Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Cc haitendi haki.umeiona ile speaker ya el.(kingngngmblemlu).anamsemea in public el.eakati wagombea wengine hawana pa kusemea wakati huu.kisha anaingia kikaoni huku anajina la mtu kibindoni.ningekuwa ni mmoja wa wagombea ningemgomea asiingie.hafai kuwa hakimu mzuri humo.

Hebu tulia
 
Kama habari za propaganda mashine CH10 aliyoinunua Lowassa kwenye uchaguzi huu ziko sahihi sababu kubwa za kuchelewa ni ugumu wa kukatana ni wazi Lowassa ni power house within CCM.

Sidhani kama ao wagombea wengine au wafuasi wao wanafikiria chochote zaidi ya kukubali matokeo ya maamuzi lakini makada wa upande wa Lowassa wako wazi ni lazima mtu wao awe raisi ajaye na ina maana watakuwa wengi kiasi kwamba kuisumbua taasisi na uongozi wake wa sasa. Ni vitu vya ajabu sijawahi sikia taasisi ya siasa kutishiwa nyau hivi na mtu mmoja this is just pathetic and loss of control no wonder wanachama wanakosa adabu in the first place.

Hila wajue kabisa wengi wako tayari kuiadhibu CCM kama itampitisha Lowassa.
 
Swali ni je,tayari AMEKATWA?
Hizo zingine mbwembwe tu!
 
Wakuu habari,

Ntakua nawaletea Update ya kile kinachojiri kwenye Vikao vya CCM vinavyoendelea Dodoma. Ntahakikisha kila kitu naweka hapa.

Karibuni sana.

====================

Updates;

1. Update;
Sasa mchakato unaanza rasmi, Wajumbe kamati ya Maadili wanaingia Ukumbini, CC itafuata, haijajulikana kama na NEC itafanyika leo, itategemea na muda utakao tumika na vikao viwili hivyo.

2.Update
Rais Kikwete ameingia Ukumbini muda huu

3. Update
Kikao cha Usalama na maadili kinaendelea. Hiki hata kikiisha hakina briefing. kama kawaida, Ulinzi umeimarishwa na state

4.Update
Wakuu Kuweka Updates sio lahisi kama mnavyodhani sababu ulinzi ni mkali na hakuna aliyeruhusiwa kuingia na simu. Kumbuka hii ni kamati ya maadili, hivyo kuweni wavumilivu. Kikao kinaendelea.

5.Update 14:46
Kamati ya maadili imemaliza kazi yake, sasa ni zamu ya CC kuingia, lakini Rais Kikwete katoka, Kikao kitaanza akirudi.
jambo jema uweke na muda, pia umesema hauruhusiwi kingie na cm je ukiwa huna unaruhusiwa kuingia?
 
Habari za uhakika ni saa 12 jioni au saa 1 jioni ndiyo majina yatatangazwa.

Endeleeni kurushana roho.

Teh teh teh.
 
Habari za uhakika ni saa 12 jioni au saa 1 jioni ndiyo majina yatatangazwa.

Endeleeni kurushana roho.

Teh teh teh.

Hahaaa ngoja nisuke mkeka 5top (Augustino Ramadhani, Asha rose Migiro, Magufuli, Makongoro Nyerere, Mark Mwandosya .

Top 3 Augustino Ramadhani, Magufuli, Mark Mwandosya.

Na mwisho watakuwa hawa Augustino Ramadhani na mgombea mwenza Magufuli namaliza kufunga mkeka tuonane Jumapili.
 
1) lowasa
2) mwandosya
3)magufili
4)jaji
5)pinda.
Ila huu ni mtazamo wangu tu bado wenyewe ccm wanayo kazi ce yetu macho
 
QUOTE=Ritz;13237977]Habari za uhakika ni saa 12 jioni au saa 1 jioni ndiyo majina yatatangazwa.

Endeleeni kurushana roho.

Teh teh teh.[ QUOTE]

Ivi nape ndo atasoma majina?

Je lowasa akiwepo, nape atatuambia nini?!
 
jamani taarifa ni ya uhakika asilimia mia moja lowassa amekatwa rasmi na viongozi wameamua kwa pamoja liwale na liwe tu pinda kapeta pamoja na jaji ramadhani wengine sijapata waliobakia ila ni za uhakika
 
Asee hyu edo wanamuogopa balaaa, ila cc raia wala hata hatuna mda nae ni fi..si..d na hlo halibadiliki
Jamaa wanasikitisha kweli mtu anavunja kanuni zote na wote tunaona bado tu anachekewa kwani hata 'Dr Mwele Malecela' angekuwa anaandikwa kila siku kwenye magazeti kwa kutetewa au kupigiwa debe na makada hadharani, yupo kwenye TV na chombo rasmi kila saa kina angalia maslahi yake au anatetewa na makada wanaomkubali kwenye TV si angekuwa hot cake tu.

Jamaa amekuwa anatumia media vibaya sana zaidi ya wenzake na kujitengenezea mazingira ya support za kununua na kujiweka kwenye fikra za watu kwenye jamii tofauti na wenzie kisa hela hafai.
 
jamani taarifa ni ya uhakika asilimia mia moja lowassa amekatwa rasmi na viongozi wameamua kwa pamoja liwale na liwe tu pinda kapeta pamoja na jaji ramadhani wengine sijapata waliobakia ila ni za uhakika

Propaganda tu hizi. Kama upon kwenye kikao, si ulete listi kamili ya waliopeta tano bora?
 
QUOTE=Ritz;13237977]Habari za uhakika ni saa 12 jioni au saa 1 jioni ndiyo majina yatatangazwa.

Endeleeni kurushana roho.

Teh teh teh.[ QUOTE]

Ivi nape ndo atasoma majina?

Je lowasa akiwepo, nape atatuambia nini?!
Yeye anatumwa tu itabidi ataje tu ndiyo siasa.
 
Naona wazee wa kubet wanaendelea kuweka mizigo hii deal ningempa mdosi angepiga pesa sana.
 
Back
Top Bottom