Ndio mafanikio yanavyokuja. Madanikio ya halali ni jasho kubwa sana. Lazima uwe na uwezo wa kudharau njaa na uchovu.Uko sahihi mkuu.Miaka michache ilopita nikiwa kwenye ajir nilishakua na boss wangu aisee huyo mnaweza mkashindia vikao the whole day na usipolalamika njaa wewe basi utarud home bila kula.Jamaa yy ni kaz tu kula mpaka sijui iwaje na ana hela bala
Na kupelekwa mafichoni!kumbe mbowe baada ya uchaguzi alikamatwa??
Hii imfikie Rais Samia Suluhu Hassan huko aliko Ubelgiji kwenye Ziara ya kikazi.Kibatala: Je, kuna mshtakiwa yeyote ambaye ameshawahi kuhukumiwa kifungo katika kesi hii?
Shahidi: Hakuna mshtakiwa ambaye amehukumiwa kifungo.
Kibatala: Mheshimiwa Jaji Sina Swali lingine kwa shahidi huyu. Naomba Kurudisha Vielelezo Vyote
Kampeleka mpaka kwenye machinjio kajichinjia kamaliza kazi. Kibatala ni hatari sana.Hii imfikie Rais Samia Suluhu Hassan huko aliko Ubelgiji kwenye Ziara ya kikazi.
Hawa waliondanyanya Rais wafukuzwe kazi.
Naona Jaji akiona wanaleta sanaa anatishia tu kumuita tena Kibatala afanya Cross examination.Wakili wa Serikali: Uliulizwa Kama Ulifanya Upelelezi Wowote Kuhusu Keys Hotel Moshi, Ukasema hakuwa na Umuhimu
Shahidi: Ni Kwa sababu yeye alienda Keys Hotel Kumsubiria Freeman Mbowe, na Baada ya Pale ndiyo Walienda Aishi Hotel ambapo Kule alimkabidhi Majina ya Watu wa Sabaya...
Mwanzoni aliyebuni script hakuwa amekamilisha sehemu ya mwisho,akafa mbunifu na waliopewa zabuni kwa kudhani wameielewa script wakakurupuka na kuanzisha start button bila kufanya masahihisho kuziba nyufa na matobo.Alietunga hii kesi anadhalilika sana, anawapa mashahidi wakati mgumu kupita maelezo maana hata hawaelewi namna ya kutetea ushahidi wao
You are right. The likelihood of omissions and distortion is high to rid the government from a terrible embarrassment.Wa kwanza.
Wananzengo, huu utaratibu wa judge kuandika mwenyewe, ina tija kweli katika kufanikisha usikivu kwa hoja, kuona katikati ya mistari kwa kusoma picha ya uso msemaji anaposema, na uhakika wa usahihi wa kinachoandikwa...
Tatizo maushungi anabonyeza kizenji hata kwenye mambo magum ya kutumia akil yy anabonyeza tu "bonyeeeee" 😂Hii imfikie Rais Samia Suluhu Hassan huko aliko Ubelgiji kwenye Ziara ya kikazi.
Hawa waliondanyanya Rais wafukuzwe kazi.
Bora kesi imekuwa wazi tumejua vingi.Wa kwanza.
Wananzengo, huu utaratibu wa judge kuandika mwenyewe, ina tija kweli katika kufanikisha usikivu kwa hoja, kuona katikati ya mistari kwa kusoma picha ya uso msemaji anaposema, na uhakika wa usahihi wa kinachoandikwa...
🤣🤣🤣kwahiyo kosa liko kwa mzabuni?Mwanzoni aliyebuni script hakuwa amekamilisha sehemu ya mwisho,akafa mbunifu na waliopewa zabuni kwa kudhani wameielewa script wakakurupuka na kuanzisha start button bila kufanya masahihisho kuziba nyufa na matobo.
Wasivyochukulia mzaha uzembe,ukatili,uonevu na uvunjifu wa HAKI za binadamu mawakili wasomi wanawapiga kata funua za kutosha mashahidi wa michongo na mawakili wao mahakamani!Utapenda kuwa upande wa HAKI.
Tunapodai Katiba mpya ni kwa sababu tunataka USAWA,HAKI,UWAJIBIKAJI na kudumisha/kujali UTU wa kila moja wetu bila UBAGUZI wowote.
HAKI huinua TAIFA.
You are among the Great Thinkers?Walidukua script wakiamini inaweza kuwapaisha,tumeona wengi wa wapelelezi,wakamataji na hata wanaosikiliza hili shauri wamekula shavu-walipandishwa vyeo kwa nyakati tofauti tofauti....Halifichiki.🤣🤣🤣kwahiyo kosa liko kwa mzabuni?
Kaka mimi nahitaji tu Mtu wa kunithibitishia Nimemaliza Module ya criminal proceedingsLeo ndio nimeelewa.
Kwamba mamlaka zilikuwa na taarifa rasmi za Freeman Mbowe kusafiri nje ya nchi.
Hadi tulipofika ni kama tuko mwaka wa tatu LLb pale Mlimani aliposoma Tundu Lisu au mwaka wa Kwanza kule Havard alikosoma mtemi Andrew Chenge.
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu mm nimeulizaa tu lkn c KWA ubayaa walaaYanakuhusu nini ?
Nyie mlishachonga kesi basi .
Mengine muwaachie Cdm.
Alikamatwa akiwa kwenye shughuli za chama Mwz. Hakuwa shambani kwake
Hahahaa Hayati alitumia vibaya sana madaraka yake. Kabla script haija toka walipandishwa vyeo wote whichi means mchongo huo ulikuwa kwa Hayati na Igp.You are among the Great Thinkers?Walidukua script wakiamini inaweza kuwapaisha,tumeona wengi wa wapelelezi,wakamataji na hata wanaosikiliza hili shauri wamekula shavu-walipandishwa vyeo kwa nyakati tofauti tofauti....Halifichiki.