Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Katika Mapokezi ya Tundu Lissu na Mkutano Mkubwa wa Hadhara Geita Mjini

Molemo bana!

Hujachoka tu kuandika thread kama hizi kuanzia mwaka 2010.

Nakumbuka wakati wa kampeni mwaka 2010 ulivyokuwa unaleta thread kuhusu Dk. Slaa.

Mwaka 2015 kwenye Uchaguzi Mkuu pia ukaleta tena thread kama hizi!

Mwaka huu hujachoka pia lakini tatizo lako kila ukileta thread kama hizi mgombea wako hupigwa chini!

Jiandae na mwaka huu kama ilivyotokea miaka ya nyuma!
 
Hongera sana lissu, fafanua vizuri kauli mbiu ya haki, Uhuru na maendeleo ya watu.tumia lugha ya kawaida ya kueleweka kwa umma kama haki ya dhamana polis, haki ya kufanya kazi na kuongezewa mshahara
 
Tunamuomba Rais mtarajiwa kutembelea vijiji vya Nyamikoma,kamwanga na lwenge viko kms 5 tu kutoka geita mjini, hakuna huduma ya maji Safi na salama,hakuna umeme,hakuna barabara,hakuna shule,hakuna zahanati. Magufuli tumemuomba muda mrefu hataki na Hajawahi kufika huku tangu azaliwe. Katoro hakuna maji kabisaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…