Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
jk kaamua kumbeba membe jumla . duh mi nasubiri tu hapo dodoma pachimbike maana kingunge alisema lowasa akikatwa patachimbika.
Membe rais amina salum makamu magufuli waziri mkuu makamba waziri mambo ya nje migiro spika wa bunge
aminiusiamini ndio hivyo....Kikwete ni raisi wa Tanzania lakni sio Mungu.hawezi kutuchagulia watu wakati yeye mwenywe ni failure.
Kwa katiba yetu hii, Mgombea Urais akitoka upande mmoja wa Muungano, lazima Mgombea Mwenza atoke upande mwingine. Kwa maana hii, Kama Membe atakuwa Rais, hawezi kumpendekeza Magufuli kuwa Mgombea Mwenza.CHICHIEMu wametufanya sie mazoba kwa kweli. Yani unaona kabisa aina ya wagombea wanayemtaka, na nia ya😵bviously sasa liko wazi kutakuwa na mwanamke kwenye tiketi yao, obviously iko wazi Hakutakuwa na mzanzibari, kwani wamemchukua mzanzibari asiyejulikana kuliko wote(ingawa,niwe muwazi kuwa Amina, is a remarkable lady, with the highest dignity).
Yani hapo hii ngoma ni kati ya magufuli na Membe, ukizingatia kuwa Magufuli uzoefu wa mambo ya nje ni nukta nukta sifuri, hivyo basi chaguo la jamaa ni Membe.
Kutokana na Upepo utakavyokuwa Asha can as well be president, while magufuli is now the strongest contender for Next PM should he lose the nomination. Sidhani akikosa atafaa kuwa Makamu.
Makamba,well,it says a lot when a young nominee is chosen in favour of men as qualified as Ramadhani, just for the mere reason he is young. Lowassa with all his shortcomings is 100 times better than Makamba any time of the day...,
Mimi si support sana ccm ila kwa wanaohoji uwezo wa Makamba nafikiri hawamfahamu vizuri dogo ni mzima sana kichwani na naona kuna kila dalili ya kuwa Rais 2025 kama ccm itapita mwaka huu anaweza kupewa wizara ya mambo ya nje. Magufuli kwa utendaji wake wa ukali na kutofahamika sana kimataifa ana nafasi kubwa ya uwaziri mkuu.
mimi na wadau wengine ndio tunautaka kwa udi na uvumba huo mpasuko.kutokuwepo kwake kuna sababisha dubwasha,nyonya damu,chinja chinja CCM liendelee kupumua.ukawa daima.Nauona mwanzo wa mpasuko mkubwa ndani ya ccm unakuja miezi michache ijayo.
Ila si ilidaiwa kwamba wameahirisha kikao chao mpaka kesho .....
Yaani hata bila ya aibu tena mchana kweupe na kwa mbeleko kubwa kabisa,hapa ndio atampandisha zaidi Mori Mmasai.