Hahaha mimi huyo niwe kasuku! Never
Naamini kwenye ninachokijua hadi nitakapo jua tofauti na kile ninachokiamini
Huwa sibebi maneno ya kuambiwa na kutembea nayo bila kuyafanyia uchinguzi
Ulifanyika na nani mkuu. Majanga yooote yanayotokea lawama lazima ziwe kwa kwa serikali na rais??Endelea tu kutetea ushenzi unaofanyika kwa sababu yaliyokukuta sio wewe, na kwavile mnatetea utawala ndo basi tena mnadhani mpo safer kulinganisha na wengine but am telling you; you're not !!
Itege ili sindano ikuingie vizuriLissu hajui kujenga hoja. Anachojua ni kumtajataja Magufuli tu
Mkutano wa Leo ulikuwa burudani tosha na tumechangia fedha taslimuGeita Mjini
View attachment 1579573
Lissu hajui kujenga hoja. Anachojua ni kumtajataja Magufuli tu
Tutawapeleka the Hague mkapakatwe na michi ya kizungu huko nyambaf nyie washamba wakubwa
Kwenye suala la Tundu Lissu vyombo vya uchunguzi vimeonyesha kutokuwa na interest ya kuchunguza na kuwatia nguvuni waliohusika.Swala la watu kuuwawa limekua likitokea kwenye jamii yetu kwa sababu mbalimbali ikiwemo uchumi, sababu za kijamii, kiimani, kiutawala na siasa, na hata na hata wakati mwingine tunashindwa kupata sababu.
Kulikua na mauaji ya professor mwakusa aliuwawa na serikali? Mauaji ya Dr Mvungi je? Uthibitsho upo?
Hakuna anayefurahia mauaji, hakuna aliyefurahia Tundu kupigwa risasi pia. Wacha vyombo vya sheria vifanye kazi vije na majibu. Japo hivyo vyombo vyenyewe vinatukanwa
Kwa taarifa rasmi na ya uhakika toka CCM waliojiandikisha hadi mwaka Jana hadi march mwaka huu pamoja na wakulipia card zao ni 15,000,000 waliojiandikisha April hadi July ni zaidi ya 2,000,000. Bado wale walioamua kuunga mkono juhudi za rais👍
Usisahau jumla ya wapiga kura ni 29,000,000
CCM haijawahi kuhubiri haki, inadhibiti amani. CHADEMA inadhibiti Haki maana unajua penye haki amani haikosekani. Tafakari!Hahahahaha The Hague?! Hujui maana ya Hague wewe...hujui kabisa...ndiyo maana Marekani hataki kusikia kitu kinaitwa...mahakama ya kimataifa...hujui kabisa how it operates...umelishwa tu kuwa Kuna The Hague...Wala hujui The Hague iko wapi...umekarurishwa tu...hujui kuwa yule anayehamasisha vurugu naye atapelekwa the Hague...hujui kuwa anayewaambia wananchi nendeni mkavunje ofisi zile...nendeni muwapige wale...anayesema nendeni mkachukue kinachodaiwa haki naye ni 'candidate' wa The Hague...kwa hiyo Ndugu yangu Lissu wenu, Mnyika na Mwalimu ni candidates wa The Hague,..pole Sana...anayehamasisha kuchomwa ofisi za vyama Kama ofisi za Chama...kwa hiyo viongozi wa Chadema baadhi yao walihamasisha ofisi za Chadema zichomwe ili kuichafua serikali na CCM...Sasa wenzenu polisi wameweka ushahidi...wenzenu CCM wako kimya..Wakati Fulani CCM wanahubiri amani kwenye majukwaa...nyie mnahubiri chuki na fujo mara sijui kitanuka mara sijui kitaeleweka...mara sijui The Hague huku mnahubiri fujo...na wenzio wanapiga picha/video za ushahidi...stupid...sijui mijitu mingine sijui ikoje?!?! Can't you use your brains?! Hamshangai kwanini Lissu hajafanywa kitu? Hamshangai mbona polisi na dola wako kimya.? Kazi yenu kuropoka tu msijue madhara ya kuropoka..sijui mara huyu just atatoroka sijui mara kile...very stupid...candidates wa The Hague ni nyie Kama mlikuwa hamjui...
Uhuru Haki na Maendeleo ya WatuCCM haijawahi kuhubiri haki, inadhibiti amani. CHADEMA inadhibiti Haki maana unajua penye haki amani haikosekani. Tafakari!
Unafikiri ni rahisi kuchunguza suala unalolifahamu undani wake?Wakichunguza kwa kufuata uhalisia wanaenda kumhusisha Bashite na genge lake linalofadhiliwa na Mzee Baba.Wadunguaji siyo watu wasiofahamika na waliowatuma pia siyo SIRI.Ndiyo sababu ya kigugumizi kilichowatokea ghafla...kwenye suala la Tundu Lissu vyombo vya uchunguzi vimeonyesha kutokuwa na interest ya kuchunguza na kuwatia nguvuni waliohusika.
..kwa mfano, haileti picha nzuri kwa IGP Sirro kusema kwamba tangu arejee nchini, Tundu Lissu ametafutwa na wapelezi wa polisi lakini "hawajampata."
..kwanza, imepita miaka mitatu jeshi la polisi halijaweza kumhoji. pili, haingii akilini ITV wameweza kumpata Tundu Lissu na wakamfanyia mahojiano, halafu IGP aseme jeshi la polisi limeshindwa. tatu, Tundu Lissu alikwenda mpaka ofisini kwa RPC wa Dodoma na hakuhojiwa.
..kwa hiyo mwenendo wa jeshi la polisi, na matamshi ya IGP, ndiyo yanasababisha baadhi ya wananchi wasiwe na imani kama tukio hili litachunguzwa.
Elewa hivyo hivyo...CCM haijawahi kuhubiri haki, inadhibiti amani. CHADEMA inadhibiti Haki maana unajua penye haki amani haikosekani. Tafakari!
Geita imevunja rekodi tena? Waje waone ingawa picha hii ni ya 2015 wakati wa Lowassa! Nilisikia taahira moja linasema hivyo eti CHADEMA wanachakata picha!Geita Mjini
View attachment 1579573
Wanahubiri kuwa fair wakati wao baada ya kununua JF wako biased.Tukijibu sie thread inatolewa wanataka tumsifie tundu lisu pekee.