Baba wa Mapaka
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 1,827
- 1,655
Sikuwepo ila nadhani hakuwa naloLaurent Gaghbo hakuwa na Jeshi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikuwepo ila nadhani hakuwa naloLaurent Gaghbo hakuwa na Jeshi?
Ha Haaa haaaaNingekuwa mchora katuni ningechora jinsi ccm na meko wakiiabudu tume na polisi na jw ili wabebwe.
Itajulikana October 28, 2020.Kadanganyane na Lumumba wenzio ili kutokana moyo.Huwa mfa maji haachi kurusha miguu
Unamfahamu kwanza?Sikuwepo ila nadhani hakuwa nalo
Wewe wasema!Blah Blah....Lumumba mna shida sana
Story yake naifahamu vyema, ila yeye simfahamuUnamfahamu kwanza?
Siku zote mnashindia wizi.Mwaka huu hamna pa kupenyaItajulikana October 28, 2020.
Ni nani alikuwa mfa maji.
Hahahaaaa....... Naona kama umepigwa shoti!Hujui kusoma ndugu?
Endelea kuotaUnaota.
Hutaamini kitakachotokea October 28, 2020.
Tutawapeleka the Hague mkapakatwe na michi ya kizungu huko nyambaf nyie washamba wakubwaHio ni ndoto nyingine.
Mtafanya nini hata mkiibiwa na mlivyowaoga.
Kama unamfahamu mbona unasema hakuwa na Jeshi?Story yake naifahamu vyema, ila yeye simfahamu
Tena Ndoto za mchanaEndelea kuota
Sawa,Siku zote mnashindia wizi.Mwaka huu hamna pa kupenya
Okay, continue.Endelea kuota
Hahahaha [emoji23]Tutawapeleka the Hague mkapakatwe na michi ya kizungu huko nyambaf nyie washamba wakubwa
Tunamuomba Rais mtarajiwa kutembelea vijiji vya Nyamikoma,kamwanga na lwenge viko kms 5 tu kutoka geita mjini, hakuna huduma ya maji Safi na salama,hakuna umeme,hakuna barabara,hakuna shule,hakuna zahanati. Magufuli tumemuomba muda mrefu hataki na Hajawahi kufika huku tangu azaliwe. Katoro hakuna maji kabisaaaaaaaMgombea Urais kupitia Chadema Tundu Lissu yupo Mkoani Geita akiendeleza kampeni zake za kuingia Ikulu.
Lissu aliyewasili mkoani Geita hapo Jana na kupata mapokezi yaliyovunja Rekodi ya Tanzania katika mji wa Katoro Jimbo la Busanda.
Mkoa wa Geita ni nyumbani kwa mgombea wa CCM John Magufuli Lakini shauku ya wananchi kumuunga mkono mgombea wa Chadema inakitia hofu kubwa chama tawala Cha CCM.
Lissu aliwasili usiku mjini Geita na kulakiwa na halaiki kubwa ya watu wanaokadiriwa kufikia elfu 10
Umati wa huo wa watu ulimsindikiza mpaka Hotelini alikofikia na ulikesha nje ya Hoteli hiyo kwa kile walichodhani wanamlinda Rais wao.
Mapokezi ya Lissu Geita ni salaam tosha kwa chama tawala na mgombea wake kwamba Zama zao zinaelekea ukingoni
Molemo Media itawaletea yatakayojiri katika mkutano wa Hadhara mjini Geita
Video ya kwanza chini inaonyesha mapokezi yake ya Jana alipotua kwa Mara ya kwanza mkoani Geita Jimbo la Busanda.