Yaliyojiri katika kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na Wenzake tarehe21/01/2021. Kesi imeahirishwa hadi 24/ 01/ 2022

Yaliyojiri katika kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na Wenzake tarehe21/01/2021. Kesi imeahirishwa hadi 24/ 01/ 2022

Kwa mwendo hii kesi naamini kesi ya mchongo Mbowe na wenzake watashinda
 
Naona shahidi anaturudisha tena kule RAU MADUKANI, kwa mama P - aisee mbege ni taaaaamu acha.
 
Yule dada aliyekuja kutoa ushahidi kua alishuhudia wakina goodluck wakiwaweka chini ya ulinzi kina lingwenya hivi anaitwa nani au alikuwa shahidi wa ngapi?

Naona kuna maelezo yanapishana kati ya Goodlucck na yule dada, dada alidai kua wakina lingwenya walivyo sachiwa walikutwa na vipande 21 vya madawa, ila huyu goodluck anasema ni vipande 58
Watu wanakwenda kutembea uchi Kariakoo saa 7 mchana.....walionywa Waifute
 
Yaani hii tamithilia ni sawa na isidingo. Maana wana ridia story za long time. Kupoteza muda tuu hapa. Maana kama hana jipya kwanini ahojiwe?
afu eti watanzania tupo serious na maendeleo, kwa style hii maweeee !! hatufiki sehemu.
 
Back
Top Bottom