PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,175
CHADEMA maskini hebu na nyie tuonyesheni jengo lenu.Ruzuku sijui huwa mnapeleka wapi.Majengo hamjengi kutwa kuzurura mabarabarrani na magari ya kifahali
ndugu,siasa sio majengo,siasa ni sera,je! Tanu ilipo anza harakati za kutafuta uhuru ilikua na majengo?