Yaliyojiri katika Uzinduzi wa Ukumbi mpya wa CCM Dodoma

Yaliyojiri katika Uzinduzi wa Ukumbi mpya wa CCM Dodoma

Huu ndio upuuzi Rais ataki. Siasa uchwara. Badala ya kumletea mawazo mapya na mapana nini afanye au atumbue wapi ili kufanya uraisi wa maisha kwa walala hoi nyie mnaleta siasa uchwara na kufanananisha majengo. Huu ni upuuzi na utindio wa akili mleta uzi ulioleta hapa.
 
Huu ndio ukumbi wa CCM DODOMA utakapofanyika mkutano mkuu wa chama dume cha CCM


lol!


Hapa chini ni ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa CHADEMA


b1.jpg
 
Huo ukumbi umejengwa na wachina nani asiyejua wachina ndio majambazi wa kubwa nchi hii....wanaiba Tembo zetu na madini
Ukiangalia Tenda Nyingi ni Wachina sikatai wanafanya Kazi tatizo viongoz wetu. c unaona hata Miradi mingi ni CRJE na GROUP 6 INTERNATIONAL haya AVIC TOWN kule Kigambon na sasa hiv nao wana Mradi wao pale Victoria ukishapita Majengo ya NHC yanyojengwa
 
Jadili hoja,siyo mipasho na kutaja majina ya ya watu na kejeli.
 
Ukiangalia Tenda Nyingi ni Wachina sikatai wanafanya Kazi tatizo viongoz wetu. c unaona hata Miradi mingi ni CRJE na GROUP 6 INTERNATIONAL haya AVIC TOWN kule Kigambon na sasa hiv nao wana Mradi wao pale Victoria ukishapita Majengo ya NHC yanyojengwa
Na huo ukumbi hapo wachina wamejenga,ili waendelee na wizi .ndo maana hata rais huwez sikia anaongelea kuhusu ujangili na mikataba ya madini ana deal na hiv vidagaa...wakurugenzi na watendaji
 
Na huo ukumbi hapo wachina wamejenga,ili waendelee na wizi .ndo maana hata rais huwez sikia anaongelea kuhusu ujangili na mikataba ya madini ana deal na hiv vidagaa...wakurugenzi na watendaji
Hivi ile Mahakama ya Ufisadi inaaza lini kujengwa? Haya walisema wana List za Wauza Unga ziko wap?
 
Mleta Uzi huna akili kabisa na kama unazo basi ni kuvukia tu barabara! Unawezaje kulinganisha nyumba (jumba) na kioski? Wapi na wapi!? Sasa subiria makontena ya matusi maana umeyataka mwenyewe.
 
Hivi ile Mahakama ya Ufisadi inaaza lini kujengwa? Haya walisema wana List za Wauza Unga ziko wap?
Wauza unga wote watakuwa kwenye kikao tarehe 23mwez huu kwenye huo ukumbi .....ulio jengwa na majangili wakichina
 
Tumeona ufahari wenu,majengo ya anasa wakati hali ya mtanzania bado haieleweki!
 
Huu ndio ukumbi wa CCM DODOMA utakapofanyika mkutano mkuu wa chama dume cha CCM




Hapa chini ni ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa CHADEMA


b1.jpg


Ukiangalia tu hizo picha mbili utaweza kugundua kuwa CCM tunajitambua na tunayoyasema tunayaonyesha kwa vitendo lakini ukiangalia kwa umakini picha ya chini hutopata taabu sana kujua fikra zao zinaendana na " uchakavu " wa haya Makao Makuu yao na ni aibu kubwa mno kwa chama kinachotamba ni cha upinzani kuwa na Ofisi " chakavu " kama hiyo. Siku nyingine ni bora wakiwa wanagomea Bunge basi wawe tu wanarudi Dar hapo Biafra na kujenga Ofisi yao hiyo kwani inawaaibisha sana. Naipenda CCM kama ninavyompenda Yesu Kristo wa Nazareth. HAPA KAZI TU!
 
OK,hilo ni jasho letu wananchi!
 

Attachments

  • Screenshot_2016-07-19-09-14-52.png
    Screenshot_2016-07-19-09-14-52.png
    131.1 KB · Views: 26
Ukiangalia tu hizo picha mbili utaweza kugundua kuwa CCM tunajitambua na tunayoyasema tunayaonyesha kwa vitendo lakini ukiangalia kwa umakini picha ya chini hutopata taabu sana kujua fikra zao zinaendana na " uchakavu " wa haya Makao Makuu yao na ni aibu kubwa mno kwa chama kinachotamba ni cha upinzani kuwa na Ofisi " chakavu " kama hiyo. Siku nyingine ni bora wakiwa wanagomea Bunge basi wawe tu wanarudi Dar hapo Biafra na kujenga Ofisi yao hiyo kwani inawaaibisha sana. Naipenda CCM kama ninavyompenda Yesu Kristo wa Nazareth. HAPA KAZI TU!
Wewe sema unapenda tumbo lako zaidi!
 
Back
Top Bottom