Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona chadema online wenyewe wanaogopa kufungua chaneli yao ili watu watoe comment zao?Ndg Mayalla, nyie wa vyombo vya habari mnaogopa kufanya live coverage ya mikutano ya Lissu kwa sababu mnazozijua wenyewe. Hata magazeti, almost yote yanakuwa na title moja tu ya Magufuli, na kapicha KADOGOOOOO ka vyama vya upinzani. Hatujawahi kushuhudia uoga wa wanahabari kwa tawala za huko nyuma kama huu tunaoushuhudia sasa. Kweli tunajua mna watoto wa kulea, mnaogopa kufungiwa, lakini mmezidi mno.
Mkuu, tuliza hilo kalio dawa ya rais Lissu ikuingie taratiiiibu..Lissu anakamilisha ratiba huko kanda ya ziwa hana chake, mdomo wake umemponza. Anachukia meli,treni,daraja la busisi nk. kwa kifupi ngoja akatembee na uwepo wake unawaponza wagombea ubunge na udiwani kupitia chadema.
Lissu anakamilisha ratiba huko kanda ya ziwa hana chake, mdomo wake umemponza. Anachukia meli,treni,daraja la busisi nk. kwa kifupi ngoja akatembee na uwepo wake unawaponza wagombea ubunge na udiwani kupitia chadema.
Watu aina ya pascal Mayalla ni hatari sn kwa taifaPamoja na maelezo yako mengi unajifanya hujui ni Nani amekataza Chadema kurushwa Live mikutano yetu.Na pia unataka Chadema ikashtaki kwa huyo anayezuia Chadema isitangazwe.
Pia unajifanya hujui hata gazeti la Tanzania Daima lilifutiwa Usajili ili kipindi hiki Cha kampeni Media zote zimtangaze mfalme wenu tu.
Na pia hushangai inakuwaje Televisheni ya Taifa TBC inazunguka na mgombea mmoja tu na Mgombea Mwenza wake ili kuwatangaza Live kwa kila mkutano kinyume kabisa na maadili ya Tume ya Uchaguzi.
Pamoja na unyama na ushenzi wote huo wananchi wameamua kuondoa utawala huu madarakani na habari wanazipata kupitia mitandao ya kijamii ikiwemo Molemo Media.
Mkuu, ni sabb tuu ya wizi wa kura unaofanywa na ccm, ambao kwa sasa majira yake imepitaNashangaa kwa nini hajadekiwa barabara kama ilivyokuwa kwa Lowassa!
Uzuri wa siasa za upinzani Tanzania, wagombea Urais huingia kwenye uchaguzi kwa mbwebwe na baada ya uchaguzi huanza kupotea polepole!
Tanzania kuna vituko!
Kwani lazima uamini anachosema Pascal Mayalla, it's either you choose to agree or disagree with his opinions. Maandiko yake mengi yameenda shule.Hivi kwanini unajiona kama nabii... Kila kitu unasema 'nilisema' unadhani bila wewe kusema . unadhani hatujui.
ukitaka kuaminisha watu uko smart upstairs ni vilevile tunakuona uko empty set upstairs. let that sink in.
Huyo njaa inamsumbua,fanya tu kumdharau halafu siku imeisha.Hivi kwanini unajiona kama nabii... Kila kitu unasema 'nilisema' unadhani bila wewe kusema . unadhani hatujui.
ukitaka kuaminisha watu uko smart upstairs ni vilevile tunakuona uko empty set upstairs. let that sink in.
🤣🤣🤣🤣🤣 ngoja nikueleze ukweli kila mahali anapoenda anapoteza kura. Hadi Jana asilimia 2.98% mpaka Chadema wameanza kumshangaa, Mliobakia ni washika KeyboardView attachment 1576775
Mgombea Urais kupitia Chadema Tundu Lissu leo anatarajiwa kuingia kwa kishindo kikubwa mjini Bukoba.
