Yaliyojiri katika Uzinduzi wa Ukumbi mpya wa CCM Dodoma

Yaliyojiri katika Uzinduzi wa Ukumbi mpya wa CCM Dodoma

We masikini soma vyema ile post yako taratibu usikimbie kutaka kujibu alafu na sehemu niliyoweka green uelewe kisha jibu hapo.

Sawa Tajiri yangu nimerekebisha ilikuwa typing error...siunajua kusikiliza na kuandika at the same time..hope umeridhika now
 
hawawezi kujenga hata wakikaa miaka 100 maana wao wamewekeza kwenye kuruka na chopa kila siku,

mmoja karibu helcopter imuue,kazi kuruka na helcopter hata umbali wa km 2,kujionyesha kwa mademu....ha ha ha ,nasary nae ana vituko jamani...

sasa hela zote kamalizia kukodi chopa,halafu kiinua mgongo kimekatwa,sijui huyu dogo atasolve vipi hapa.....
 
mmoja karibu helcopter imuue,kazi kuruka na helcopter hata umbali wa km 2,kujionyesha kwa mademu....ha ha ha ,nasary nae ana vituko jamani...

sasa hela zote kamalizia kukodi chopa,halafu kiinua mgongo kimekatwa,sijui huyu dogo atasolve vipi hapa.....

hahahaha madem?
 
Nsur wacha kuongea matambala jf, waTanzania awitaji majengo wanaitaji huduma nzuri za kijamii na magawanyo mzuri wa raslimali za nchi yao.
 
Nilikuwa namaanisha Mh. Rais analalamika wafanyakazi wake kugawana viwanja wkt yeye ndiye mwenye mamlaka juu yao, hapo chini kwenye green.
Sawa Tajiri yangu nimerekebisha ilikuwa typing error...siunajua kusikiliza na kuandika at the same time..hope umeridhika now
..., anasema CCM inaviwanja vingi na vingine wakubwa wanagawana. ...[/SIZE][/SIZE]
 
Nilikuwa namaanisha Mh. Rais analalamika wafanyakazi wake kugawana viwanja wkt yeye ndiye mwenye mamlaka juu yao, hapo chini kwenye green.

..., anasema CCM inaviwanja vingi na vingine wakubwa wanagawana. ...[/SIZE][/SIZE]

Yah kalisemea hilo na kama unakumbuka pia aliposemea joka lenye ndimi mbili,mpasuko ndani ya chama wakati yeye ndio mwenye nyumba....kawaida yake
 
CHADEMA maskini hebu na nyie tuonyesheni jengo lenu.Ruzuku sijui huwa mnapeleka wapi.Majengo hamjengi kutwa kuzurura mabarabarrani na magari ya kifahali

Limejengwa na Watanzania kwa pesa toka hazina ya taifa
 
ImageUploadedByJamiiForums1436449366.266195.jpg
 

Mgeni rasmi ni Rais Jakaya kikwete, namuona Ali shein, Kinana na Makamu wa rais Billal

Rais kikwete anatoa hotuba fupi na kuwashukuru watanzania na wana CCM

Hitilafu inatokea mic zinagoma wanabaki kushangaa.

Bado anazungumzia jengo jipya na kuhusu pia niya ya kukodisha jengo hilo kwa shughuli mbalimbali.. anasema CCM inaviwanja vingi na vingine wakubwa wanagawana.

Anawasifia UVCCM, UWT,na Jumuiya ya Wazazi kwa kuonyesha mfano mzuri kutumia viwanja vyao vizuri, kuwekeza kwa tija

Namuona pia balozi wa China.

Anawashukuru wajenzi na kumshukuru Kinana na kumuita 'jembe' shukurani maalum anasema ukiona vya elea ujue vimeundwa.

Rais anazindua jengo rasmi wajumbe wa kamati kuu wanaitwa na ndugu Nape kupiga picha na rais.

Rais na balozi wa china wanafungua jengo kwa kufungua pazia, kwenye jiwe la msingi

Ntaweka picha nzuri vizuri



ukiona vya elea ujue vimeundwa= jua vibovu havitakiwi baharini wala ziwani, vitoe vizike!!!
 
Mwenyekiti wa CCM akifungua jengo jipya la mikutano la CCM LEO amegusia kujitegemea kwa CCM katika kujiendesha.

Hili ni suala ambalo mimi nitasema ni a sobering experience kwa Mwenyekiti wetu, na ni suala lililongojewa kwa muda mrefu sana.
JK amesema CCM ina vitega uchumi vingi sana vya kuweza kujitegemea kuliko ilivyo hivi sasa kutegemea matajiri ambao ni lazima wataweka masharti yao.

Mwaka 2005 wengi tulishangaa sana kwa watu kama Rostam Aziz na Karamagi kujiingiza ufadhili na hatimaye kuingia serikalini.

Matokeo yake tumeyaona na hatuna haja kuyaeleza , maana mfanya biashara akifadhili siasa, lengo kuu ni kufaidika na kukwepa kodi.

Hivyo basi wale wanasiasa na " marafiki zao" , nia na madhumuni ya urafiki huo sasa ni dhahiri.
 
Hawana jipya kwanza wazalendo tuta hoji mlipewaje viwanja 40 kwa mjimmoja!
 
Hawana jipya kwanza wazalendo tuta hoji mlipewaje viwanja 40 kwa mjimmoja!

Amesema mia nne na zaidi haviendelezwi vimejeuka parking za magari wakati watanzania [matajiri baba mama na watoto wana magari ]wakizolewa na mafuriko buguruni,manzese n.k sasa sijui hao wanaozolewa na mafuriko ndo wamepaki hayo magari ccm
 
Hawana jipya kwanza wazalendo tuta hoji mlipewaje viwanja 40 kwa mjimmoja!
Mkuu ni viwanja 420 Jijini Dar!
Kutangulia kuzaliwa nako wameichukulia kuwa ni dili.
Ila vilipatikana wakati wa chama kimoja, virudishwe serikalini.
 
Chanzo: Ikulu
Hivi pamoja na mali zote mlizozulumu kutoka kwa wananchi wa Tanganyika(wanafunzi e.t.c) kuna cha kujisifia....kweli CCM(Chama Cha Majambazi) kina wapa ujasiri wa ajabu sana. Usikute eti na wewe ukasema na zaidi ya "degree" moja!!!! Aaaaaaha aaaaaah mbavu zangu.
 
Back
Top Bottom