Yaliyojiri katika Mkutano Mkuu wa CHADEMA Desemba 18, 2019 katika Ukumbi wa Mlimani City, Dar

Yaliyojiri katika Mkutano Mkuu wa CHADEMA Desemba 18, 2019 katika Ukumbi wa Mlimani City, Dar

Jana CCM tulikua na uchaguzi kwenye ukumbi wa mikutano wa AICC-Arusha.
Hatukuweka bendera hata moja njiani ila kulikua na wanachama wenye sare pekee.
Ule ni uchaguzi au takataka ya kukihamishia chama ndani ya jeshi la polisi ?
 
Kuelekea uchaguzi wa mwenyekiti wa Taifa CHADEMA leo pale mliman city, hautakiw hata uwe umesoma Rocket Scince kujua nani ataibuka mshindi wa kinyanganyiro hicho kati ya Freeman Mbowe na Cecil Mwambe. Mshindi ameshajulikan mapema sana kinachofanyika ni kukamilisha ratiba tu.

Kama kamati ya uchaguzi yote ikiongozwa na John Mrema wote wanampost Mbowe na kumuombea kura hapo unategemea nni? Wabunge wote wapo kwa mbowe tena wanatangaza na kumpost kwenye page zao na kumuombea kura nn hapo unategemea? Ningekuwa mm ndo ndugu Mwambe kwa hiki kinachoendelea ningetangaza kujitoa na kukata rufaa kutokuwa na iman na kamati ya usimamizi ya uchaguz huo.

Huu ndo mwisho wa enzi wa Cecil Mwambe pale CHADEMA muda ndo utaamua nyie subirin, leo hashind hata kwa dawa baada ya hapo mh. Mfalme Mbowe ataanza kumshugulikia yeye kama yeye kwa kuonesha hamu ya kuitaka nafasi ya mfalme. Mwakan hawezi pitishwa na chama katika kugombea Ubunge kule mtwala, baada ya hapo ataitwa msaliti na anahujum chama mwisho wa siku wanamnyanganya kadi ya chama chao.

Sumu haionjwi kwa kuilamba in Mbowe voice
 
CHADEMA, uchaguzi huu eidha ni kaburi lenu, au mwanzo wenu wa maisha mapya.
Chagueni mtu atayeweza juzushinda fitna, hila, na mbinu chafu za CCM, vinginevyo mwaka kesho bungeni atarudi Sugu peke yake
Nimekusoma hapo juu sijaamini! Kwahiyo unaona Mwambe ndio wajumbe wamkabidhi chama? Una profile yake au umeona jina limekupendeza?

CHADEMA kunahitajika mabadiriko ila si kwa kipindi cha hila kama hichi, unakumbuka NCCR?

Watu wanabusara zao, hatuhitaji kukurupuka kama Jirani na kukuta badala ya marekebisho ukajikuta umefuga jini mnyonyadamu tuliishayaona hayo!!!

Mkuu fuatilia kwa kina before coment! Unaheshimika humu kiasi chake!
 
Cecil Mwambe ni damu mbichi japo wahenga wanasema mpini mpya husababisha machacha na njia mpya haikosi visiki na miiba.

Freeman Mbowe ni damu ya mzee japo wahenga wanasema uzee si busara na ukiona nyani mzee ujue amekwepa mishale mingi.

Wakati tunasubiri matokeo rasmi, unadhani kwa siasa za awamu ya tano, nani anafaa kupeperusha bendera ya uenyekiti wa chama kikuu cha upinzani?
Mwambe ndio nani kwani?
 
Back
Top Bottom