaani akiwa na 23, 25, 27 na 29.
"Upande wa utetezi ameongezeka Wakili Niyikiza Seth Jacob, ametokea Bukoba mkoa wa Kagera Kuja kuongeza nguvu katika kesi ya Mbowe na wenzake."
Wapiga mayowe mitandaoni walikuwa wanasema hii kesi rahisi sana, sasa huu utitiri wa mawakili wa nini wakati kesi ni rahisi sana?
Majaji wanajitakia tu mimi ningekua jaji nafuta kesi Kama ni noma na iwe noma. Haiwezekani kikundi cha watu Kiharibu taswila Ya Taifa just bcoz of their Stomach!!Shahidi gani huyo ambaye kila kitu hafahamu Maza aondoe hiyo kesi yake mahakani.
Inawapa Majaji wakati mgumu bila sababu ya msingi.