Uhakikaa 100% Goodluck na Jumanne ndiyo waliompiga Lissu risasi na ndiyo waliomuoa Ben Saanane Kwa mamlaka ya MakondaLeo kizimbani tunaye Goodluck kutoka kitengo maalumu cha crucifixion
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhakikaa 100% Goodluck na Jumanne ndiyo waliompiga Lissu risasi na ndiyo waliomuoa Ben Saanane Kwa mamlaka ya MakondaLeo kizimbani tunaye Goodluck kutoka kitengo maalumu cha crucifixion
Watu wasiojulikanaLeo kizimbani tunaye Goodluck kutoka kitengo maalumu cha crucifixion
Jamaa ana roho ya ukatili sanaUhakikaa 100% Goodluck na Jumanne ndiyo waliompiga Lissu risasi na ndiyo waliomuoa Ben Saanane Kwa mamlaka ya Makonda
Yaani hii tamithilia ni sawa na isidingo. Maana wana ridia story za long time. Kupoteza muda tuu hapa. Maana kama hana jipya kwanini ahojiwe?Naona shahidi anaturudisha tena kule RAU MADUKANI, kwa mama P - aisee mbege ni taaaaamu acha.
Yaaaniii ,mpaka inachocha!
Inaoonyesha ni maneno ya kukariri yaleyale! Hataaa sioni haja ya kuleta mashahidi weeeeeeeengiiii, kuja kuimba wimbo wa aina moja!
Shahidi wa leo sio mpya, Mawakili upande wa utetezi , watajipigia Sana, ngoja wakati ufikeSalaam Wakuu,
Leo tarehe 21/01/2022 kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe inaendelea.
Ungana nami katika uzi huu ili kujua kila kinachojiri Mahakamani.
Kujua kesi ilipoishia soma: Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe na Wenzake leo 20/01/2022. Shahidi 10 amaliza, shahidi wa 11 mwingine kuanza
Yaaaniii ,mpaka inachocha!
Inaoonyesha ni maneno ya kukariri yaleyale! Hataaa sioni haja ya kuleta mashahidi weeeeeeeengiiii, kuja kuimba wimbo wa aina moja!
Subira yavuta heri.
Twitter kule ni vipandevipande mno, hii ya JF ndiyo nzuri. Jamaa yetu anafanya kazi nzuri sana!Nenda Twitter follow akaunti ya MARTIN MARANJA MASESE @IAMartin_ utapata mtiririko mzima wa kesi on time kama unaangalia TV . Fanya hivyo utanishukuru baadae
Watu wanakwenda kutembea uchi Kariakoo saa 7 mchana.....walionywa WaifuteYule dada aliyekuja kutoa ushahidi kua alishuhudia wakina goodluck wakiwaweka chini ya ulinzi kina lingwenya hivi anaitwa nani au alikuwa shahidi wa ngapi?
Naona kuna maelezo yanapishana kati ya Goodlucck na yule dada, dada alidai kua wakina lingwenya walivyo sachiwa walikutwa na vipande 21 vya madawa, ila huyu goodluck anasema ni vipande 58
Naona unamtanisha johnthebaptist, mtoto pekee wa Mzee Mgaya! Na yeye anapenda sana kunywa mbege.Naona shahidi anaturudisha tena kule RAU MADUKANI, kwa mama P - aisee mbege ni taaaaamu acha.
Hata pale Mwenge kwa mama Tarimo kuna mbege nzuri sana!Naona unamtanisha johnthebaptist, mtoto pekee wa Mzee Mgaya! Na yeye anapenda sana kunywa mbege.
Huwa akisafiri kwenda Moshi, lazima apitie RAU Madukani, walau kupata lita moja ya mbege.
Let us encourage them for a good and wonderful job they are doing. "Wabarikiwe sana".Hata hivyo wanajitahidi. Kama unaweza kupara update in 1 hr
Jana sjui nini kiliendelea na sioni hata link
afu eti watanzania tupo serious na maendeleo, kwa style hii maweeee !! hatufiki sehemu.Yaani hii tamithilia ni sawa na isidingo. Maana wana ridia story za long time. Kupoteza muda tuu hapa. Maana kama hana jipya kwanini ahojiwe?
Mwanangu Goodluck, umejiingiza kwenye Ulozi ungali kijana mdogo sana, Mungu akusaidie uwahi kutubu dhambi zako mapema!!!Shahidi: Naitwa H4347 Goodluck
Jaji: Umri
Shahidi: Miaka 32
tena kwa 105% na kwa baraka za yule 'mzee baba'Uhakikaa 100% Goodluck na Jumanne ndiyo waliompiga Lissu risasi na ndiyo waliomuoa Ben Saanane Kwa mamlaka ya Makonda