Yaliyojiri katika Uzinduzi wa Ukumbi mpya wa CCM Dodoma

Yaliyojiri katika Uzinduzi wa Ukumbi mpya wa CCM Dodoma

CHADEMA maskini hebu na nyie tuonyesheni jengo lenu.Ruzuku sijui huwa mnapeleka wapi.Majengo hamjengi kutwa kuzurura mabarabarrani na magari ya kifahali

Ipo siku mtakoma kuzaliwa kama hizo sio asante za wachina basi mmeponea, ila ikiwa ni aksante za wachina mmekwisha, mnamiliki vingi sawa ila kama ni pamoja na vile ambavyo vilichangiwa na jasho la wananchi vitarudi kwa umma.
 
"Anawasifia UVCCM, UWT,na Jumuiya ya Wazazi kwa kuonyesha mfano mzuri kutumia viwanja vyao vizuri, kuwekeza kwa tija"

View attachment 266924
UWT Asset.jpg
 
Akili za ajabu hizi,mnasifia kwa kufanya CCM ijitegemee huku akiacha Tanzania ktk hali ya umatonya mkubwa.
 
MTEI SACCOS na nyie jipangeni angalau mjenge hata Room mbili kwa ajili ya chama chenu.

Hivi gharama za ujenzi kwa jengo kama hili ni Shilling ngapi? Si bora wangejenga maabara nchi nzima kuliko kutunyonya sisi walala hoi tujenge maabara wakati chama tawala kinajenga ukumbi wa mikutano. CCM mpo hoi mnatia kinyaaa puuuuuuuuuuu hata hamjui mnachofanya kazi ushabiki. Kwendeni zenu mnajisifu hata kwa ujinga. Sitaki unijibu chochote we jitafakari na ukae kimya usije ukanisababishia ban.
 
Usione boss kakaa ofisin ukadhan kasoma sana wengine wanaingia ofisin kwa kupitia madirishan
 
Mbowe anapanga bajeti ya maandamano nchi nzima badala ya bajeti ya kujenga ofisi !!!!!


Lkn bado bavichaaa wanashangilia tu
 
Huu ndio ukumbi wa CCM DODOMA utakapofanyika mkutano mkuu wa chama dume cha CCM




Hapa chini ni ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa CHADEMA


b1.jpg

Asante kwa kuweka uthibitisho kuwa CCM ni Chama Cha Mafisidi na CHADEMA ni cha wananchi wa hali ya chini
 
Huu ndio ukumbi wa CCM DODOMA utakapofanyika mkutano mkuu wa chama dume cha CCM




Hapa chini ni ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa CHADEMA


b1.jpg




Sijaelewa lengo lako ni nini hasa maana umeandika kimbea mbea tafuta ela achana na hayoambo yasiyo kupa faida babuu
 
Back
Top Bottom