Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawaida ya Nzi anapenda Kinyesi lakini Anaogopa Asali ndio Kijani haoImefikia hatua CCM inaogopa hadi BENDERA za vyama vya upinzani pamoja na kununua NDEGE kila uchao
Ccm lini mliwahi Fanya uchaguzi wa mwenyekiti wenu?Ya siri....... Ikiwa ya wazi Mbowe atabwagwa mapema kabisa!
Chadema ni Chama cha Demokrasia lakini usidhani Pandikizi linauwezo wautupangia nini cha kufanya
Kama Mbowe si tishio kwenu mbona mnaogopa Mpaka Bendera?chagueni mtu ambaye atakuwa nasimama mbele kukiwa na yale maandamano yenu ya kijinga siyo kama mbowe anaanzisha maandamano yeye anasafiri muoga kama kunguru
Tuachie Mbowe wetu tafadhalCHADEMA Inahitaji mabadiliko makubwa ya kiuongozi, kifikra, kisera na kimkakati, vinginevyo 2020 kitakufa kabisa.
Mbowe hawezi Tena, hana mbinu mpya wala mbinu mbadala za kukabiliana na kasi ya Magufuli
Tulia Dawa ipenye maana yale mapandikizi tumeshayatoa manyoa baado kuwasuguwa makenyakichwa cha habari hakiakisi habari yenyewe!! Yaliyojiri au yatakayojiri? au kikao kishafanyika na sasa ni maigizo tu?
kama Bendera Mnaogopa Je Kwenye Box la Kura si Mtatoa kitu kinanuka nyieYa siri....... Ikiwa ya wazi Mbowe atabwagwa mapema kabisa!
Magufuli anafanya sana fujo uwanjani!!CHADEMA Inahitaji mabadiliko makubwa ya kiuongozi, kifikra, kisera na kimkakati, vinginevyo 2020 kitakufa kabisa.
Mbowe hawezi Tena, hana mbinu mpya wala mbinu mbadala za kukabiliana na kasi ya Magufuli
Leo Cecil Mwambe anakwenda kuwashangaza wengi kama Mwadui vs Simba SC!Chadema ni Chama cha Demokrasia lakini usidhani Pandikizi linauwezo wautupangia nini cha kufanya
wewe ukipiga kura mabox yote yanaunguakura yangu nampa Cecil Mwambe
tutaleta Moja kwa MojaMkuu Tukiwa huku Mbeya macho na masikio tunaelekeza hapo M/city kuwasikiliza wenye nchi Chadema
Unaongea kinafiki sana.
Ni mtu ambaye baada ya kuambiwa reli ya kuelekea kwao imefufuliwa hakufurahi hata kidogo, ingawa wananchi wake wameomba safari ziongezeke kutoka mara nne hadi mara sita kwa wiki.
Hapo hakuna jibu maana mwambe alipangwa na mboweAulizaye ataka kujua: Molema, mbona hamkutupa kura zilizopigwa na walivyopata washindani wa leo ie Mbowe alipata ngapi na Mwambe aliata ngapi?
Shukrani sanatutaleta Moja kwa Moja