Yaliyojiri katika Uzinduzi wa Ukumbi mpya wa CCM Dodoma

Yaliyojiri katika Uzinduzi wa Ukumbi mpya wa CCM Dodoma

b9afaae28ebf21bcd500d6c0c39a1f93.jpg

Mheshimiwa Tunaomba Sukari Ishuke Bei.
Hayo ndiyo maneno ya ccm wenzenu wanao isoma namba.
 
Hiyo ruzuku wanayopata chadema na wao wajijenge bana, watapanga mpaka lini???!!!!
 
Ukiangalia tu hizo picha mbili utaweza kugundua kuwa CCM tunajitambua na tunayoyasema tunayaonyesha kwa vitendo lakini ukiangalia kwa umakini picha ya chini hutopata taabu sana kujua fikra zao zinaendana na " uchakavu " wa haya Makao Makuu yao na ni aibu kubwa mno kwa chama kinachotamba ni cha upinzani kuwa na Ofisi " chakavu " kama hiyo. Siku nyingine ni bora wakiwa wanagomea Bunge basi wawe tu wanarudi Dar hapo Biafra na kujenga Ofisi yao hiyo kwani inawaaibisha sana. Naipenda CCM kama ninavyompenda Yesu Kristo wa Nazareth. HAPA KAZI TU!
Mgalatia ndio maana jamaa yenu anawajaza ktk kila teuzi zake
 
Msema ukweli mpenzi wa mungu hako kaofisi ka chadema kanatia kinyaaa,hivi mbowe mahela ya ruzuku huwa anachimbia wapi?
 
hahahaha huo ukumbi wa chini wa BAWACHA NI HATARI SANA UMENIPASUA MBAVU
 
Ndio maana walimfukuza Mhe zitto kabwe kwasababu alitaka ajue mahesabu. ACToyeeeeeee!
 
Vijana wanatokwa povu balaaa,mi naona mleta mada ana nia nzuri tu kwa chadm na wafuasi wake,hapo mnakumbushwa mumbane mbowe aache kupiga hela ovyo,hilo ndo lamsingi na sio kumshambulia huyu jamaa.
 
Siku cdm wakijenga ukumbi na ofisi


Hapo ndio ntakua na imani ya wao kutawala hii nchi
 
Asante sana Mleta uzi huu!Hapo watu wanazidi kuona ni jinsi gani chichiem na serikali yake ni chama kinachobana sana matumizi!na wanajuaa sana kutumiaa pesa za walipaaaa Kodi.....
Ndomana mlivunjaaa ofisini yenu ya lumumba
Pale ambapo tanu/ccm ilizaliwaaaaaa ....na mkafutaaa historiaaaa yenu yote
 
Back
Top Bottom