Mji wa Bukoba ambao ni ngome Kuu ya Chadema unatarajiwa kuzizima Leo wakati shujaa huyo atakapokanyaga viunga vya mji huo.
Mgombea Ubunge wa Bukoba Mjini mwenye ushawishi mkubwa Chief Kalumuna amewaalika wananchi wote wa Bukoba kumlaki na kumsindikiza kwa maandamano makubwa mgombea huyo wa Urais atakapowasili Hadi katika viwanja vya Gymkhana.
Wachunguzi wa siasa za Bukoba wanasema huenda Leo mji wa Bukoba ukavunja Rekodi ya Mapokezi iliyowekwa na miji ya Tunduma, Mbeya na Mwanza.
Mpaka Sasa kila dalili zinaonyesha mgombea Urais kupitia Chadema Tundu Lissu ana Uhakika wa kushinda kwa zaidi ya asilimia 60%
Kabla ya kuingia Bukoba Mjini Lissu atahutubia mikutano katika miji ya Karagwe na Misenyi
Viwanda oyeeeeeeeeee.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ngoja nikueleze ukweli kila mahali anapoenda anapoteza kura. Hadi Jana asilimia 2.98% mpaka Chadema wameanza kumshangaa, Mliobakia ni washika Keyboard
Eti mdomo wake umemponza tulia unyolewe wewe mwana hizayaLissu anakamilisha ratiba huko kanda ya ziwa hana chake, mdomo wake umemponza. Anachukia meli,treni,daraja la busisi nk. kwa kifupi ngoja akatembee na uwepo wake unawaponza wagombea ubunge na udiwani kupitia chadema.
Ndio ujue Lissu habari nyingineMmmmhh' Tunduma.
Kama namuona Lwakatare anavyochungulia kama panyabuku tunduni
Acha mihemuko wewe safarii haibiwi mtuNashangaa kwa nini hajadekiwa barabara kama ilivyokuwa kwa Lowassa!
Uzuri wa siasa za upinzani Tanzania, wagombea Urais huingia kwenye uchaguzi kwa mbwebwe na baada ya uchaguzi huanza kupotea polepole!
Tanzania kuna vituko!
Molemo-watu wa karagwe, kyerwa, misenyi bkb vijijini ni miongoni watu walio onja shubiri ya awamu ya magufuli. Walizuiwa kuuza kahawa zao kwa wanunuzi wenye bei nzuri, wakalazimishwa kuuza kwa mkopo kwenye vyama vya ushirika tena kwa bei ya chini. Walio kataa kuuza, ghala zao zilivunjwa na kahawa kichukuliwa kwa lazima.
LISSU AZUNGUMZIE MAMBO HAYA NA ABAINISHE AONESHE MBADALA UNAOKUBALIKA NA WENYE TIJA KWA MKULIMA
Tv tv wewe kule kwenu kijijini wangapi wana tv acheni mbwembwe Lissu atawafikia hukohuko na akisema neno mioyo ya watu inaponaAsante sana Mkuu Molemo , kiukweli tungefaidi sana kama Watanzania tungepata fursa ya kushuhudia live kuputia TV, mikutano yote ya Tundu Lissu, kama tunavyo ishuhudia mikutano ya mgombea wetu Magufuli, ili Watanzania tuwapime tuamue tunamchagua nani!.
Nakumbuka hili niliwahi kushauri Chadema lakini hamsikii...
Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ...
Nilisema
P
Ni kawaida ya wahaya kuwakaribisha wageni hata kama hawana la maana, Karibu Lissu Bukoba.
Ila kaa ukijua kura zetu zinaenda kwa Magufuli.
CCM 5 Tenaa
Tatizo lako ni kuwa na fikra za kijinga.Lissu anakamilisha ratiba huko kanda ya ziwa hana chake, mdomo wake umemponza. Anachukia meli,treni,daraja la busisi nk. kwa kifupi ngoja akatembee na uwepo wake unawaponza wagombea ubunge na udiwani kupitia chadema.