Yaliyojiri katika Mkutano Mkuu wa CHADEMA Desemba 18, 2019 katika Ukumbi wa Mlimani City, Dar

Yaliyojiri katika Mkutano Mkuu wa CHADEMA Desemba 18, 2019 katika Ukumbi wa Mlimani City, Dar

Aulizaye ataka kujua: Molema, mbona hamkutupa kura zilizopigwa na walivyopata washindani wa leo ie Mbowe alipata ngapi na Mwambe aliata ngapi?

Huwezi kuuliza kitu ambacho hakipo nanukategemea kujibiwa..
 
U
Haijajulikana hasa sababu ni nini kwa sababu Chama Cha Mapinduzi kinapofanya Mkutano wake Mkuu jijini Dodoma Mji wote na viunga vyake hupambwa kwa bendera za CCM.
Hilo ndio tatizo lenu,mkipata tatizo mnataka kulinganisha na ccm
Nyie mmelipia ukumbi sio kuchafua mazingira kwa mibendera
 
Hakuna mtu wa kumtoa Mbowe kwenye kiti anachokita na baada ya Uchaguzi kumalizika, Mwambe atafukuzwa ndani ya CHADEMA!

Yaliyomkuta Zitto mwaka 2014 yanaenda kumpata Cecil Mwambe!
Atafukuzwa kwa usaliti na si kwa kugombea uenyekiti. matamshi yake hawezi kuvumiliwa hata kidogo! Aende apambane na jiwe alikotoka! Agombee na Jiwe mwaka kesho , aweke jina!
 
Hakuna mtu wa kumtoa Mbowe kwenye kiti anachokita na baada ya Uchaguzi kumalizika, Mwambe atafukuzwa ndani ya CHADEMA!

Yaliyomkuta Zitto mwaka 2014 yanaenda kumpata Cecil Mwambe!

MWAMBE=SUMAYE=LOWASSA.
CCM wanasubiri kwa hamu kuona anguko la CHADEMA kupitia kwa Cecil Mwambe…!
CHADEMA Central Committee must be WATCHFULL,VIGILANT and ALERTED!
One mistake one goal!
All the best.
 
Kwa maelezo yako bango namba 4 wewe hutaki Mbowe aendelee,halafu inasema kuweni makini,na kutoa rai ya kuchagua mtu anaeweza kushinda hila za CCM wenzio,si munataka upinzani ufe ndiyo maana munalipigia debe pandikizi?inawauma nini Chadema ikifa wakati ndiyo kusudio lenu?Tunampigia Mbowe(MWAMBA)ili atuvushe kwenye mto wa hila zenu za mapandikizi.
CHADEMA, uchaguzi huu eidha ni kaburi lenu, au mwanzo wenu wa maisha mapya.
Chagueni mtu atayeweza juzushinda fitna, hila, na mbinu chafu za CCM, vinginevyo mwaka kesho bungeni atarudi Sugu peke yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa maelezo yako bango namba 4 wewe hutaki Mbowe aendelee,halafu inasema kuweni makini,na kutoa rai ya kuchagua mtu anaeweza kushinda hila za CCM wenzio,si munataka upinzani ufe ndiyo maana munalipigia debe pandikizi?inawauma nini Chadema ikifa wakati ndiyo kusudio lenu?Tunampigia Mbowe(MWAMBA)ili atuvushe kwenye mto wa hila zenu za mapandikizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka sasa Chadema umepoteza mwelekeo, haina uhakika hata na kiti kimoja cha udiwani. Anahutajika mtu wa kuivusha Chadema, Mbowe hana jipya, mbinu za Magufuli haziwezi kabisaaaaaa
 
U
Hilo ndio tatizo lenu,mkipata tatizo mnataka kulinganisha na ccm
Nyie mmelipia ukumbi sio kuchafua mazingira kwa mibendera
Kuna chama kinachochafua mazingira kama ccm.ccm wanaweka Bendera mpaka sehemu isiyostahili.huu Ni ubaguzi mkubwa sana.
 
Mpaka sasa Chadema umepoteza mwelekeo, haina uhakika hata na kiti kimoja cha udiwani. Anahutajika mtu wa kuivusha Chadema, Mbowe hana jipya, mbinu za Magufuli haziwezi kabisaaaaaa

Wameweka mgombew boya

lema, lissu would fit that position
 
Tunafuatilia nini sare mpya za CDM au kura ya ndio ya elikaeri mobutu mboweseko, maana wanachezea pesa za ruzuku tu hapo hawana jipya

Pozi ruksa na ningekuwa mod ukija na pozi tu katika hii post yangu ningekupa ttofari wiki moja
 
Back
Top Bottom